Tanzania ya magulfuli ni tanzania ya viwanda .

'hata kiwanda cha kuchomelea makarai ni Kiwanda'.
 
Mnataka serikali iwasaidie Kwani Mlipokuwa mnanichagua nilisema nitaleta tetemeko..!?? haa ha ha....
 
niripo omba kura nirisema ntareta tetemeko? na i wish i kuldu be IGP
 
"PhD in chemistry specifically in maganda ya korosho"
 
1. Fomu nilichukua mwenyewe, sipangiwi cha kufanya.
2. Gazeti, ukurasa wa kwanza, wa pili mimi simo ila anaandikwa mwenye kutoa bastola hadharani tu.
3. Nyie wamiliki wa vyombo vya habari hamna uhuru mnaofikiri mnao.
4. Wamiliki wa vyombo vya habari, watch out
 
Hata kama mnafikiri mna uhuru ......NOT TO THAT EXTENT
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…