Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Hii ishu iliniua mbavu"Walibya walimuua Saddam... Hapana ni Gaddafi, Saddam alikuwa wa Kuwait"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ishu iliniua mbavu"Walibya walimuua Saddam... Hapana ni Gaddafi, Saddam alikuwa wa Kuwait"
hahahaaaaaaaa.kama bombadier haikimbie kapande ndege ya jeshi ukaye pale mbele uone inavyokata mawingu!!!!!!!!!!!
Kauli zake ni too vulnerable!Hii ishu iliniua mbavu
ExactlyMwisho hakimu atasema umerithi tabia ya uwongo toka kwa viongozi wko,kwahiyo kesi itatupiliwa mbali
But da message will be sentMaanake utakuwa umekili kosa,kwamba ni kweli umetenda kosa lakini mbona watenda makosa wengine kama wewe hawajachukuliwa hatua!?watakwambia upelelezi wa alichokizungumza raisi bado unaendelea na ukikamilika ataletwa mahakamani,
Wakati hyo wewe ukienda kunyea ndoo
Kama anatimiza ilani yao, inatakiwa wamsupport na sio Kumpinga!
Hili jamaa bana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji12] [emoji12] [emoji12] Aliisema na hii kumbe