Nyamongo kulikuwa na mwamba anaitwa Kenonke, historia yake inamfanya Jombi aonekane Mtoto mzuri

Nyamongo kulikuwa na mwamba anaitwa Kenonke, historia yake inamfanya Jombi aonekane Mtoto mzuri

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Kwa miaka mitatu mfululizo niliamua kufanya utafiti wa kina maeneo ya Arusha, Mbeya na Mara, utafiti huu ulikuwa hasa ukiangalia kwa ukaribu maisha ya Nyokaa, Kenonke na Jombi.

Nilikaa maeneo hayo yote kwa miezi 6, kuzungumza na watu waliokaa na hii miamba, wahanga wa matukio ya hawa jamaa nk.

Kwa umafia wa kibabe nilijiridhisha pasipo shaka kuwa Kenonke wa Nyamongo alikuwa ni habari nyingine, Jombi anashika namba mbili , Nyokaa alikuwa ni hatari kwa mazingira yake lakini hakuwafikia hawa wawili.

Njia pekee ya kummaliza Kenonke ilibidi jeshi la polisi- liombe msaada kutoka wenzao wa JWTz, pamoja na kupata intelijensia kutoka kwa watu wake wa Katibu.
 
Kenonke ukikutana naye anatoa bastola afu anakuuliza,kenonke ? Unatakiwa ujibu,hiyo ni ya wanaume,usiposema hivo anakuua

Ilisemwa kenonke inamaanisha "hiki ni nini"
Zali kama hizo mbona hazikunitokea. Yani huyo boya kenonke ndo anitokee hivyo na maswali yake ya kipumbavu ningemjibu pumba halafu huo mkono ningevyomtembezea
 
Kuna mwamba pale morogoro nimemsahau jina ila ilikua miaka ya 98 jamaaa alitikisa hatari walikuja kumuua pale soko kuu moro baada ya watu kuwatonya askali jamaa alikua anakuja dar wakamkuta kwenye abood akaruka ndo akaanza kukimbizana na maaskari lakini alaiua asikali wawili nae ndo kufika soko kuu wakampiga ..dah yule mwamba hua sisahau ilikua km movie maana tulikua ndo tunaenda shule milio ya risasi ilikua inalia km tuko ukrain hatari sana.
 
Kuna mwamba pale morogoro nimemsahau jina ila ilikua miaka ya 98 jamaaa alitikisa hatari walikuja kumuua pale soko kuu moro baada ya watu kuwatonya askali jamaa alikua anakuja dar wakamkuta kwenye abood akaruka ndo akaanza kukimbizana na maaskari lakini alaiua asikali wawili nae ndo kufika soko kuu wakampiga ..dah yule mwamba hua sisahau ilikua km movie maana tulikua ndo tunaenda shule milio ya risasi ilikua inalia km tuko ukrain hatari sana.
Ndanje huyo
 
Back
Top Bottom