Nunua mihogo yao lakini kuweni makini sana wanapoomba muwatwishe mabeseni yao kichwani

riziki anaitoa mungu mtu mwingine hawezi kuichukua. kila mtu kapangiwa riziki yake na mungu. binadamu hana nyota yoyote hiyo ni kudanganywa
 
Wabongo wote eidha ni wachawi au waumini wa ushirikina.
Mnatia watu hofu kama manabii wa mjini
 
Cha kushangaza ukute uliemtwisha mzigo hajaiba nyota, unatoka job na una mke nyumbani. Unaenda kupiga kimoko kwa mchepuko kwanza ndo urudi nyumbani kwa mama havintishi wako.

Unakuja kuandika nyuzi kumlaumu muuza muhogo kumbe nyota imeharibika kwa kusuuza rungu kwenye kila shimo. Unabeba mikosi tu kwenye shimo flani af mnadanganyana nyota zinabebwa na wamama wauza mihogo wa watu.

Kumbe ni hekaheka zako.
 
Mbon hizi za kujitwishwa kupandisha mzigo kwenda juu na kupeleka kwenda juu agaist gravity
Ni physics ya kawaida sana pale form two hamna uchawi kaka
 
Ni uongo haswaaaaaa
 
Mleta Uzi lazima Ni kondoo wa wachungaji fulani hivi...kila kitu wanasema wamerogwa na nyota sijui zimefanya nini
 
Watanzania tunaweza kazi tatu pekee ambazo hufanywa kwa ufanisi.

1. Kupenda mambo ya hovyo

2. Kutishana sana

3. Kuharibiana maeneo ya kazi

Sijawahi kusikia tajiri akitishwatishwa na huu ujinga. Lakini kila baya linamesngukia masikini
 
Ukiamini sana mambo yakishirikini unakua muoga sana yani unakua dhaifu unaishi maisha ya dhiki sana kila kitu kwako unaona tatizo anaweza tua hata kunguru nyumbani kwako usilale usingizi

Uyu jamaa na uzi wake wote wapumbavu tu watu wa akili hizi wanaishia kuwa wachawi tu wasaidieni wamama wa watu wanajitafutia kihalali kabisa rizki zao muonekano wa mtu usikufanye umuone mchawi
 
Tafuta kazi mkuu uache kukaa maskani (UVCCM)
 

Tena bila kuomba hata kupunguziwa bei πŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“Œ
kwakweli hata mimi amewahi kuniambia nimtwishe nikashangaa,nikamjibu kadish kadogo nikutwishe sitaki.Akamwomba mwingine.
 
dogo acha iman za kishirikina ..dunia hakuna mkosi wala nini...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…