"Maendeleo hayana chamaa"...


Uhuru Wa vyombo vya habari "....... Masud ananichora kichwa kimebonyea hadi naenda kujiangalia kwenye kioo kama ni kweli"........
 
Polis ukikutana na jambaz liue kabla halijakuua
 
Tanzania ni tajiri, sihitaji mikopo na misaada, siku si nyingi tutaanza kutoka misaada na mikopo kwa nchi zingine
 
Nilitaka kuandika quotes za Mbowe, Lema, Msigwa na Mnyika kuhusu Lowassa nikakumbuka kuwa zinatakiwa za JPM tu.

OK. Nasubiri kwa hamu.
 
Buku tano ni za..............................
Gadafi ni raisi wa ............................

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…