Nukuu toka kwa Rais Magufuli (QUOTES)
Tanzania ya magulfuli ni tanzania ya viwanda .

'hata kiwanda cha kuchomelea makarai ni Kiwanda'.
 
Mnataka serikali iwasaidie Kwani Mlipokuwa mnanichagua nilisema nitaleta tetemeko..!?? haa ha ha....
 
niripo omba kura nirisema ntareta tetemeko? na i wish i kuldu be IGP
 
1. Fomu nilichukua mwenyewe, sipangiwi cha kufanya.
2. Gazeti, ukurasa wa kwanza, wa pili mimi simo ila anaandikwa mwenye kutoa bastola hadharani tu.
3. Nyie wamiliki wa vyombo vya habari hamna uhuru mnaofikiri mnao.
4. Wamiliki wa vyombo vya habari, watch out
 
Hata kama mnafikiri mna uhuru ......NOT TO THAT EXTENT
 
Back
Top Bottom