Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

PICHA
- Jinsi ninavyofanya 'monitoring' ya mizigo, ili kutoa taarifa sahihi pindi aliyeagiza anapohitaji kufahamu mzigo wake umefikia hatua ipi/
- Taarifa zote za mizigo hupatikana kwa wakati
 
Reactions: SIM
Mkuu nikijitaji TV ya nchi 32 au 24 kutoka USA napata kwa sh ngap??
TV ziko za viwango / uwezo tofauti tofauti, Bila kunipa model ya TV husika, Ni vigumu kukuambia ghalama yake

Ila kwa ujumla, Ghalama ya kununua TV na kuifikisha hapa nchini ni kubwa ukilinganisha na ghalama iwapo utanunua hapa nchini.
Na hii ghalama ni jumla ya
- Ghalama ya manunuzi
- Ghalama ya kusafirisha
- Ghalama ya ushuru /kodi pindi ifikapo hapa nchini.

Agiza TV USA iwapo tu imeshindikana kupata hapa nchini hiyo model unayohitaji.

Karibu
 
mwl. RCT..
nlikuwa nataka '' acoustic guitar" aijui gharama yake itakuwa kama sh. ngapi
[/IMG][/IMG]
 

Nimeona hii laptop kupitia mtandao wa ebay,napata wasiwasi kuhusiana na bei iliyotajwa,je ni kweli ndio bei yake ukilinganisha na specification zake,naomba msaada kwa mwenye kujua

Cc:mwl.CRT
 

Nimeona hii laptop kupitia mtandao wa ebay,napata wasiwasi kuhusiana na bei iliyotajwa,je ni kweli ndio bei yake ukilinganisha na specification zake,naomba msaada kwa mwenye kujua

Cc:mwl.CRT
Sio bei yake

Bei yake angalia hii picha


Link yake ni hii
Code:
 http://www.ebay.com/itm/HP-Pavilion-Laptop-17-3-LED-AMD-A10-3-20GHz-8GB-1TB-HD-DVD-RW-WebCam-WiFi-Win10-/112043955301

Kitu cha kuzingatia ebay - Angalia bei ya bidhaa toka kwa Top Rated Seller
 
Asante mkuu,ningependa kujua pia kwa nn wanakua wanaandika hizi bei za chini
 
Asante mkuu,ningependa kujua pia kwa nn wanakua wanaandika hizi bei za chini
Ebay ina bidhaa nyingi na wauzaji wengi
- Hivyo baadhi yawauzaji wanaweka bei ndogo zisizo na uhalisia ili kwenye search results kwa kutumia ebay search engine waweze kuonekana - Na kukupelekea wewe kutembelea store yake ambapo utakuta bidhaa zake zingine anazouza , Hili ndio lengo kubwa.


Zipo sababu zingine. Mfano bidhaa iliyo kwenye mnada huanza kwa bei ya chini sana, na bei huongezeka kadri wanunuzi wanavyoweka dau kubwa.


Kwa kulizingatia hili ndio sababu ya kuweka hatua ya uhakiki wa link , ya bidhaa husika, kabla ya manunuzi kufanyika
 
Samahani lakini na we ni tapeli mwingine..... Mana tushalizwa sana...nauliza japo jib rahis tu nitapewa
 
Habari ndugu salaniatz

Nimelipokea swali lako.

Thread yenyewe inakupa jibu stahiki, Kuanzia posti ya #1, mpaka posti yako no [HASHTAG]#300[/HASHTAG] na pia comment za watu nilio wapa huduma tayari.

Karibu iwapo una swali jingine.
Samahani lakini na we ni tapeli mwingine..... Mana tushalizwa sana...nauliza japo jib rahis tu nitapewa
 
Tunahakiki vipi link mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…