Nukuu toka kwa Rais Magufuli (QUOTES)
Am a politicians
Fon't Ford
Tanzania is a stable nations
Gadafi ni rais wa Kuwait

Ongeza nyingine maana!!!
 
Usipo lima utakufa kweli sio uongo-JPM.

Ni kiikumbuka hii huwa nacheka sana jamaa akwepeshi
 
"Kama unajua umepewa fidia ya hekari 4 na unakipande cha ardhi kama hii meza, umepokea fidia kwa mkono utairudisha kupitia tundu lolote, fedha ya serikali haitapotea Kwny utawala wangu"
 
Sishauriki, ukinishauri ndio umeharibu kabisaaaaaa!!
 
Wakitaka kuendelea kuchimba walete trillion 108 kwanza!!
 
Back
Top Bottom