Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
πππUlijiweka kimitego kujifanya Don, ukijitongozesha utatongozwa tu
Kwa hiyo ni kukaa chonjo saa mbaya?Ulijiweka kimitego kujifanya Don, ukijitongozesha utatongozwa tu
Tahadhari: Kuna profile nyingi tu za ''wanawake'' kwenye social media zinazomilikiwa na wanaume.Siku moja niliamua kutembelea akaunti yangu moja ya mtandao wa kijamii, baada ya kuingia 'inbox' nikakutana na sms (jumbe) nyingi za wadada na wamama mbalimbali kutoka sehemu mbalimbali za Afrika; nyingi zilikuwa zinasema, 'mambo', 'hallow' n.k
Wengine wakiomba urafiki n.k; nikawa najiuliza kwa nini wote wawe jinsia moja tu, ndipo nilipo gundua, kwa sasa wanaume halisi wanahitajika sana.
Bahati nzuri nilichati nao, na nikawaambia nina wake pamoja na wajukuu; ingawa hiyo kauli haikuwapendeza sana.
Lakini ndio hivyo, ulimwengu umebadilika.
Mtego gani sasa ππUlijiweka kimitego kujifanya Don, ukijitongozesha utatongozwa tu
Hata humu unajitegeshaga sana tu jisome mada zako ooh nina hiki mara mchepuko wangu nimeujengea bla bla bla....Mtego gani sasa ππ
Wamekuja wengine wanaongea kibelgiji, kifaransa na hawajui kiingereza ππππππupuzi ambao siwezi kuja kufanya
Tunachati mpaka mwisho, baadaye unagundua ni nini kinahitajikaYaani kuambiwa hello kwako tayari ni mtongozo.
Hii weakness huwa inatumaliza sana wanaume
Mwambie atembee aone dunia. Kuna nchi unaweza kudhani demu anakutongoza kumbe.... Mara unaulizwa ''do you have any plans this weekend?''Yaani kuambiwa hello kwako tayari ni mtongozo.
Hii weakness huwa inatumaliza sana wanaume
Hii pia nimeiona hasa hawa matapeli wa mtandaoniTahadhari: Kuna profile nyingi tu za ''wanawake'' kwenye social media zinazomilikiwa na wanaume.
Acha kujirahisisha shemeji πππNa aizingatie kweli kweli
Labla ndio target yake hiyo kuwapata hvy anaona wamejileta wnywSasa kuambiwa hello! Hi! Ndio kujitongezesha jamani?? Tena mtandaoni. Hizo si kama salamu za kawaida tu. Tatizo wabongo vichwa vinawaza ngono muda wote πππ