Nyerere alifanya nini kwenye ardhi ya Tanzania?

Nyerere alifanya nini kwenye ardhi ya Tanzania?

Raila Odinga alipotoka Tz kurudi kwao sasa Agosti 19, 2022 anakuwa rais wa 5, mjaluo wa 1 Kenya na wa 8 duniani kuwa rais. Raila alikuwa Mhadhiri wa Kitivo



Nitajie wajaruo wengine 5 ukimuacha Obama na Salva Kiir waliowahi kuw marais .
Usinitajie wanigeria maana siyo waluo japo ni nilotic
 
Kuna siri gani kwenye ardhi ya Tanzania kwamba wanasiasa wa nchi za nje wakija kujiungamanisha nayo (wakilelewa Tz) wakirudi kwao wanaukwaa urais?

1. Samora Machel alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais.

2. Chisano alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais.

3. Filipe Nyusi alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais.

4. Nelson Mandela alipotoka Tz kurudi kwao akaenda jela na baada ya jela akawa rais.

5. Thabo Mbeki alipotoka Tz kurudi kwao akapata sifa za kuwa rais na akawa rais baada ya Madiba.

6. Sam Nujoma alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais. Nujoma alitoroka Wakoloni Namibia akatembea kwa Punda porini kukwepa kukamatwa; kwa miezi mitatu hadi Tz ndipo Mwl akampa pasi na tiketi ya ndege kwenda kuhutubia UN kudai uhuru.

7. Frederick Chiluba alipotoka kukata katani Tanga na kurudi kwao akawa rais.

8. Bingu Wa Mutahrika Sn alipotoka Tz kurudi kwao akajipatia sifa za kuwa rais na akawa rais.

9. Wa Mutharika Jr alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais baada ya kaka yake.

10. Laurent Desire Kabila alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais.

11. Joseph Kabila alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais baada ya namba 10 hapo juu.

12. John Garang alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais baada ya kuipigania utaifa wao kutoka Sudan.

13. Idd Amin alipotoka Tz kurudi kwao akapindua serikali akawa rais.

14. Milton Obote alipotoka Tz (baada ya kupinduliwa na Idd Amin) kurudi kwao akawa rais.

15. Mnangagwa alipotoka Tz kurudi kwao akaingia kwenye safu ya wanaostahili kuwa rais na akaja kuwa rais.

16. Yoweri Museveni alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais.

17. Raila Odinga alipotoka Tz kurudi kwao sasa Agosti 19, 2022 anakuwa rais wa 5, mjaluo wa 1 Kenya na wa 8 duniani kuwa rais. Raila alikuwa Mhadhiri wa Kitivo cha Uhandisi UDSM, mwaka 1980 baada ya vuguvugu la MWAKENYA lililotuhumiwa kutaka kumpindua Moi pasi yake ilifutwa, Mwl Nyerere alimpa pasi (kama ilivyokuwa kwa Mbeki na Nujoma) ya kwenda Norway ili serikali ya Norway imuombee pasi ya UN ya kwenda popote duniani isipokuwa Kenya.

18. Vladimir Vladimirovich Putin alikuja Tz (Bagamoyo) akiwa na umri wa miaka 21 na kuondoka akiwa na umri wa miaka 25. Amekuja kuwa rais wa nchi yake mara mbili na katikati ya vipindi hivyo amekuwa Waziri Mkuu.

Nadhani tumekosea kama nchi kuto-document hii kama historia jadidi ambayo ingeuza nchi yetu kidiplomasia, ki-utalii wa kitafiti nk nk. Hii siyo historia ya kupuuzwa hata kidogo. Ingetupa heshima Watz kila tukanyagapo duniani.

Kuna siri gani kwenye ardhi ya Tanzania kwamba wanasiasa wa nchi za nje wakija kujiungamanisha nayo (wakilelewa Tz) wakirudi kwao wanaukwaa urais?

View attachment 2189422
Taswira kwa hisani ya google.
Akili za kitumwa huwezi kuwa hustler unaandika mada kama hizi
 
Kuna siri gani kwenye ardhi ya Tanzania kwamba wanasiasa wa nchi za nje wakija kujiungamanisha nayo (wakilelewa Tz) wakirudi kwao wanaukwaa urais?

1. Samora Machel alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais.

2. Chisano alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais.

3. Filipe Nyusi alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais.

4. Nelson Mandela alipotoka Tz kurudi kwao akaenda jela na baada ya jela akawa rais.

5. Thabo Mbeki alipotoka Tz kurudi kwao akapata sifa za kuwa rais na akawa rais baada ya Madiba.

6. Sam Nujoma alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais. Nujoma alitoroka Wakoloni Namibia akatembea kwa Punda porini kukwepa kukamatwa; kwa miezi mitatu hadi Tz ndipo Mwl akampa pasi na tiketi ya ndege kwenda kuhutubia UN kudai uhuru.

7. Frederick Chiluba alipotoka kukata katani Tanga na kurudi kwao akawa rais.

8. Bingu Wa Mutahrika Sn alipotoka Tz kurudi kwao akajipatia sifa za kuwa rais na akawa rais.

9. Wa Mutharika Jr alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais baada ya kaka yake.

10. Laurent Desire Kabila alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais.

11. Joseph Kabila alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais baada ya namba 10 hapo juu.

12. John Garang alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais baada ya kuipigania utaifa wao kutoka Sudan.

13. Idd Amin alipotoka Tz kurudi kwao akapindua serikali akawa rais.

14. Milton Obote alipotoka Tz (baada ya kupinduliwa na Idd Amin) kurudi kwao akawa rais.

15. Mnangagwa alipotoka Tz kurudi kwao akaingia kwenye safu ya wanaostahili kuwa rais na akaja kuwa rais.

16. Yoweri Museveni alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais.

17. Raila Odinga alipotoka Tz kurudi kwao sasa Agosti 19, 2022 anakuwa rais wa 5, mjaluo wa 1 Kenya na wa 8 duniani kuwa rais. Raila alikuwa Mhadhiri wa Kitivo cha Uhandisi UDSM, mwaka 1980 baada ya vuguvugu la MWAKENYA lililotuhumiwa kutaka kumpindua Moi pasi yake ilifutwa, Mwl Nyerere alimpa pasi (kama ilivyokuwa kwa Mbeki na Nujoma) ya kwenda Norway ili serikali ya Norway imuombee pasi ya UN ya kwenda popote duniani isipokuwa Kenya.

18. Vladimir Vladimirovich Putin alikuja Tz (Bagamoyo) akiwa na umri wa miaka 21 na kuondoka akiwa na umri wa miaka 25. Amekuja kuwa rais wa nchi yake mara mbili na katikati ya vipindi hivyo amekuwa Waziri Mkuu.

Nadhani tumekosea kama nchi kuto-document hii kama historia jadidi ambayo ingeuza nchi yetu kidiplomasia, ki-utalii wa kitafiti nk nk. Hii siyo historia ya kupuuzwa hata kidogo. Ingetupa heshima Watz kila tukanyagapo duniani.

Kuna siri gani kwenye ardhi ya Tanzania kwamba wanasiasa wa nchi za nje wakija kujiungamanisha nayo (wakilelewa Tz) wakirudi kwao wanaukwaa urais?

View attachment 2189422
Taswira kwa hisani ya google.
Tanzania ina utaalamu mkubwa wa wizi wa kura na kufanya zuga-zuga za kuwa raisi kwa njia za short cut. That will be my guess 😉
 
Raila Odinga alipotoka Tz kurudi kwao sasa Agosti 19, 2022 anakuwa rais wa 5, mjaluo wa 1 Kenya na wa 8 duniani kuwa rais. Raila alikuwa Mhadhiri wa Kitivo



Nitajie wajaruo wengine 5 ukimuacha Obama na Salva Kiir waliowahi kuw marais .
Usinitajie wanigeria maana siyo waluo japo ni nilotic
Wale wa Nigeria ni Waluo waliopelekwa kule kwa njia ya biashara ya watumwa. (wa Owu wa Yoruba Obasanjo na wale wa Igbo kama Odumegwu Ojukwu)

Sudan yuko John Garang na Uganda wapo Obote (M-lang'o, Tito Okello ni M-Achol na Idd Amin M-Kakwa) Idd Amin babake alikuwa anaitwa Oumee lakini akafa kabla hajamzaa Idd ambaye mamake akarithiwa na Nyabire na kumzaa Idd Amin.
 
Hii nchi ni nzuri sana ila tulianza potea uelekeo awamu ya pili.

Toka pale mpaka sasa hatujakaa sawa.

Awamu ya tano tulikua tunaanza kurejea kwenye misingi yetu ila safari ikakatishwa ghafla.
Nikuombe mkuu 'stroke' uangazie huko ndani ya CCM au hata nje ya chama hicho utueleze kwa maoni yako ni nani anayeweza kutupeleka kwenye mwelekeo unaouona hapo kwenye maoni yako kwa sasa.

Kwani kuna ubaya gani wa kutaja watu, angalao tuwapime?

Au tubaki tu na kubahatisha kwa hisani ya NEC ya CCM?
 
Hii mbona sijawahi kuisikia. Wewe umeiokota wapi?
Nadhani tatizo ni rika na serikali kutodocument mambo haya kwa ajili ya kurithisha vizazi kwa njia ya kitaaluma. Idd Amin alichukuwa mafunzo ya juu ya kijeshi Lugalo na aliishi Makongo Juu. Alikuja Tz baada ya kushindwa kusoma Royal Military Academy Sandhurst, Camberley, United Kingdom kwa kukosa weledi wa lugha ya Kiingereza.
 
Nadhani tatizo ni rika na serikali kutodocument mambo haya kwa ajili ya kurithisha vizazi kwa njia ya kitaaluma. Idd Amin alichukuwa mafunzo ya juu ya kijeshi Lugalo na aliishi Makongo Juu. Alikuja Tz baada ya kushindwa kusoma Royal Military Academy Sandhurst, Camberley, United Kingdom kwa kukosa weledi wa lugha ya Kiingereza.
Ahsante mkuu Douglas Majwala, kwa kuniweka sawa.
Hapana, tatizo si 'rika', bali hilo la "kudocument mambo".
 
Ahsante mkuu Douglas Majwala, kwa kuniweka sawa.
Hapana, tatizo si 'rika', bali hilo la "kudocument mambo".
Mkuu,

Nchi hii ina urithi mkubwa wa Kihistoria kuliko hata vivutio vya utalii lakini hakuna anayehangaika kuvitafiti na kuvidocument.

Tunahitaji kuandika historia ya nchi hii upya kabisa, TUACHE SIASA ZA KUPINDUANA MAWAZO katika hili.

Mmoja akianza kuonyesha njia tufuate, tusiachane na wazo lake la kufanya mapinduzi haya ya msingi sana katika historia ya nchi yetu.

Siku akitokea Mzungu kutuandikia historia hii ya nchi yetu kwa upya (hata kama siyo kwa usahihi) utaona taifa linamsikiliza na kutekeleza mawazo yake kwa gharama yoyote.

TUMEGENISHA UWEZO WETU WA KUFIKIRI.
 
Kuna siri gani kwenye ardhi ya Tanzania kwamba wanasiasa wa nchi za nje wakija kujiungamanisha nayo (wakilelewa Tz) wakirudi kwao wanaukwaa urais?

1. Samora Machel alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais.

2. Chisano alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais.

3. Filipe Nyusi alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais.

4. Nelson Mandela alipotoka Tz kurudi kwao akaenda jela na baada ya jela akawa rais.

5. Thabo Mbeki alipotoka Tz kurudi kwao akapata sifa za kuwa rais na akawa rais baada ya Madiba.

6. Sam Nujoma alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais. Nujoma alitoroka Wakoloni Namibia akatembea kwa Punda porini kukwepa kukamatwa; kwa miezi mitatu hadi Tz ndipo Mwl akampa pasi na tiketi ya ndege kwenda kuhutubia UN kudai uhuru.

7. Frederick Chiluba alipotoka kukata katani Tanga na kurudi kwao akawa rais.

8. Bingu Wa Mutahrika Sn alipotoka Tz kurudi kwao akajipatia sifa za kuwa rais na akawa rais.

9. Wa Mutharika Jr alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais baada ya kaka yake.

10. Laurent Desire Kabila alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais.

11. Joseph Kabila alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais baada ya namba 10 hapo juu.

12. John Garang alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais baada ya kuipigania utaifa wao kutoka Sudan.

13. Idd Amin alipotoka Tz kurudi kwao akapindua serikali akawa rais.

14. Milton Obote alipotoka Tz (baada ya kupinduliwa na Idd Amin) kurudi kwao akawa rais.

15. Mnangagwa alipotoka Tz kurudi kwao akaingia kwenye safu ya wanaostahili kuwa rais na akaja kuwa rais.

16. Yoweri Museveni alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais.

17. Raila Odinga alipotoka Tz kurudi kwao sasa Agosti 19, 2022 anakuwa rais wa 5, mjaluo wa 1 Kenya na wa 8 duniani kuwa rais. Raila alikuwa Mhadhiri wa Kitivo cha Uhandisi UDSM, mwaka 1980 baada ya vuguvugu la MWAKENYA lililotuhumiwa kutaka kumpindua Moi pasi yake ilifutwa, Mwl Nyerere alimpa pasi (kama ilivyokuwa kwa Mbeki na Nujoma) ya kwenda Norway ili serikali ya Norway imuombee pasi ya UN ya kwenda popote duniani isipokuwa Kenya.

18. Vladimir Vladimirovich Putin alikuja Tz (Bagamoyo) akiwa na umri wa miaka 21 na kuondoka akiwa na umri wa miaka 25. Amekuja kuwa rais wa nchi yake mara mbili na katikati ya vipindi hivyo amekuwa Waziri Mkuu.

Nadhani tumekosea kama nchi kuto-document hii kama historia jadidi ambayo ingeuza nchi yetu kidiplomasia, ki-utalii wa kitafiti nk nk. Hii siyo historia ya kupuuzwa hata kidogo. Ingetupa heshima Watz kila tukanyagapo duniani.

Kuna siri gani kwenye ardhi ya Tanzania kwamba wanasiasa wa nchi za nje wakija kujiungamanisha nayo (wakilelewa Tz) wakirudi kwao wanaukwaa urais?

View attachment 2189422
Taswira kwa hisani ya google.
Hiyo picha inakueleza kila kitu kama Unaweza kusoma body language !! Unaweza kujua alikuwa ni MTU wa aina gani !
 
Hiyo picha inakueleza kila kitu kama Unaweza kusoma body language !! Unaweza kujua alikuwa ni MTU wa aina gani !
Kwa kutumia nguvu ya haiba yake hiyo alifanikiwa kuwalazimisha Wazungu kule UN (yeye akiwa ni mweusi tu) waiingize China kwenye Veto Power baada ya mataifa makubwa ya Magharibi na Ulaya kuigomea China kwa madai ya Ukomunisti wake.
 
Hii nchi ni nzuri sana ila tulianza potea uelekeo awamu ya pili.

Toka pale mpaka sasa hatujakaa sawa.

Awamu ya tano tulikua tunaanza kurejea kwenye misingi yetu ila safari ikakatishwa ghafla.
Nikweli wazanzibari wana ilawiti nchi na kuifirauni
 
Wote hao! Kumbe Tz ni kitovu cha ukombozi katika Africa

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli mkuu,

Mwl ndiye aliishawishi Jumuiya ya Madola na UN kuiwekea vikwazo serikali ya makaburu Afrika Kusini na mpango wake ukafanikiwa. Alikuwa na nguvu ya ushawishi. Rekodi yake duniani haijavunjwa ya kutengeneza Marais wapatao 18 wa nje achilia wale wa ndani.
 
Kuna siri gani kwenye ardhi ya Tanzania kwamba wanasiasa wa nchi za nje wakija kujiungamanisha nayo (wakilelewa Tz) wakirudi kwao wanaukwaa urais?

1. Samora Machel alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais.

2. Chisano alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais.

3. Filipe Nyusi alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais.

4. Nelson Mandela alipotoka Tz kurudi kwao akaenda jela na baada ya jela akawa rais.

5. Thabo Mbeki alipotoka Tz kurudi kwao akapata sifa za kuwa rais na akawa rais baada ya Madiba.

6. Sam Nujoma alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais. Nujoma alitoroka Wakoloni Namibia akatembea kwa Punda porini kukwepa kukamatwa; kwa miezi mitatu hadi Tz ndipo Mwl akampa pasi na tiketi ya ndege kwenda kuhutubia UN kudai uhuru.

7. Frederick Chiluba alipotoka kukata katani Tanga na kurudi kwao akawa rais.

8. Bingu Wa Mutahrika Sn alipotoka Tz kurudi kwao akajipatia sifa za kuwa rais na akawa rais.

9. Wa Mutharika Jr alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais baada ya kaka yake.

10. Laurent Desire Kabila alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais.

11. Joseph Kabila alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais baada ya namba 10 hapo juu.

12. John Garang alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais baada ya kuipigania utaifa wao kutoka Sudan.

13. Idd Amin alipotoka Tz kurudi kwao akapindua serikali akawa rais.

14. Milton Obote alipotoka Tz (baada ya kupinduliwa na Idd Amin) kurudi kwao akawa rais.

15. Mnangagwa alipotoka Tz kurudi kwao akaingia kwenye safu ya wanaostahili kuwa rais na akaja kuwa rais.

16. Yoweri Museveni alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais.

17. Raila Odinga alipotoka Tz kurudi kwao sasa Agosti 19, 2022 anakuwa rais wa 5, mjaluo wa 1 Kenya na wa 8 duniani kuwa rais. Raila alikuwa Mhadhiri wa Kitivo cha Uhandisi UDSM, mwaka 1980 baada ya vuguvugu la MWAKENYA lililotuhumiwa kutaka kumpindua Moi pasi yake ilifutwa, Mwl Nyerere alimpa pasi (kama ilivyokuwa kwa Mbeki na Nujoma) ya kwenda Norway ili serikali ya Norway imuombee pasi ya UN ya kwenda popote duniani isipokuwa Kenya.

18. Vladimir Vladimirovich Putin alikuja Tz (Bagamoyo) akiwa na umri wa miaka 21 na kuondoka akiwa na umri wa miaka 25. Amekuja kuwa rais wa nchi yake mara mbili na katikati ya vipindi hivyo amekuwa Waziri Mkuu.

Nadhani tumekosea kama nchi kuto-document hii kama historia jadidi ambayo ingeuza nchi yetu kidiplomasia, ki-utalii wa kitafiti nk nk. Hii siyo historia ya kupuuzwa hata kidogo. Ingetupa heshima Watz kila tukanyagapo duniani.

Kuna siri gani kwenye ardhi ya Tanzania kwamba wanasiasa wa nchi za nje wakija kujiungamanisha nayo (wakilelewa Tz) wakirudi kwao wanaukwaa urais?

View attachment 2189422
Taswira kwa hisani ya google.
MK254 Tony254 komora096 Nicxie amkeni acheni kulala kibera habari zinawapita huku
 
Back
Top Bottom