Nyerere alifanya nini kwenye ardhi ya Tanzania?

Nyerere alifanya nini kwenye ardhi ya Tanzania?

Mwalimu sijui kwanini hakuandaa hata damu yake moja iwe kama yy
 
Mwalimu sijui kwanini hakuandaa hata damu yake moja iwe kama yy
Aliwaandaa ila hakuwapa nafasi.

Makongoro Nyerere, Army Captain rtd (Chabruma Camp Ruvuma) and incumbent Manyara RC.

Andrew Nyerere, absorbed in village life, chose to evade being state-house son. Moderately bookish.

Anna Nyerere, a one time Nun.

Madaraka Nyerere, akin Mwl in brain power. Highly metric brain. Graduate. Like Andrew, derives satisfaction in village life than urban.

Rosemary Nyerere, IFM Lecturer, Accountant/Politician, Mzumbe Alumna, deceased.

John Nyerere, 4th born, deceased, well schooled but chose to live low profile life though proud of urban civilization.

Magige Nyerere, somehow…
 
Kuna siri gani kwenye ardhi ya Tanzania kwamba wanasiasa wa nchi za nje wakija kujiungamanisha nayo (wakilelewa Tz) wakirudi kwao wanaukwaa urais?

1. Samora Machel alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais.

2. Chisano alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais.

3. Filipe Nyusi alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais.

4. Nelson Mandela alipotoka Tz kurudi kwao akaenda jela na baada ya jela akawa rais.

5. Thabo Mbeki alipotoka Tz kurudi kwao akapata sifa za kuwa rais na akawa rais baada ya Madiba.

6. Sam Nujoma alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais. Nujoma alitoroka Wakoloni Namibia akatembea kwa Punda porini kukwepa kukamatwa; kwa miezi mitatu hadi Tz ndipo Mwl akampa pasi na tiketi ya ndege kwenda kuhutubia UN kudai uhuru.

7. Frederick Chiluba alipotoka kukata katani Tanga na kurudi kwao akawa rais.

8. Bingu Wa Mutahrika Sn alipotoka Tz kurudi kwao akajipatia sifa za kuwa rais na akawa rais.

9. Wa Mutharika Jr alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais baada ya kaka yake.

10. Laurent Desire Kabila alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais.

11. Joseph Kabila alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais baada ya namba 10 hapo juu.

12. John Garang alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais baada ya kuipigania utaifa wao kutoka Sudan.

13. Idd Amin alipotoka Tz kurudi kwao akapindua serikali akawa rais.

14. Milton Obote alipotoka Tz (baada ya kupinduliwa na Idd Amin) kurudi kwao akawa rais.

15. Mnangagwa alipotoka Tz kurudi kwao akaingia kwenye safu ya wanaostahili kuwa rais na akaja kuwa rais.

16. Yoweri Museveni alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais.

17. Raila Odinga alipotoka Tz kurudi kwao sasa Agosti 19, 2022 anakuwa rais wa 5, mjaluo wa 1 Kenya na wa 8 duniani kuwa rais. Raila alikuwa Mhadhiri wa Kitivo cha Uhandisi UDSM, mwaka 1980 baada ya vuguvugu la MWAKENYA lililotuhumiwa kutaka kumpindua Moi pasi yake ilifutwa, Mwl Nyerere alimpa pasi (kama ilivyokuwa kwa Mbeki na Nujoma) ya kwenda Norway ili serikali ya Norway imuombee pasi ya UN ya kwenda popote duniani isipokuwa Kenya.

18. Vladimir Vladimirovich Putin alikuja Tz (Bagamoyo) akiwa na umri wa miaka 21 na kuondoka akiwa na umri wa miaka 25. Amekuja kuwa rais wa nchi yake mara mbili na katikati ya vipindi hivyo amekuwa Waziri Mkuu.

Nadhani tumekosea kama nchi kuto-document hii kama historia jadidi ambayo ingeuza nchi yetu kidiplomasia, ki-utalii wa kitafiti nk nk. Hii siyo historia ya kupuuzwa hata kidogo. Ingetupa heshima Watz kila tukanyagapo duniani.

Kuna siri gani kwenye ardhi ya Tanzania kwamba wanasiasa wa nchi za nje wakija kujiungamanisha nayo (wakilelewa Tz) wakirudi kwao wanaukwaa urais?

View attachment 2189422
Taswira kwa hisani ya google.
Hapa ndipo kwenye tatizo.
Ni ajabu kuwawezesha Marais wengi hivyo halafu kubaki katika hali ya umasikini.
Kwa hali ya kawaida, Tanzania ilitakiwa iwe imeshika siasa na uchumi wa nchi hizo.
Hizi sifa za maneno zinatakiwa ziangaliwe upya.
Mwalimu alikosa watu wenye weledi.
Ni muhimu kujua hali ya Dunia na siasa zake badala ya kukariri.
 
Nikweli wazanzibari wana ilawiti nchi na kuifirauni

Bila ya huyo baba yenu Nyerere kuvamia Zanzibar mwaka 1964, Wanzanzibari wasingewasumbua leo kama mnavyopiga kelele. Baba yenu Nyerere kawaingiza mkengeni.
 
Nadhani tumekosea kama nchi kuto-document hii kama historia jadidi ambayo ingeuza nchi yetu kidiplomasia, ki-utalii wa kitafiti nk nk. Hii siyo historia ya kupuuzwa hata kidogo. Ingetupatia heshima Watz kila tukanyagapo duniani.
huwezi kupata heshima kwa kufanya mambo kama haya.heshima ya dunia ni kuwa na uchumi mzuri halafu rafiki wa EU na USA. halafu hapa africa heshima ipo ktk kucheza Afcon na world cup. sifa hizi utapendwa duniani kote.
 
Uzi wako ni uongo kwa asilimia 70
Nadhani tumekosea kama nchi kuto-document hii kama historia jadidi ambayo ingeuza nchi yetu kidiplomasia, ki-utalii wa kitafiti nk nk. Hii siyo historia ya kupuuzwa hata kidogo. Ingetupatia heshima Watz kila tukanyagapo duniani.
 
Kuna siri gani kwenye ardhi ya Tanzania kwamba wanasiasa wa nchi za nje wakija kujiungamanisha nayo (wakilelewa Tz) wakirudi kwao wanaukwaa urais?

1. Samora Machel alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais.

2. Chisano alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais.

3. Filipe Nyusi alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais.

4. Nelson Mandela alipotoka Tz kurudi kwao akaenda jela na baada ya jela akawa rais.

5. Thabo Mbeki alipotoka Tz kurudi kwao akapata sifa za kuwa rais na akawa rais baada ya Madiba.

6. Sam Nujoma alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais. Nujoma alitoroka Wakoloni Namibia akatembea kwa Punda porini kukwepa kukamatwa; kwa miezi mitatu hadi Tz ndipo Mwl akampa pasi na tiketi ya ndege kwenda kuhutubia UN kudai uhuru.

7. Frederick Chiluba alipotoka kukata katani Tanga na kurudi kwao akawa rais.

8. Bingu Wa Mutahrika Sn alipotoka Tz kurudi kwao akajipatia sifa za kuwa rais na akawa rais.

9. Wa Mutharika Jr alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais baada ya kaka yake.

10. Laurent Desire Kabila alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais.

11. Joseph Kabila alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais baada ya namba 10 hapo juu.

12. John Garang alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais baada ya kuipigania utaifa wao kutoka Sudan.

13. Idd Amin alipotoka Tz kurudi kwao akapindua serikali akawa rais.

14. Milton Obote alipotoka Tz (baada ya kupinduliwa na Idd Amin) kurudi kwao akawa rais.

15. Mnangagwa alipotoka Tz kurudi kwao akaingia kwenye safu ya wanaostahili kuwa rais na akaja kuwa rais.

16. Yoweri Museveni alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais.

17. Raila Odinga alipotoka Tz kurudi kwao sasa Agosti 19, 2022 anakuwa rais wa 5, mjaluo wa 1 Kenya na wa 8 duniani kuwa rais. Raila alikuwa Mhadhiri wa Kitivo cha Uhandisi UDSM, mwaka 1980 baada ya vuguvugu la MWAKENYA lililotuhumiwa kutaka kumpindua Moi pasi yake ilifutwa, Mwl Nyerere alimpa pasi (kama ilivyokuwa kwa Mbeki na Nujoma) ya kwenda Norway ili serikali ya Norway imuombee pasi ya UN ya kwenda popote duniani isipokuwa Kenya.

18. Vladimir Vladimirovich Putin alikuja Tz (Bagamoyo) akiwa na umri wa miaka 21 na kuondoka akiwa na umri wa miaka 25. Amekuja kuwa rais wa nchi yake mara mbili na katikati ya vipindi hivyo amekuwa Waziri Mkuu.

Nadhani tumekosea kama nchi kuto-document hii kama historia jadidi ambayo ingeuza nchi yetu kidiplomasia, ki-utalii wa kitafiti nk nk. Hii siyo historia ya kupuuzwa hata kidogo. Ingetupa heshima Watz kila tukanyagapo duniani.

Kuna siri gani kwenye ardhi ya Tanzania kwamba wanasiasa wa nchi za nje wakija kujiungamanisha nayo (wakilelewa Tz) wakirudi kwao wanaukwaa urais?

View attachment 2189422
Taswira kwa hisani ya google.
Hayati Mwalimu alikuwa ni kisima cha maarifa na werevu yaani intellect and Intelligence.

Hao wote ulowataja walikuwa ni watu wenye haiba na sifa hizo.

Kwa watanzania wapo wachache ambao kwa sasa wamezibwa - Bashiru Ally, Humphrey Polepole, wazee Issa Shivji na Jenerali Ulimwengu (mwalimu alimpa kazi Algeria kwa miaka mingi), Kanali Simbakalila na mzee Butiku ambae kwa sasa aongea kwa "handbrake".

Mawazo ya Mwalimu yana wafuasi wake na hao nilowataja ni mfano mdogo tu Humphrey Polepole ameleta shule ya uongozi amepigwa full stop.

Leo hii watu wanapiga milioni 600 kujenga bwawa hewa ndo waonekana watu wa maana, hakuna uwajibikaji.
 
Douglas Majwala eti Raila Odinga alikuwa mhadhiri UDSM? Hebu weka evidence. Isije ikawa unavuta bangi kali huku.
Wewe umeona Raila odinga tu .
Kwani ujui kuwa Raila odinga alikuwa anakuja tz kipindi cha jpm, hiyo ni nyota ya tz kutoa viongozi tz ni hija ya viongozi
 
Bila ya huyo baba yenu Nyerere kuvamia Zanzibar mwaka 1964, Wanzanzibari wasingewasumbua leo kama mnavyopiga kelele. Baba yenu Nyerere kawaingiza mkengeni.
Na bila nyerere kuilinda zanzibar kipindi kile mjue mngekuwa kama somalia kwa machafuko waarabu walijiapiza kuvamia tena zanzibar chini ya sultan
 
huwezi kupata heshima kwa kufanya mambo kama haya.heshima ya dunia ni kuwa na uchumi mzuri halafu rafiki wa EU na USA. halafu hapa africa heshima ipo ktk kucheza Afcon na world cup. sifa hizi utapendwa duniani kote.
Na pia ukiwa na mapesa mengi hata kama yametokana na kazi chafu chafu !!
 
Na bila nyerere kuilinda zanzibar kipindi kile mjue mngekuwa kama somalia kwa machafuko waarabu walijiapiza kuvamia tena zanzibar chini ya sultan
Afadhali hata Waarabu wangeleta maendeleo kuliko nyie mnaomwaga damu za Wazanzibari tangu 1964 na kuzidisha umaskini.
 
nyerere alitaifisha nyumba za waislamu na kuwa nhc watu wengi walikufa kwa mawazo uhujumu uchumi watu walifungwa kwa friji moja au tv vijiji vya ujamaa watu waliondolewa kwenye ardhi zao kwa nguvu kwenda kujiunga na wenzao wengi walipoteza mashamba na maisha yao pia. dawa ya mswaki tube 1 kwa kila kaya na sukari kilo 1 kwa kila kaya mnajipanga foleni kupewa kwenye maduka ya RTC kwa kibali cha mwenyekiti, redio hununuwi mpaka uwe na kibali kutoka halmashauri yote alituletea nyerere tulikula unga wa yanga njano mchungu kuliko shubiri tuliogea sabuni magwanji yana harufu mbaya ni sabuni za kienyeji RTC wakikupa box 10 za sabuni ya mti inaitwa ILULA wewe ukienda kuuza unapesa nzuri sana nusu ya utajiri kumiliki Tv uwe na kadi ya TRA kama umemiliki gari
 
South Africa developed within 15 years [since 1974's till 1989] to a major role player in the world even under the fiercest embargo ever placed upon a country. It was like an Island [neglected by the world].
At that time South Africa was Independent or was under control(colonized by) of Boers??? Facts of Independet countries which their leaders were discriminatory and developed at high level please mention.
 
Uzi wako ni uongo kwa asilimia 70
Tupe ukweli wako wa kuthibitisha kwamba viongozi wote hao hawajaishi Tz kwa nyakati tofauti katika harakati zao za kusaka ama uhuru, ukombozi au madaraka ya nchi zao. Shida asilimia kubwa ya Wana-JF wamezaliwa AC (After Computers) na siyo BC (Before Computers) na bahati mbaya kwao ni kwamba historia sahihi ya nchi yetu haijaandikwa/haijawadocumented inavyostahili (mambo mengi yameachwa nje).
 
Hayati Mwalimu alikuwa ni kisima cha maarifa na werevu yaani intellect and Intelligence.

Hao wote ulowataja walikuwa ni watu wenye haiba na sifa hizo.

Kwa watanzania wapo wachache ambao kwa sasa wamezibwa - Bashiru Ally, Humphrey Polepole, wazee Issa Shivji na Jenerali Ulimwengu (mwalimu alimpa kazi Algeria kwa miaka mingi), Kanali Simbakalila na mzee Butiku ambae kwa sasa aongea kwa "handbrake".

Mawazo ya Mwalimu yana wafuasi wake na hao nilowataja ni mfano mdogo tu Humphrey Polepole ameleta shule ya uongozi amepigwa full stop.

Leo hii watu wanapiga milioni 600 kujenga bwawa hewa ndo waonekana watu wa maana, hakuna uwajibikaji.
Mwanafalsafa wa Kigiriki Aristotle alitafsiri viongozi kama ni wezi, wala rushwa na wababaishaji.
 
Back
Top Bottom