Nyambizi iliyopotea mpaka kesho saa 9 alasiri itaishiwa oxygen

The difference is, hao matajiri watano ni raia wa nchi mojawapo inayowatafuta. Ni jukumu la jeshi la Marekani kutumia utaalamu wake kuokoa maisha ya Wamarekani vyovyote inavyowezekana hata kama ni gharama kubwa au hata kama ni wachache. Wakati huo hao wahamiaji haramu hata serikali zao haziwajui majina wala hazina mpango nao.

Na ni kawaida ya washirika wa Marekani kusaidiana. Sasa sisi ngozi nyeusi hapo Sudan, DRC, Somalia, Central African Republic, Libya na kwingineko kuna vita ila wale wendawazimu wameenda Ukraine kutatua vita. Sasa unategemea nani atuhangaikie kama wenyewe tunajiona manyani tukipigana hamna shida ila wakipigana wazungu tukawatembelee kusuluhisha.
 
Hiyo picha ya pili ni ya kitambo sana, sio picha halisi.
View attachment 2665690
Hiyo picha kwa kuiona tu bila kusoma nimekumbuka ni ya Titanic halisi, niliona miaka kadhaa nyuma kipindi cha Deep Wreck Mysteries kwenye channel ya Viasat History. Ni kati ya series za documentary bora kabisa nilizofuatilia kwa mwaka mzima. Nilijua mengi kuhusu mabaki ya meli nyingi kubwakubwa zilizozama.
Humo kulionyeshwa bathtub ya Titanic bado nzima inaonekana ya kifahari miaka ile. Na gallery yake na sehemu kama ya opera. Alafu Titanic ilisambaa vipande vyake kilomita kadhaa hapo majini.
 
Ulikuwepo nn mkuu kwenye titanic?????? Vp kuhusu zile meli za Cruise zinazopaki dubai msimu wa kiangazi na mambo yanayofanyika ndani yake Mungu akasiriki?????
 
Taarifa za sasa zinamaanisha hao watu wamekufa tiyari. Mabaki yaliyopatikana ni ya sehemu ya nyuma ya hicho chombo na sehemu ya kutua. Meli ya Canada iliyokuwa inahost ilipoteza mawasiliano na Titan kwenye mita 3300, Titanic iko kama mita 3,750 chini.
Kwa haraka inawezekana chombo kimekuwa crushed kwenye depth hiyo. Hapo watafute mabaki mengine na wajaribu kupata miili. Kwanza hewa ingeshaisha masaa kadhaa yaliyopita hata kama chombo kingekuwa intact.
 

Hizi tarii zingine ni kufuru tu [emoji36][emoji36][emoji36], mtu unajua uwezo wa kifaa kutunza hewa safi ni siku nne then unaenda tu, hapa mbuzi alijipeleka machinjioni aisee.

Billionare mjinga sana huyu, as a billionare how could you dare to dump/risk this free given golden life [emoji848]
 
Chini ya maji kuna pressure kubwa sana,,,inaweza hata kukupasua kichwa..Yawezekana pressure ilipasua sehemu ya chombo hicho..Duuu very sad
 
Hii comment yako mkuu una maana gani?
Kwani walienda kukaa muda mrefu walikuwa wanakaa kidogo halafu kinapandishwa juu tu so kama hewa ilikuwepo ya kutosha. Hata masaa 2 kule chini wasingekaa
 
Hii comment yako mkuu una maana gani?
Kwani walienda kukaa muda mrefu walikuwa wanakaa kidogo halafu kinapandishwa juu tu so kama hewa ilikuwepo ya kutosha. Hata masaa 2 kule chini wasingekaa

Mkuu sina maelezo zaidi, hii kitu haihitaji intelligent kubwa kung’amua.

Just imaging tu hata kama ni wewe ungeenda ? [emoji23]
 
Ajali kazini mkuu. Wazungu risk takers utashangaa wanapelekwa mars ambapo jambo likitokea hata rescue mission haiwezekani maana safari yenyewe tu miezi kadhaa

[emoji23][emoji1787][emoji1787]

Mkuu , wazungu ni more foolish trust me
 
[emoji23][emoji1787][emoji1787]

Mkuu , wazungu ni more foolish trust me
Hahaha hapana mkuu kwa kutake risk ndio wanagundua vitu. Unakumbuka wright brothers na ndege zao walikuwa wakizipanda na mmoja hadi alicrash nazo. Mke wa benz katika kujaribu invention ya mmewe akagundua brake zinazngua akaenda kwa fundi viatu akamwambia aweke sijui sole ya viatu sijui ngozi kwenye pads.
Wana adrenaline za kutake risks
 
Uko duniani wanaamini sana taasisi za serikali za udhibiti wa ubora. Wakiona kitu kimeruhusiwa wanakikubali
 
Uko duniani wanaamini sana taasisi za serikali za udhibiti wa ubora. Wakiona kitu kimeruhusiwa wanakikubali
Sasa hivi zimeanza kuja taarifa kuwa kati ya nyambizi 5 zenye uwezo wa kufikia mabak ya titanic ni hiyo tu ambayo haikuwa certified. Mara wameanza imetengenezwa kwa cheap.materials
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…