Mundele Makusu
JF-Expert Member
- Sep 28, 2021
- 2,488
- 3,481
Huu mtindo upo Sana sikuhiz yaani mtu anataka aonekane anakujali kumbe ashalenga vizingaSasa huo utakuwa ni utapeli wa kihisia 😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu mtindo upo Sana sikuhiz yaani mtu anataka aonekane anakujali kumbe ashalenga vizingaSasa huo utakuwa ni utapeli wa kihisia 😀
Ulimwengu umebadilika sanaHao labda maafisa utamu, wanawake wanaojitambua hawawezi kukufata bila sababu
Ahhh wapi labda kama wewe ni mwanaume. Yani uanze ghafla kukataa asili yako?😂😂😂😂😂upuzi ambao siwezi kuja kufanya
Ingia mtandaoni ukiwa mwepesi, hiyo hi, hello ni salamu tyuuu!! 😂Ki vipi mkuu? 😀
Sisi hatujui hilo ni km demu anaevaa kigodoro akipiga pichaZile ni mada za kuburudisha na kuelimisha, ni sawa na zile hadithi ''sungura akasema......
Kuna kitu nimejifunza hapaNadhani sio kwa sasa, hata hapo nyuma walitongoza sana pia. Labda tuseme aina za utongozaji kwa sasa zimebadilika.
Kihistoria, wanawake walikuwa wakitongoza wanaume kwa ishara za macho, na wakati mwingine rangi za mdomo walizopaka.
Mfano, rangi ya mdomo nyekundu ilikuwa ikitumika kwa kupeleka ujumbe kwamba wamezidiwa na hamu za kukutana kimwili.
Na wale waliotumia rangi nyeusi walikuwa wakipeleka ujumbe kwamba wao ni 'watundu' sana kwa mambo ya kitandani.
Na rangi ya 'pinki' ilibeba ujumbe wa 'nakupenda ila siwezi kukutamkia'. Hivyo, si wakati huu tu, ni nyakati karibu zote.
Na Waswahili husema, ukiona hali ya kutongozwa imezidi, basi ujue una umri wa utu uzima. Watoto huwa hawatongozwi.
Kwa hiyo, labda umri wako umesogea ndiyo maana unaona utongozaji wa wanawake umezidi.
Ova
nitamwaga mchele hapa kuwa na staha mi sio komamanga!mimi nikutongoze komamanga 😂😂😂😂khaaa
Ngoja nikutongoze😂😂😂😂😂sio kwangu
Aangalie MarindaTahadhari: Kuna profile nyingi tu za ''wanawake'' kwenye social media zinazomilikiwa na wanaume.
Hajielewi huyoLabla ndio target yake hiyo kuwapata hvy anaona wamejileta wnyw
Hapana, wote tukiweka mada nzito nzito, mtakuwa mnapumulia wapi baada ya kupata stress za maisha?Sisi hatujui hilo ni km demu anaevaa kigodoro akipiga picha
Kwa nini uje inbox na hello, na pia ukitaka kujua nipo wapi n.k?Ingia mtandaoni ukiwa mwepesi, hiyo hi, hello ni salamu tyuuu!! 😂
Ntakusaidia kumpiga mkuu wa shule saundi usijali we njoo tu.Na watoto 13 wanategemea ada wiki ijayo 😀
Huo mtandao ni facebook huko mpaka majini yamoSiku moja niliamua kutembelea akaunti yangu moja ya mtandao wa kijamii, baada ya kuingia 'inbox' nikakutana na sms (jumbe) nyingi za wadada na wamama mbalimbali kutoka sehemu mbalimbali za Afrika; nyingi zilikuwa zinasema, 'mambo', 'hallow' n.k
Wengine wakiomba urafiki n.k; nikawa najiuliza kwa nini wote wawe jinsia moja tu, ndipo nilipo gundua, kwa sasa wanaume halisi wanahitajika sana.
Bahati nzuri nilichati nao, na nikawaambia nina wake pamoja na wajukuu; ingawa hiyo kauli haikuwapendeza sana.
Lakini ndio hivyo, ulimwengu umebadilika.
Majini yanakuwaje?Huo mtandao ni facebook huko mpaka majini yamo
Kwahiyo hapo ndio kajitongezesha?? Nyie ndio mnaita watu dinner mfukoni mmebeba boksi la cdmKwa nini uje inbox na hello, na pia ukitaka kujua nipo wapi n.k?
Nashauri hii comment iwe laminated pale juu kabisa..!Sasa kuambiwa hello! Hi! Ndio kujitongezesha jamani?? Tena mtandaoni. Hizo si kama salamu za kawaida tu. Tatizo wabongo vichwa vinawaza ngono muda wote 😂😂😂
Atakuwa anataka nini?Kwahiyo hapo ndio kajitongezesha?? Nyie ndio mnaita watu dinner mfukoni mmebeba boksi la cdm