Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #81
Kutakuwa na ukweli hapamaa-single mother kazini hao walikuwa wanatafuta tu masaaidizi wa kulea watoto!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutakuwa na ukweli hapamaa-single mother kazini hao walikuwa wanatafuta tu masaaidizi wa kulea watoto!
Endelea kusubiri😀😀Nakusubiri wewe uje unitongoze 😀
Wengine wanatoka Africa magharibi, nchi jirani n.kHata sijui wanatoa wapi nguvu ya kusalimia ovyo watu wasiowajua,my friend ni kubaya,ni hatari sana kuchat na strangers,vile wameweka profile wanaspin gari kubwa kubwa hahaha run for your life.
Ngoja nilipe ada za watoto kwanza 😀Mr writer can I have ur number,, I think I like ur hand writing 😌
Katika kufikisha ujumbe kwa msisitizoHivi wajukuu hapo walihusikaje
nitakusaidia usijal 😌Ngoja nilipe ada za watoto kwanza 😀
Hao wengi ni scammers,siku hizi wanajifanya wanawake Ingia box uone.Wengine wanatoka Africa magharibi, nchi jirani n.k
melki wa matukioSiku moja niliamua kutembelea akaunti yangu moja ya mtandao wa kijamii, baada ya kuingia 'inbox' nikakutana na sms (jumbe) nyingi za wadada na wamama mbalimbali kutoka sehemu mbalimbali za Afrika; nyingi zilikuwa zinasema, 'mambo', 'hallow' n.k
Wengine wakiomba urafiki n.k; nikawa najiuliza kwa nini wote wawe jinsia moja tu, ndipo nilipo gundua, kwa sasa wanaume halisi wanahitajika sana.
Bahati nzuri nilichati nao, na nikawaambia nina wake pamoja na wajukuu; ingawa hiyo kauli haikuwapendeza sana.
Lakini ndio hivyo, ulimwengu umebadilika.
Maafisa utamu, maafisa ubashiri, maafisa usafirishaji... unemployment rate ya Tz itakuwa ni 1% maana ajira kila kona 😀😀Hao labda maafisa utamu, wanawake wanaojitambua hawawezi kukufata bila sababu
kamtu kanaanzisha thread kabisa, eti mdada alikuwa anamchekea ile kumtongoza kakataliwa katu katu..!Ni ujinga mtupu umejaa vichwani mwa wanaume, hata akikusaidia kitu cha kawaida tu, ikatokea mmezoeana ukampa namba, jiandae kuambiwa unamtaka..!! Ni kuwa makini nao.
Mtandao ganSiku moja niliamua kutembelea akaunti yangu moja ya mtandao wa kijamii, baada ya kuingia 'inbox' nikakutana na sms (jumbe) nyingi za wadada na wamama mbalimbali kutoka sehemu mbalimbali za Afrika; nyingi zilikuwa zinasema, 'mambo', 'hallow' n.k
Wengine wakiomba urafiki n.k; nikawa najiuliza kwa nini wote wawe jinsia moja tu, ndipo nilipo gundua, kwa sasa wanaume halisi wanahitajika sana.
Bahati nzuri nilichati nao, na nikawaambia nina wake pamoja na wajukuu; ingawa hiyo kauli haikuwapendeza sana.
Lakini ndio hivyo, ulimwengu umebadilika.
Hao ndio wanaume, aliyewafananisha na walinzi wetu wa nyumbani wanaobweka hata hajakosea.kamtu kanaanzisha thread kabisa, eti mdada alikuwa anamchekea ile kumtongoza kakataliwa katu katu..!
yaani hivi vyenyewe vikichekewa kidogo tu machine zinasimama..!!
Huwa hamuaminiki 😀nitakusaidia usijal 😌
Ya kijamiiMta
Mtandao gan
usichezee bahati mkuuHuwa hamuaminiki 😀
Nakutumia akaunti ya shule sasa hivi 😀usichezee bahati mkuu
Nashangaa mpaka warembo kutoka Sierra Leone wananitafuta 😀Aikooo! sijui kwann kila siku nakuonaga unatudanganya Eq 😁😁😁😁