yello masai
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 3,662
- 3,715
Wazo zuri mkuu. Ngoja niliweke kichwani nitalifanyia kazi. Japo nahofia usalama wanguAseeee ukiandika kitabu cha nukuu hizi , utakuwa DSM best seller.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazo zuri mkuu. Ngoja niliweke kichwani nitalifanyia kazi. Japo nahofia usalama wanguAseeee ukiandika kitabu cha nukuu hizi , utakuwa DSM best seller.
Ni wazo zuri. Je for posterity, unaonaje kama ungeongeza tarehe na mahali alipotuachia tunu zake.Hata quotation ya gazeti inafaa pia.
Katika dunia ya sasa hakuna kitu kinaweza kupotea ili mradi kimewahi kutamkwa mbele ya jamii. Lakn pia tunaweza kupoteza vitu admu pale tu tutakaposhindwa kuweka kumbukumbu kwa vizazi vijavyo na vya sasa. Kwa kipindi kirefu tumekua na nukuu za Baba wa Taifa mwalimu nyerere. Ni wakati mwafaka kuweka kumbumbuku ya maneno mazuri ya mheshimiwa Rais Magufuli.
Duniani tuna nukuu (quotes) zawa watu maarufu kama Martn Luther king, Jr. Abraham lincoln na wengine wengi. Kwa hapa kwetu tuna nukuu za baba wa taifa mwalim Nyerere.
Sasa ni wakati mwafaka kuweka nukuu zake kwenye uzi huu. Usihofu iwe mbaya masikio mwako au iwe nzuri wewe weka tu maana lolote analo litamka mkuu wa nchi linapaswa kutunzwa.
Naweka maneno mawili matatu kuanzisha ukurasa wa maneno ya mkuu wetu.
[emoji860][emoji860]Mimi ni raisi wa maskini wanaoshi kama malaika wataishi kama mashetani[emoji779]️[emoji779]️
[emoji860][emoji860]serikali yangu haitawapa chakula Kila mtu atabeba msaba wake njaa haijaletwa na serikali[emoji779]️[emoji779]️
[emoji860][emoji860] hakuna serikali iliyowahi kujenga nyumba za wahanga duniani pote. Nasisi hatujengi.[emoji779]️[emoji779]️
[emoji860][emoji860] hakuna kufanya za siasa mpaka 2020 siasa huzuia maendeleo[emoji779]️[emoji779]️
[emoji860][emoji860] siwezi kuwashirikisha wapinzani kwenye serikali yangu. Nakushangaa sheni kuwaingiza wapinzani[emoji779]️[emoji779]️
[emoji860][emoji860]sijawahi kutamka katiba kwenye kampeni zangu za kuomba urais , katiba sio kipaumbele changu kwa sasa nainyoosha nchi kwanza[emoji779]️[emoji779]️
[emoji860][emoji860]police mkukita mtu anaendesha gari kwenye njia ya mwendo kasi ng'oa tairi uzeni[emoji779]️[emoji779]️
[emoji860][emoji860]watoto watasomeshwa bure kwenye utawala wangu hivyo fyatueni watoto wengi maana watasoma bure[emoji779]️[emoji779]️
Haya ni machache kati ya mengi aliyowahi kuyaongea . Ni wakati mwafaka kuweka maneno yake hapa.
Na huu ndiyo uungwana na sio umaguNime maanisha nilikuelewa tangia mwanzo ni autocorrect, apo kwenye lager ilitakiwa iwe kagera, sikumaanisha ubaya
UNAJUA LIPUMBA WEWE NAKUAMINIA SASA MIE NAENDA KUWAFUMANIA PALE LUMUMBA WEWE KAKAE BUGURUNI ILI SEIF AISHIE PEMBA TUWanaolalamika kuwa hali ngumu ni wapiga dili
UNAJUA LIPUMBA WEWE NAKUAMINIA SASA MIE NAENDA KUWAFUMANIA PALE LUMUMBA WEWE KAKAE BUGURUNI ILI SEIF AISHIE PEMBA TUWanaolalamika kuwa hali ngumu ni wapiga dili
Gadaffi wa kuwaitSadam Hussein ni raisi wa Libya!
Mpaka sasa mahakama imekosa kesi shame magu