Nukuu toka kwa Rais Magufuli (QUOTES)
Ss mbona bashite anaharibu kila kitu mpaka Sugu anaomba msaada wa Dr.wa serikali,na bado hiyo co moja kwa moja? Hii yote ni kosoro ya utawala wenye dharau dhidi ya sauti za wananchi,hasa akizingatia hawakumpa kura.na hajali kwakua anajeshi na policcm atatawala kwa nguvu tu hata 2020.mzee una andaa watu kuwa na roho ngumu,na ujacri,utakaozaa,kuchukua haki yao kwanguvu.tafakari, na ututawale kwa haki na usawa.vinginevyo unatafuta kupoteza wengi,km ulivhowahi kusema mwenyewe kwa kinywa chako !
 
Wanao sema haya mandege yana speed ya bajaji,tutawalipia nauli wakae siti ya mbere waona yanavyokata upepo(in sukuma voice)
 
"Aliyekula pesa za fidia wakati hajapoteza hata ekari moja pesa hizo alizopokea kwa mkono zitamtokea katika sehemu yoyote ya mwili wake iliyo wazi"
 
"Walibya walimuua Saddam... Hapana ni Gaddafi, Saddam alikuwa wa Kuwait"
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] .nili ongea na selina kombani akiwa ICU.

Mungu amlaze pema peponi mzee wetu jakaya mrisho kikwete haaaaaa sory Julius kambarage nyerere
 
I wish i could be IGP.,

Musifikiri muna uhuru wa habari to that extent, be carefully..!
 
Kuna mtu alisema hizi ndege ni mtumba, nipo tayari kumlipia tiketi akae siti ya mbele aone zinavyokata mawingu.!
Mkuu,alimanisha kukata mawingu ndo kigezo cha kutokua mtumbaa?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom