Nyaraka muhimu kwa Maombi ya Kazi; Barua, CV /Resume na Rejea

JF haikosi majibu ila nimegundua watu wanao kusakzia nenda google nenda google nina uhakika 100% ukimfuma LIVE face to FACE umwambia akuandkie CV basi atakuandikia KITUKO.

Wanaojua CV nadhan umepata majibu yao na yamekusaidia ila wote waliokusukumia GOOGLE ni either HAWAJUI or WACHOYO wapo kundi moja ktk hayo achana nao...Wanaokujibu swali kwa Swali pia ACHANA nao.
 
Alieandika huu uzi anakazi tyr bila ubish[emoji23][emoji23]


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hivi we ukosoma CL katika pitapita yako katika elimu yako.Halafu this is repeated thread m2 wangu be current.
Communications Skills..nilikuwa nalichukia sana hili somo mpaka nalo likanichukia...
 
naomba kuuliza

kama kampuni imetoa ajira, na kwenye hizo ajira kuna nafasi mbili unaweza kuzifanya.!

je, utaandika barua moja kusema unaweza hizo kazi mbili au utaandika barua mbili na kila barua ikisema nafasi husika.?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…