Nyerere alikosea sana alipokumbatia wahindi/warabu na kuwafukuza wazungu

Nyerere alikosea sana alipokumbatia wahindi/warabu na kuwafukuza wazungu

System tokea kipindi Cha wakoloni iliwabeba sana, mpaka sasahivi system inawabeba sana
Kipindi cha Nyerere watu kibao mali zao zimetaifishwa, kuna Familia nazijua za Kiarabu huku Tanga mali zote zimechukuliwa, Nyumba, Malori etc na wazee wakafungwa kwa uhujumu uchumi, watoto wao wakawa Choka mbaya, ila sasa hivi wajukuu wao wana pesa chafu.

Ujasiriamali ni kitu ambacho kinarithishwa, achana na waarabu na wahindi hapa hapa Tanzania wapo wachaga kama mfumo hao na sasa hivi kidogo wakinga, wamefanikiwa kibiashara, je nao ni system inawabeba? Kwanini mchaga ni rahisi kutoka kibiashara kuliko mgogo ama mmakonde?
 
Mimi ningepitisha utaratibu kwa hao watu wahame downtown nchi nzima waende wakajenge nje ya mji

Ikiwezekana wapewe eneo lao wakajenga huko sio kujazana mjini

Na watakaojenga nje ya mji watapewa favurtism Fulani Fulani za wazi wazi.

Otherwise nawatembezea kibao Cha kimya kimya.

Kama Nampa amri msajili baadhi nyumba zilizochibi yake azigeuze matumizi mengine sio ya makazi

Yaani nitafanya juu chini scarcity ya makazi ya downtown kwao iwe juu. Itawapush wenyewe nje ya mji
Then kariakoo na mjini kote kutabaki magofu, unatakiwa uelewe wahindi hawajaikuta kariakoo bali wameijenga from scratch, kokote watakapokwenda huko ndio kutakua kariakoo na kwa zamani kutakufa.

Na wahindi wa Tanzania wengi ni minority Shia wapo sponsored na serikali ya Uingereza popote pale kwenye nchi za Jumuia ya madola wanaishi, Canada, Uingereza, Kenya Etc, wala hawana Tabu kuondoka Tanzania kwenda hizo nchi.
 
Mwendazake alitufundisha kuwachukia Matajiri! Na Umaskini ndo Uzalendo
 
Mwalimu Nyerere,hakufukuza mtu,Tanzania,waliondoka wenyewe.Wapo wazungu,waliokuwa mawaziri,waliokuwa watumishi wa serekali, wapo waliokuwa wafanyabiashara wakubwa,wapo waliokuwa wakulima,wapo wahindi walikuwa mawaziri,wapo waliokuwa wafanyakazi wa secta tofauti.

Hakuna aliyefukuzwa,Mwalimu hakuwa mbaguzi,wa aina yoyote,alikuwa akipenda watu wote.

Hizo nyumba unaziona wanaishi wahindi(ndio wengi),za ghorofa na waarabu wachache,zilikuwa zao,zilitaifishwa,lakini Mwalimu,hakuwafukuza,aliwapa wakae.

Mwalimu,aliwapenda raia wake,bila kuwabaguwa,na wapo wahindi,waarabu,wazungu,walishiriki harakati za kudai uhuru,mwalimu hakuwabagua,alikuwa nao bega kwa bega.
Mohamed said analijua ili?
 
Asilimia 99.9% za nyumba za NHC Mwanza zilikuwa ni nyumba za wahindi, nyerere akawataifisha, haya tuoneshe kitu kikubwa alichowekeza huyo mzungu wako ukiacha mjerumani aliyejenga reli ya kati, mwingireza ndio aligeuza Tanganyika ni shamba, kila akivuna anapeleka Kenya.
 
Sahihi sana, Wahindi wanajua sana kuzungusha pesa ikazalisha zaidi ila wabongo wengi ni hodari wa kuzika pesa chini kwa nyumba na magari ambazo zingekuwa mtaji.

Pia Wahindi wanajua sana kurithisha biashara kutoka kizazi kimoja kwenda kingine.
Sasa Wabongo wasipojenga nyumba unataka wakaishi wapi?
 
Then kariakoo na mjini kote kutabaki magofu, unatakiwa uelewe wahindi hawajaikuta kariakoo bali wameijenga from scratch, kokote watakapokwenda huko ndio kutakua kariakoo na kwa zamani kutakufa.

Na wahindi wa Tanzania wengi ni minority Shia wapo sponsored na serikali ya Uingereza popote pale kwenye nchi za Jumuia ya madola wanaishi, Canada, Uingereza, Kenya Etc, wala hawana Tabu kuondoka Tanzania kwenda hizo nchi.
Kama walijenga ni jambo zuri sana.

Sasa nitawatumia kuijenga eneo lingine yes mfano nawatupa kule mpiji magohe karibu mambwepande wapajenge.

Pakipendeza nawatupa kule bunju ndani ndani wapajenge

Kisha nawatupa kigamboni kiluvya ndani ndani huko wapajenge

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nachotaka kusema hao jamaa ni lazima niwasambaratishe wajichanganye na waswahili sio kujitenga

Kama mtu hataki aende kwao Bangladesh. Huko uswekenj.


Yeyote ambaye atakubaliana na huu utaratibu serikali itampa upendeleo kwenye mambo Fulani Fulani.

Watatusaidia katika process ya urbanization

Eventually dar nzima inakuwa safi then tutaenda kibaha, mlandi hadi Chalinze.

Japan wanashawishi watu wao wahame Tokyo wakaendeleze miji mingine.

Mimi nitafanya kwa njia hii
 
Kama walijenga ni jambo zuri sana.

Sasa nitawatumia kuijenga eneo lingine yes mfano nawatupa kule mpiji magohe karibu mambwepande wapajenge.

Pakipendeza nawatupa kule bunju ndani ndani wapajenge

Kisha nawatupa kigamboni kiluvya ndani ndani huko wapajenge

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nachotaka kusema hao jamaa ni lazima niwasambaratishe wajichanganye na waswahili sio kujitenga

Kama mtu hataki aende kwao Bangladesh. Huko uswekenj.


Yeyote ambaye atakubaliana na huu utaratibu serikali itampa upendeleo kwenye mambo Fulani Fulani.

Watatusaidia katika process ya urbanization

Eventually dar nzima inakuwa safi then tutaenda kibaha, mlandi hadi Chalinze.

Japan wanashawishi watu wao wahame Tokyo wakaendeleze miji mingine.

Mimi nitafanya kwa njia hii
i think una wa under estimate how powerfull hao jawaa wapo. ukiwazingua wengi wataenda Canada, Uingereza na sehemu nyengine ambazo watapewa uhuru wa Biashara, na hapa Tanzania pato la taifa litashuka karibia Nusu, na sehemu zote wanazoishi wanajitenga hivyo hivyo kutokana na tamaduni zao, ubaguzi india upo kwenye katiba.
 
Kipindi Cha azimio la Arusha wazungu wengi walifukuzwa Ila Cha ajabu wakabaki wahindi Leo hii wahindi na wakifuatiwa na warabu ndo wamekamata biashara kubwa na Wana ukwasi Mkubwa

Maajabu ya mhindi/mwarabu hata nyumba ajengi Yuko tayari kuishi kwenye nyumba za NHC au kupanga kule kariakoo au upanga na kamwe hawez fanya uwekezaji wa maana hapa Tanzania

Kwa lugha nyingine hakuna faida yeyote ile nchi inayopata kutoka kwa hawa watu yaan wanatumia Tanzania kama shamba la bibi, mhindi au mharabu hata azaliwe Tanzania ataishi kama passenger kwa maisha yake yote

Tunauchumi ambayo walioshika uchumi ni passenger hakuna hela yeyote Ile wanayoipata Tanzania wanawekeza Tanzania mim nimekaa na wahindi na warabu hakuna watu wabinafsi Kama wale

Muhindi/mwarabu/na Sasa mchina hata azaliwe Tanzania ataishi kama passenger muangalie rostam na Manji wameshachuma Tanzania ssa wanaishi dubai

Suluhisho nchi isiwape tender mtu ambaye ni passenger sababu faida yeyote Ile anayoipata anaipeleka abroad hafanyi uwekezaji wowote ule, wapewe tu kama hakuna option

Mfumo wa elimu inabid ufanyiwe overhall kubwa sana, tutrain vijana wetu kwenye mambo ya ufundi na kuoperate Mashine ili machine operator na production managers wasiwe wanatoka India au china
...Soma Historia Vizuri. Hakuna Mtu aliyefukuzwa Tanzania!
Mali walizomiliki zilitaifishwa, ndio wachache waakamia kuondoka Wenyewe Kwa hiyari!
Usichanganye na ya Uganda ya Iddi be Amin Dada!!
 
Kipindi Cha azimio la Arusha wazungu wengi walifukuzwa Ila Cha ajabu wakabaki wahindi Leo hii wahindi na wakifuatiwa na warabu ndo wamekamata biashara kubwa na Wana ukwasi Mkubwa

Maajabu ya mhindi/mwarabu hata nyumba ajengi Yuko tayari kuishi kwenye nyumba za NHC au kupanga kule kariakoo au upanga na kamwe hawez fanya uwekezaji wa maana hapa Tanzania

Kwa lugha nyingine hakuna faida yeyote ile nchi inayopata kutoka kwa hawa watu yaan wanatumia Tanzania kama shamba la bibi, mhindi au mharabu hata azaliwe Tanzania ataishi kama passenger kwa maisha yake yote

Tunauchumi ambayo walioshika uchumi ni passenger hakuna hela yeyote Ile wanayoipata Tanzania wanawekeza Tanzania mim nimekaa na wahindi na warabu hakuna watu wabinafsi Kama wale

Muhindi/mwarabu/na Sasa mchina hata azaliwe Tanzania ataishi kama passenger muangalie rostam na Manji wameshachuma Tanzania ssa wanaishi dubai

Suluhisho nchi isiwape tender mtu ambaye ni passenger sababu faida yeyote Ile anayoipata anaipeleka abroad hafanyi uwekezaji wowote ule, wapewe tu kama hakuna option

Mfumo wa elimu inabid ufanyiwe overhall kubwa sana, tutrain vijana wetu kwenye mambo ya ufundi na kuoperate Mashine ili machine operator na production managers wasiwe wanatoka India au china
Kasome tena historia vizuri hakuna mzungu aliyefukuzwa.

Hao wahindi na waarabu unaowaona toka ukoloni walikuwa wafanya biashara na ndio walijenga hayo majengo posta mengi ni wao.

Wazungu wao walikuwa ni gvt officers kwa hiyo baada ya uhuru wengi walisepa kwao maana kilichowaweka hapa hakikuwepo.

Ukweli mchungu tanganyika chini ya ukoloni ilikuwa sawa na mapori tu sehemu kubwa Nyerere chini ya Tanu amefanya kazi ya ziada na kizalendo kuunganisha viclan vidogovidogo kuwa makabila isee sio poa, viwanda, elimu imagine unakabidhiwa nchi na maengineer 3 tu. Madaktari hawafiki 100 walimu hawazidi 500..rami ni njia za mashamba makubwa tu we sio mchezo iliitaji uzalendo wa hali ya juu..

makosa yaliyofanyika ni kwa sababu ya kukosa experience ila mimi nampongeza yeye na viongozi wote wa awamu ile ya kwanza walifanya sehemu yao na walifanya vizuri sana.

Makosa makubwa sana ambayo tunayafanya sasa ni planning ya miji yetu ni ya ovyooo sana na itatucost pesa nyingi sana huko mbeleni maana ni lazima miji ije kupangwa upya kwa gharama za serikali hili haliepukiki.
 
Kasome tena historia vizuri hakuna mzungu aliyefukuzwa.

Hao wahindi na waarabu unaowaona toka ukoloni walikuwa wafanya biashara na ndio walijenga hayo majengo posta mengi ni wao.

Wazungu wao walikuwa ni gvt officers kwa hiyo baada ya uhuru wengi walisepa kwao maana kilichowaweka hapa hakikuwepo.

Ukweli mchungu tanganyika chini ya ukoloni ilikuwa sawa na mapori tu sehemu kubwa Nyerere chini ya Tanu amefanya kazi ya ziada na kizalendo kuunganisha viclan vidogovidogo kuwa makabila isee sio poa, viwanda, elimu imagine unakabidhiwa nchi na maengineer 3 tu. Madaktari hawafiki 100 walimu hawazidi 500..rami ni njia za mashamba makubwa tu we sio mchezo iliitaji uzalendo wa hali ya juu..

makosa yaliyofanyika ni kwa sababu ya kukosa experience ila mimi nampongeza yeye na viongozi wote wa awamu ile ya kwanza walifanya sehemu yao na walifanya vizuri sana.

Makosa makubwa sana ambayo tunayafanya sasa ni planning ya miji yetu ni ya ovyooo sana na itatucost pesa nyingi sana huko mbeleni maana ni lazima miji ije kupangwa upya kwa gharama za serikali hili haliepukiki.
Kama hakuna aliyefukwa jiulize kwanin yule mzungu alikamata ndege kipindi kile Cha magufuli
 
Kama hakuna aliyefukwa jiulize kwanin yule mzungu alikamata ndege kipindi kile Cha magufuli
Ni migogoro tu ni kama manji alivyosepa kipindi cha jpm.

Lakini haimaanishi basi walifungashiwa vilago na kufukuzwa..
 
Mwalimu Nyerere,hakufukuza mtu,Tanzania,waliondoka wenyewe.Wapo wazungu,waliokuwa mawaziri,waliokuwa watumishi wa serekali, wapo waliokuwa wafanyabiashara wakubwa,wapo waliokuwa wakulima,wapo wahindi walikuwa mawaziri,wapo waliokuwa wafanyakazi wa secta tofauti.

Hakuna aliyefukuzwa,Mwalimu hakuwa mbaguzi,wa aina yoyote,alikuwa akipenda watu wote.

Hizo nyumba unaziona wanaishi wahindi(ndio wengi),za ghorofa na waarabu wachache,zilikuwa zao,zilitaifishwa,lakini Mwalimu,hakuwafukuza,aliwapa wakae.

Mwalimu,aliwapenda raia wake,bila kuwabaguwa,na wapo wahindi,waarabu,wazungu,walishiriki harakati za kudai uhuru,mwalimu hakuwabagua,alikuwa nao bega kwa bega.
Umempaka mafuta mafuta

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Kasome tena historia vizuri hakuna mzungu aliyefukuzwa.

Hao wahindi na waarabu unaowaona toka ukoloni walikuwa wafanya biashara na ndio walijenga hayo majengo posta mengi ni wao.

Wazungu wao walikuwa ni gvt officers kwa hiyo baada ya uhuru wengi walisepa kwao maana kilichowaweka hapa hakikuwepo.

Ukweli mchungu tanganyika chini ya ukoloni ilikuwa sawa na mapori tu sehemu kubwa Nyerere chini ya Tanu amefanya kazi ya ziada na kizalendo kuunganisha viclan vidogovidogo kuwa makabila isee sio poa, viwanda, elimu imagine unakabidhiwa nchi na maengineer 3 tu. Madaktari hawafiki 100 walimu hawazidi 500..rami ni njia za mashamba makubwa tu we sio mchezo iliitaji uzalendo wa hali ya juu..

makosa yaliyofanyika ni kwa sababu ya kukosa experience ila mimi nampongeza yeye na viongozi wote wa awamu ile ya kwanza walifanya sehemu yao na walifanya vizuri sana.

Makosa makubwa sana ambayo tunayafanya sasa ni planning ya miji yetu ni ya ovyooo sana na itatucost pesa nyingi sana huko mbeleni maana ni lazima miji ije kupangwa upya kwa gharama za serikali hili haliepukiki.
Reli alijenga mkoloni na barabara alizohitaji na airport kwa hiyo usiseme hawakuweka infrastructures mpaka leo engineer wanaosaidia ujenzi wa infrastructure Tanzania sio Watanzania ni foreigner
 
Back
Top Bottom