Nyerere alifanya nini kwenye ardhi ya Tanzania?

Nyerere alifanya nini kwenye ardhi ya Tanzania?

At that time South Africa was Independent or was under control(colonized by) of Boers??? Facts of Independet countries which their leaders were discriminatory and developed at high level please mention.
South Africa became independent from Great Britain on December 11, 1931, but the British monarch remained head of state. On May 31, 1961, the country became a republic, severing all formal ties with Great Britain.

South Africa (Whites vs Blacks)

Israel (Jews vs Non Jews)

USA (Whites vs Blacks)

Iraq (Arabs vs Kurds)

Morocco (Moroccans vs Sahrawians) GDP in Morocco was expected to reach 117.00 billion US dollars by the end of 2021.

Libya (Gaddafi as part of his "cultural revolution" he banned all private enterprise and unsound books were burned).

Ethiopia (with the leading number of Lutherans in Afro about 10ml of them, and majority of the population subscribing to Abrahamic Christian denominations, Addis still known as the most brutal regime against religion in Afro). The Gross Domestic Product (GDP) in Ethiopia was worth 107.65 billion US dollars (Tshs. 258.36 tr) in 2020.

South Korea (South Koreans vs North Koreans) before exchange of captives.

North Korea (North Koreans vs South Koreans) before exchange of captives.

(Japan annexed Korea. As Japan’s colony, Korea was under a cruel Japanese rule for 35 years (1910-1945). Korean which is a peninsula ended her conflict in 1953 with resolution to divide her into North and South.
 
Ungeweka evidence sio kudanganya watu humu
Mwaka 1976 Eng. Raila Odinga alihadhiri katika Kitivo cha Uhandisi cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, katika kozi ya Mechanical Engineering aliyosomea Ujerumani Mashariki. Huo mwaka ulikuwepo kwenye sayari hii? Utakujabisha pia kwamba Prof. Mutharika, Prof. Wamba Dia Wamba, Yoweri Museveni hawakufanyakazi ya kitaaluma UDSM.
 
Mwaka 1976 Eng. Raila Odinga alihadhiri katika Kitivo cha Uhandisi cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, katika kozi ya Mechanical Engineering aliyosomea Ujerumani Mashariki. Huo mwaka ulikuwepo kwenye sayari hii? Utakujabisha pia kwamba Prof. Mutharika, Prof. Wamba Dia Wamba, Yoweri Museveni hawakufanyakazi ya kitaaluma UDSM.
Nimekuitisha evidence unanipa maneno matupu. Soma hii biography ya Raila unionyeshe ni wapi hapo pameandikwa kwamba alifanya kazi Tanzania.

 
Afadhali hata Waarabu wangeleta maendeleo kuliko nyie mnaomwaga damu za Wazanzibari tangu 1964 na kuzidisha umaskini.
Sasa kwanini msimwambie mzanzibar wenu mpumbavuuu avunje muungano kwani maraisi wote si wazanzibar au ujui
 
Hii nchi ni nzuri sana ila tulianza potea uelekeo awamu ya pili.

Toka pale mpaka sasa hatujakaa sawa.

Awamu ya tano tulikua tunaanza kurejea kwenye misingi yetu ila safari ikakatishwa ghafla.
Tatizo kubwa kabisa tulilonalo na ambalo linatusumbua hadi leo ni kwamba hata hatujui tulipotea lini na wapi.

Tulipotea wakati wa ubinafsishaji. Kabla ya ubinafsisaji, huko nyuma hatukuwahi kupotea isipokuwa tulikuwa na changamoto tu za kawaida ambazo Taifa lolote lile changa huwa linazipitia. Tulipotea kiuchumi wakati wa awamuya Nne kwa kukabidhi nguzo muhimu za uchumi wa Nchi nzima kwa wageni; na ambao kwao hawana kitu pia; walisha-exhaust resources zote

Mbaya zaidi, tukafanya kosa jingine kubwa mwanzo wa awamu ya Nne, wakati JK anaingia madarakani. JK alikuta system ambayo imeshajengeka kiasi kwamba yeye ndiye alitakiwa aongozwe na si yeye aongoze nchi. Alijaribu kupambana nayo hivvyo hivyo lakini hakufanikiwa kuibadilisha na pengine kama angeamua kuibadilisha kabisa ili airudishe kama ilivyokuwa wakati wa Mwinyi au wa Nyerere; the chances ni kwamba pengine hata yeye tusingekuwa naye leo.

Tukumbuke kuwa Marais tunaowaweka madarakani, ni binadamu wa kawaida kabisa sawa kabisa kama tulivyo sisi; isipokuwa tofauti yao na sisi ni mamlaka tu basi. Hivi vitu vingine vyote wako sawa kabisa na sisi
 
Back
Top Bottom