Nyakati hizi, wadada wanatongoza sana wanaume

Nyakati hizi, wadada wanatongoza sana wanaume

Hata sijui wanatoa wapi nguvu ya kusalimia ovyo watu wasiowajua,my friend ni kubaya,ni hatari sana kuchat na strangers,vile wameweka profile wanaspin gari kubwa kubwa hahaha run for your life.
Wengine wanatoka Africa magharibi, nchi jirani n.k
 
Siku moja niliamua kutembelea akaunti yangu moja ya mtandao wa kijamii, baada ya kuingia 'inbox' nikakutana na sms (jumbe) nyingi za wadada na wamama mbalimbali kutoka sehemu mbalimbali za Afrika; nyingi zilikuwa zinasema, 'mambo', 'hallow' n.k

Wengine wakiomba urafiki n.k; nikawa najiuliza kwa nini wote wawe jinsia moja tu, ndipo nilipo gundua, kwa sasa wanaume halisi wanahitajika sana.

Bahati nzuri nilichati nao, na nikawaambia nina wake pamoja na wajukuu; ingawa hiyo kauli haikuwapendeza sana.

Lakini ndio hivyo, ulimwengu umebadilika.​
melki wa matukio
Njoo ona huku tukio jingine hili😂😂😂
 
Ni ujinga mtupu umejaa vichwani mwa wanaume, hata akikusaidia kitu cha kawaida tu, ikatokea mmezoeana ukampa namba, jiandae kuambiwa unamtaka..!! Ni kuwa makini nao.
kamtu kanaanzisha thread kabisa, eti mdada alikuwa anamchekea ile kumtongoza kakataliwa katu katu..!

yaani hivi vyenyewe vikichekewa kidogo tu machine zinasimama..!!
 
Mta
Siku moja niliamua kutembelea akaunti yangu moja ya mtandao wa kijamii, baada ya kuingia 'inbox' nikakutana na sms (jumbe) nyingi za wadada na wamama mbalimbali kutoka sehemu mbalimbali za Afrika; nyingi zilikuwa zinasema, 'mambo', 'hallow' n.k

Wengine wakiomba urafiki n.k; nikawa najiuliza kwa nini wote wawe jinsia moja tu, ndipo nilipo gundua, kwa sasa wanaume halisi wanahitajika sana.

Bahati nzuri nilichati nao, na nikawaambia nina wake pamoja na wajukuu; ingawa hiyo kauli haikuwapendeza sana.

Lakini ndio hivyo, ulimwengu umebadilika.​
Mtandao gan
 
Back
Top Bottom