Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Ndo ukitongozwq utulie sasaHapana, wote tukiweka mada nzito nzito, mtakuwa mnapumulia wapi baada ya kupata stress za maisha?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo ukitongozwq utulie sasaHapana, wote tukiweka mada nzito nzito, mtakuwa mnapumulia wapi baada ya kupata stress za maisha?
Nitongoze na Mimi bwana😂😂😂Ulijiweka kimitego kujifanya Don, ukijitongozesha utatongozwa tu
Nitege kwanzaNitongoze na Mimi bwana😂😂😂
Majini ni matapeli,Wallah unakutana na ujumbe nisaidie afu tatu sjala siku ya pili kumbe huyo jini anawaomba watu hata thelathini kwa siku,,sasa hilo si jiniMajini yanakuwaje?
Majini yanakuwaje?
Nakutegaje tegaje sasa...nipe darasaNitege kwanza
Mahi watu km hawa ndio wanaobaka wadada wakiwaita dinner, kwenye mindset zao wanawaza ngono.!! Hivyo ukikubali kukutana naye mwenzio kashajua tyr umemkubali.Nashauri hii comment iwe laminated pale juu kabisa..!
Ahsante..!!
Muulize Equation xNakutegaje tegaje sasa...nipe darasa
Kwani kukujulia hali ndio anakutaka? Inawezekana kwenye profile yako kaona ww mfanyabiashara, sasa anataka kujua mengi zaidi ya kujifunza kutoka kwako. Acha kuwaza ngono. Ndiomana wakenya wanatuchekaAtakuwa anataka nini?
huwa wanasema hata wakiomba namba wakapewa wanajua tayari washakubaliwa, wanaanza kupaka vumbi na kutafuta Pesa ya nyumba ya wageni..!!Mahi watu km hawa ndio wanaobaka wadada wakiwaita dinner, kwenye mindset zao wanawaza ngono.!! Hivyo ukikubali kukutana naye mwenzio kashajua tyr umemkubali.
Ni ujinga mtupu umejaa vichwani mwa wanaume, hata akikusaidia kitu cha kawaida tu, ikatokea mmezoeana ukampa namba, jiandae kuambiwa unamtaka..!! Ni kuwa makini nao.huwa wanasema hata wakiomba namba wakapewa wanajua tayari washakubaliwa, wanaanza kupaka vumbi na kutafuta Pesa ya nyumba ya wageni..!!
Jinsi Gani wewe .... Me au ke...?Good evening jf
Single here, looking for true soulmate... better nitongoze mwenyewe
CustomJinsi Gani wewe .... Me au ke...?
Ugeni wa mitandao na kuzijua K kwenye umri mkubwaTahadhari: Kuna profile nyingi tu za ''wanawake'' kwenye social media zinazomilikiwa na wanaume.
Nakusubiri wewe uje unitongoze 😀Ndo ukitongozwq utulie sasa
Hakuna aliyeniletea mishe ya biashara ata mmoja, na kwa nini wawe wanawake tu?Kwani kukujulia hali ndio anakutaka? Inawezekana kwenye profile yako kaona ww mfanyabiashara, sasa anataka kujua mengi zaidi ya kujifunza kutoka kwako. Acha kuwaza ngono. Ndiomana wakenya wanatucheka