Akili za kitumwa huwezi kuwa hustler unaandika mada kama hiziKuna siri gani kwenye ardhi ya Tanzania kwamba wanasiasa wa nchi za nje wakija kujiungamanisha nayo (wakilelewa Tz) wakirudi kwao wanaukwaa urais?
1. Samora Machel alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais.
2. Chisano alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais.
3. Filipe Nyusi alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais.
4. Nelson Mandela alipotoka Tz kurudi kwao akaenda jela na baada ya jela akawa rais.
5. Thabo Mbeki alipotoka Tz kurudi kwao akapata sifa za kuwa rais na akawa rais baada ya Madiba.
6. Sam Nujoma alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais. Nujoma alitoroka Wakoloni Namibia akatembea kwa Punda porini kukwepa kukamatwa; kwa miezi mitatu hadi Tz ndipo Mwl akampa pasi na tiketi ya ndege kwenda kuhutubia UN kudai uhuru.
7. Frederick Chiluba alipotoka kukata katani Tanga na kurudi kwao akawa rais.
8. Bingu Wa Mutahrika Sn alipotoka Tz kurudi kwao akajipatia sifa za kuwa rais na akawa rais.
9. Wa Mutharika Jr alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais baada ya kaka yake.
10. Laurent Desire Kabila alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais.
11. Joseph Kabila alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais baada ya namba 10 hapo juu.
12. John Garang alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais baada ya kuipigania utaifa wao kutoka Sudan.
13. Idd Amin alipotoka Tz kurudi kwao akapindua serikali akawa rais.
14. Milton Obote alipotoka Tz (baada ya kupinduliwa na Idd Amin) kurudi kwao akawa rais.
15. Mnangagwa alipotoka Tz kurudi kwao akaingia kwenye safu ya wanaostahili kuwa rais na akaja kuwa rais.
16. Yoweri Museveni alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais.
17. Raila Odinga alipotoka Tz kurudi kwao sasa Agosti 19, 2022 anakuwa rais wa 5, mjaluo wa 1 Kenya na wa 8 duniani kuwa rais. Raila alikuwa Mhadhiri wa Kitivo cha Uhandisi UDSM, mwaka 1980 baada ya vuguvugu la MWAKENYA lililotuhumiwa kutaka kumpindua Moi pasi yake ilifutwa, Mwl Nyerere alimpa pasi (kama ilivyokuwa kwa Mbeki na Nujoma) ya kwenda Norway ili serikali ya Norway imuombee pasi ya UN ya kwenda popote duniani isipokuwa Kenya.
18. Vladimir Vladimirovich Putin alikuja Tz (Bagamoyo) akiwa na umri wa miaka 21 na kuondoka akiwa na umri wa miaka 25. Amekuja kuwa rais wa nchi yake mara mbili na katikati ya vipindi hivyo amekuwa Waziri Mkuu.
Nadhani tumekosea kama nchi kuto-document hii kama historia jadidi ambayo ingeuza nchi yetu kidiplomasia, ki-utalii wa kitafiti nk nk. Hii siyo historia ya kupuuzwa hata kidogo. Ingetupa heshima Watz kila tukanyagapo duniani.
Kuna siri gani kwenye ardhi ya Tanzania kwamba wanasiasa wa nchi za nje wakija kujiungamanisha nayo (wakilelewa Tz) wakirudi kwao wanaukwaa urais?
View attachment 2189422
Taswira kwa hisani ya google.
Hii mbona sijawahi kuisikia. Wewe umeiokota wapi?13. Idd Amin alipotoka Tz kurudi kwao akapindua serikali akawa rais.
Tanzania ina utaalamu mkubwa wa wizi wa kura na kufanya zuga-zuga za kuwa raisi kwa njia za short cut. That will be my guess 😉Kuna siri gani kwenye ardhi ya Tanzania kwamba wanasiasa wa nchi za nje wakija kujiungamanisha nayo (wakilelewa Tz) wakirudi kwao wanaukwaa urais?
1. Samora Machel alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais.
2. Chisano alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais.
3. Filipe Nyusi alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais.
4. Nelson Mandela alipotoka Tz kurudi kwao akaenda jela na baada ya jela akawa rais.
5. Thabo Mbeki alipotoka Tz kurudi kwao akapata sifa za kuwa rais na akawa rais baada ya Madiba.
6. Sam Nujoma alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais. Nujoma alitoroka Wakoloni Namibia akatembea kwa Punda porini kukwepa kukamatwa; kwa miezi mitatu hadi Tz ndipo Mwl akampa pasi na tiketi ya ndege kwenda kuhutubia UN kudai uhuru.
7. Frederick Chiluba alipotoka kukata katani Tanga na kurudi kwao akawa rais.
8. Bingu Wa Mutahrika Sn alipotoka Tz kurudi kwao akajipatia sifa za kuwa rais na akawa rais.
9. Wa Mutharika Jr alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais baada ya kaka yake.
10. Laurent Desire Kabila alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais.
11. Joseph Kabila alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais baada ya namba 10 hapo juu.
12. John Garang alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais baada ya kuipigania utaifa wao kutoka Sudan.
13. Idd Amin alipotoka Tz kurudi kwao akapindua serikali akawa rais.
14. Milton Obote alipotoka Tz (baada ya kupinduliwa na Idd Amin) kurudi kwao akawa rais.
15. Mnangagwa alipotoka Tz kurudi kwao akaingia kwenye safu ya wanaostahili kuwa rais na akaja kuwa rais.
16. Yoweri Museveni alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais.
17. Raila Odinga alipotoka Tz kurudi kwao sasa Agosti 19, 2022 anakuwa rais wa 5, mjaluo wa 1 Kenya na wa 8 duniani kuwa rais. Raila alikuwa Mhadhiri wa Kitivo cha Uhandisi UDSM, mwaka 1980 baada ya vuguvugu la MWAKENYA lililotuhumiwa kutaka kumpindua Moi pasi yake ilifutwa, Mwl Nyerere alimpa pasi (kama ilivyokuwa kwa Mbeki na Nujoma) ya kwenda Norway ili serikali ya Norway imuombee pasi ya UN ya kwenda popote duniani isipokuwa Kenya.
18. Vladimir Vladimirovich Putin alikuja Tz (Bagamoyo) akiwa na umri wa miaka 21 na kuondoka akiwa na umri wa miaka 25. Amekuja kuwa rais wa nchi yake mara mbili na katikati ya vipindi hivyo amekuwa Waziri Mkuu.
Nadhani tumekosea kama nchi kuto-document hii kama historia jadidi ambayo ingeuza nchi yetu kidiplomasia, ki-utalii wa kitafiti nk nk. Hii siyo historia ya kupuuzwa hata kidogo. Ingetupa heshima Watz kila tukanyagapo duniani.
Kuna siri gani kwenye ardhi ya Tanzania kwamba wanasiasa wa nchi za nje wakija kujiungamanisha nayo (wakilelewa Tz) wakirudi kwao wanaukwaa urais?
View attachment 2189422
Taswira kwa hisani ya google.
Wale wa Nigeria ni Waluo waliopelekwa kule kwa njia ya biashara ya watumwa. (wa Owu wa Yoruba Obasanjo na wale wa Igbo kama Odumegwu Ojukwu)Raila Odinga alipotoka Tz kurudi kwao sasa Agosti 19, 2022 anakuwa rais wa 5, mjaluo wa 1 Kenya na wa 8 duniani kuwa rais. Raila alikuwa Mhadhiri wa Kitivo
Nitajie wajaruo wengine 5 ukimuacha Obama na Salva Kiir waliowahi kuw marais .
Usinitajie wanigeria maana siyo waluo japo ni nilotic
Leo nimejifunza kwako kuwa kumbe Historia ni utumwa!Akili za kitumwa huwezi kuwa hustler unaandika mada kama hizi
Nikuombe mkuu 'stroke' uangazie huko ndani ya CCM au hata nje ya chama hicho utueleze kwa maoni yako ni nani anayeweza kutupeleka kwenye mwelekeo unaouona hapo kwenye maoni yako kwa sasa.Hii nchi ni nzuri sana ila tulianza potea uelekeo awamu ya pili.
Toka pale mpaka sasa hatujakaa sawa.
Awamu ya tano tulikua tunaanza kurejea kwenye misingi yetu ila safari ikakatishwa ghafla.
Nadhani tatizo ni rika na serikali kutodocument mambo haya kwa ajili ya kurithisha vizazi kwa njia ya kitaaluma. Idd Amin alichukuwa mafunzo ya juu ya kijeshi Lugalo na aliishi Makongo Juu. Alikuja Tz baada ya kushindwa kusoma Royal Military Academy Sandhurst, Camberley, United Kingdom kwa kukosa weledi wa lugha ya Kiingereza.Hii mbona sijawahi kuisikia. Wewe umeiokota wapi?
Ahsante mkuu Douglas Majwala, kwa kuniweka sawa.Nadhani tatizo ni rika na serikali kutodocument mambo haya kwa ajili ya kurithisha vizazi kwa njia ya kitaaluma. Idd Amin alichukuwa mafunzo ya juu ya kijeshi Lugalo na aliishi Makongo Juu. Alikuja Tz baada ya kushindwa kusoma Royal Military Academy Sandhurst, Camberley, United Kingdom kwa kukosa weledi wa lugha ya Kiingereza.
Kama sasa hivi tulivyo na Makamba na Nape.Huyo aliyetoa wakina Makonda na Sabaya[emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu,Ahsante mkuu Douglas Majwala, kwa kuniweka sawa.
Hapana, tatizo si 'rika', bali hilo la "kudocument mambo".
Hiyo picha inakueleza kila kitu kama Unaweza kusoma body language !! Unaweza kujua alikuwa ni MTU wa aina gani !Kuna siri gani kwenye ardhi ya Tanzania kwamba wanasiasa wa nchi za nje wakija kujiungamanisha nayo (wakilelewa Tz) wakirudi kwao wanaukwaa urais?
1. Samora Machel alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais.
2. Chisano alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais.
3. Filipe Nyusi alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais.
4. Nelson Mandela alipotoka Tz kurudi kwao akaenda jela na baada ya jela akawa rais.
5. Thabo Mbeki alipotoka Tz kurudi kwao akapata sifa za kuwa rais na akawa rais baada ya Madiba.
6. Sam Nujoma alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais. Nujoma alitoroka Wakoloni Namibia akatembea kwa Punda porini kukwepa kukamatwa; kwa miezi mitatu hadi Tz ndipo Mwl akampa pasi na tiketi ya ndege kwenda kuhutubia UN kudai uhuru.
7. Frederick Chiluba alipotoka kukata katani Tanga na kurudi kwao akawa rais.
8. Bingu Wa Mutahrika Sn alipotoka Tz kurudi kwao akajipatia sifa za kuwa rais na akawa rais.
9. Wa Mutharika Jr alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais baada ya kaka yake.
10. Laurent Desire Kabila alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais.
11. Joseph Kabila alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais baada ya namba 10 hapo juu.
12. John Garang alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais baada ya kuipigania utaifa wao kutoka Sudan.
13. Idd Amin alipotoka Tz kurudi kwao akapindua serikali akawa rais.
14. Milton Obote alipotoka Tz (baada ya kupinduliwa na Idd Amin) kurudi kwao akawa rais.
15. Mnangagwa alipotoka Tz kurudi kwao akaingia kwenye safu ya wanaostahili kuwa rais na akaja kuwa rais.
16. Yoweri Museveni alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais.
17. Raila Odinga alipotoka Tz kurudi kwao sasa Agosti 19, 2022 anakuwa rais wa 5, mjaluo wa 1 Kenya na wa 8 duniani kuwa rais. Raila alikuwa Mhadhiri wa Kitivo cha Uhandisi UDSM, mwaka 1980 baada ya vuguvugu la MWAKENYA lililotuhumiwa kutaka kumpindua Moi pasi yake ilifutwa, Mwl Nyerere alimpa pasi (kama ilivyokuwa kwa Mbeki na Nujoma) ya kwenda Norway ili serikali ya Norway imuombee pasi ya UN ya kwenda popote duniani isipokuwa Kenya.
18. Vladimir Vladimirovich Putin alikuja Tz (Bagamoyo) akiwa na umri wa miaka 21 na kuondoka akiwa na umri wa miaka 25. Amekuja kuwa rais wa nchi yake mara mbili na katikati ya vipindi hivyo amekuwa Waziri Mkuu.
Nadhani tumekosea kama nchi kuto-document hii kama historia jadidi ambayo ingeuza nchi yetu kidiplomasia, ki-utalii wa kitafiti nk nk. Hii siyo historia ya kupuuzwa hata kidogo. Ingetupa heshima Watz kila tukanyagapo duniani.
Kuna siri gani kwenye ardhi ya Tanzania kwamba wanasiasa wa nchi za nje wakija kujiungamanisha nayo (wakilelewa Tz) wakirudi kwao wanaukwaa urais?
View attachment 2189422
Taswira kwa hisani ya google.
Kwa kutumia nguvu ya haiba yake hiyo alifanikiwa kuwalazimisha Wazungu kule UN (yeye akiwa ni mweusi tu) waiingize China kwenye Veto Power baada ya mataifa makubwa ya Magharibi na Ulaya kuigomea China kwa madai ya Ukomunisti wake.Hiyo picha inakueleza kila kitu kama Unaweza kusoma body language !! Unaweza kujua alikuwa ni MTU wa aina gani !
Nikweli wazanzibari wana ilawiti nchi na kuifirauniHii nchi ni nzuri sana ila tulianza potea uelekeo awamu ya pili.
Toka pale mpaka sasa hatujakaa sawa.
Awamu ya tano tulikua tunaanza kurejea kwenye misingi yetu ila safari ikakatishwa ghafla.
Siyo kweli raila ndiyo rais ajaye kenyaKwa Kenya odinga bdo , luto anaweza badili Hali ya hewa ingawa sipendi awe rais
Kweli mkuu,
MK254 Tony254 komora096 Nicxie amkeni acheni kulala kibera habari zinawapita hukuKuna siri gani kwenye ardhi ya Tanzania kwamba wanasiasa wa nchi za nje wakija kujiungamanisha nayo (wakilelewa Tz) wakirudi kwao wanaukwaa urais?
1. Samora Machel alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais.
2. Chisano alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais.
3. Filipe Nyusi alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais.
4. Nelson Mandela alipotoka Tz kurudi kwao akaenda jela na baada ya jela akawa rais.
5. Thabo Mbeki alipotoka Tz kurudi kwao akapata sifa za kuwa rais na akawa rais baada ya Madiba.
6. Sam Nujoma alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais. Nujoma alitoroka Wakoloni Namibia akatembea kwa Punda porini kukwepa kukamatwa; kwa miezi mitatu hadi Tz ndipo Mwl akampa pasi na tiketi ya ndege kwenda kuhutubia UN kudai uhuru.
7. Frederick Chiluba alipotoka kukata katani Tanga na kurudi kwao akawa rais.
8. Bingu Wa Mutahrika Sn alipotoka Tz kurudi kwao akajipatia sifa za kuwa rais na akawa rais.
9. Wa Mutharika Jr alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais baada ya kaka yake.
10. Laurent Desire Kabila alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais.
11. Joseph Kabila alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais baada ya namba 10 hapo juu.
12. John Garang alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais baada ya kuipigania utaifa wao kutoka Sudan.
13. Idd Amin alipotoka Tz kurudi kwao akapindua serikali akawa rais.
14. Milton Obote alipotoka Tz (baada ya kupinduliwa na Idd Amin) kurudi kwao akawa rais.
15. Mnangagwa alipotoka Tz kurudi kwao akaingia kwenye safu ya wanaostahili kuwa rais na akaja kuwa rais.
16. Yoweri Museveni alipotoka Tz kurudi kwao akawa rais.
17. Raila Odinga alipotoka Tz kurudi kwao sasa Agosti 19, 2022 anakuwa rais wa 5, mjaluo wa 1 Kenya na wa 8 duniani kuwa rais. Raila alikuwa Mhadhiri wa Kitivo cha Uhandisi UDSM, mwaka 1980 baada ya vuguvugu la MWAKENYA lililotuhumiwa kutaka kumpindua Moi pasi yake ilifutwa, Mwl Nyerere alimpa pasi (kama ilivyokuwa kwa Mbeki na Nujoma) ya kwenda Norway ili serikali ya Norway imuombee pasi ya UN ya kwenda popote duniani isipokuwa Kenya.
18. Vladimir Vladimirovich Putin alikuja Tz (Bagamoyo) akiwa na umri wa miaka 21 na kuondoka akiwa na umri wa miaka 25. Amekuja kuwa rais wa nchi yake mara mbili na katikati ya vipindi hivyo amekuwa Waziri Mkuu.
Nadhani tumekosea kama nchi kuto-document hii kama historia jadidi ambayo ingeuza nchi yetu kidiplomasia, ki-utalii wa kitafiti nk nk. Hii siyo historia ya kupuuzwa hata kidogo. Ingetupa heshima Watz kila tukanyagapo duniani.
Kuna siri gani kwenye ardhi ya Tanzania kwamba wanasiasa wa nchi za nje wakija kujiungamanisha nayo (wakilelewa Tz) wakirudi kwao wanaukwaa urais?
View attachment 2189422
Taswira kwa hisani ya google.