Nyakati hizi, wadada wanatongoza sana wanaume

Nyakati hizi, wadada wanatongoza sana wanaume

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Siku moja niliamua kutembelea akaunti yangu moja ya mtandao wa kijamii, baada ya kuingia 'inbox' nikakutana na sms (jumbe) nyingi za wadada na wamama mbalimbali kutoka sehemu mbalimbali za Afrika; nyingi zilikuwa zinasema, 'mambo', 'hallow' n.k

Wengine wakiomba urafiki n.k; nikawa najiuliza kwa nini wote wawe jinsia moja tu, ndipo nilipo gundua, kwa sasa wanaume halisi wanahitajika sana.

Bahati nzuri nilichati nao, na nikawaambia nina wake pamoja na wajukuu; ingawa hiyo kauli haikuwapendeza sana.

Lakini ndio hivyo, ulimwengu umebadilika.​
 
Siku moja niliamua kutembelea akaunti yangu moja ya mtandao wa kijamii, baada ya kuingia 'inbox' nikakutana na sms (jumbe) nyingi za wadada na wamama mbalimbali kutoka sehemu mbalimbali za Afrika; nyingi zilikuwa zinasema, 'mambo', 'hallow' n.k

Wengine wakiomba urafiki n.k; nikawa najiuliza kwa nini wote wawe jinsia moja tu, ndipo nilipo gundua, kwa sasa wanaume halisi wanahitajika sana.

Bahati nzuri nilichati nao, na nikawaambia nina wake pamoja na wajukuu; ingawa hiyo kauli haikuwapendeza sana.

Lakini ndio hivyo, ulimwengu umebadilika.​
Tahadhari: Kuna profile nyingi tu za ''wanawake'' kwenye social media zinazomilikiwa na wanaume.
 
FB_IMG_1718497443719.jpg
 
 
Back
Top Bottom