Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Na sisi tupewe haki sawa kule Zanzibar atoke mtu bara akagombee kule kama wao wanavyofanya huku kwetuTuaiuvunje ila tuweke sawa..ardhi iwe sawa..mamlaka ya nchi iwe moja rais wa huko awe makamu JMT..pia iwepo equal opportunities kwa wote mana serikali iwe moja.
#MaendeleoHayanaChama
Kama bahari sio rasilimali muhimu, basi mimi naishia hapa mkuu.Watu hawawezi kuishi kwa kutegemea bahari na bandari tu ni ufinyu wa akili . Nchi ngapi hazina bahari wala madini na zimeendelea kuliko tanzania!? Kuna sababu zaidi ya hizi tunazoambiwa. Ila tunapoenda watatakiwa kuwa wawazi zaidi kama ni sababu za kiusalama watatakiwa waseme tu. Nyerere aliogopa ujio wa waarabu. Wazanzibari wanajiona wao ni kama waarabu ndivyo wanavyopenda kujidanganya kwahiyo kwao ni rahisi kushirikiana na mwarabu kuliko mzungu.
Hakuna aliyesema uzalendo ni kukubali kwenda na Muungano Kama ulivyo.Andiko la huyo P linasisitiza kuwa uzalendo ni kuukubali na kuulinda muungano jinsi ulivyo.
Mwanamaji anatanabaisha kuwa Tanganyika ilihujitaji zaidi muungano hadi ikakubali kupoteza utambulisho wake.
Kifupi; Tanganyika ndiyo ililazimisha muungano kwa maslahi yake binafsi.
NB: Utawaelewa vizuri Watanzania waodai PUTIN kule Russia anafanya kazi nzuri sana dhidi ya Ukraine. Wanaona kabisa Russia inaanza kuiga muungano wa JMT.
China ilishafanikiwa kuzikalia kimabavu Hong Kong na Taiwan.
Mkuu, kwanza mimi siko well informed juu ya mambo ya muungano. Niko well informed kwenye mambo ya bahari.Naomba utuelezee jambo moja hapa wewe uko Well informed kuhusu hu muungano hivi:
huu muungano umuhimu wake hasaa uko wapi na kwa kiwango gani kwamba we can't go with out it
Kiuchumi hiyo sehemu ya bahari inachangia kias gani kwenye GDP ya taifa? Naomba takwimu
Ki Usalama nchi gani ni tishio kwetu kutuvamia na ipate nini? hapa kwetu ikiwa ine base visiwani zazibar au ni nadharia yako tu?..... all those are outdated security threats na wanao hofia sana ni wale watu walio zaliwa katika utawala wa Nyerere miaka 60s en 70s we need new mindset.
Huo muungano unapromote national unity en nationalism (uzalendo) viko wapi? Mzazibar ni mzabari hamkubali mtaganyika hata siku moja,
unagawana je nchi ya watu1m kwa watu 50m, sio sahihi kabisa, unfair kabisa huo muungano lzma urekebishwe kwenye vipengere vingi au zazibar ipewe uhuru wake tusiogope ushindani kwa kujificha kwenye muungano.
"...Kama huu muungano unakukera, nadhani unatakiwa kujifunza kuuvumilia. Bado upo sana..."Hakuna aliyesema uzalendo ni kukubali kwenda na Muungano Kama ulivyo.
Sijui umesoma wapi hilo andiko.
Kama kuna changamoto zozote, zitatuliwe ili kuboresha muungano lakini sio "letting go of Zanzibar."
Mkuu huwezi ku project mambo ya miaka 100 injao dunia inabadilika kwa kasi kubwa science end technology inakua kila siku na kubadili mitizamo mahitaji na mipango ya nchi na watu, wewe tuelezee faida ya huo muungano kiuchumi kwa kizazi hiki cha sasaMkuu, kwanza mimi siko well informed juu ya mambo ya muungano. Niko well informed kwenye mambo ya bahari.
Kabla sijakujibu swali lako la kwanza naomba kujua manufaa ya Muungano unayotaka kuyajua ni ya mwaka huu 2022 hadi 2025 (within scope of your naked eyes) au manufaa ya Tanzania kubwa ya miaka 100, 200 au 300 ijayo ?
Usichokielewa hapo ni nini mkuu ?"...Kama huu muungano unakukera, nadhani unatakiwa kujifunza kuuvumilia. Bado upo sana..."
"...Mkuu, kwanza mimi siko well informed juu ya mambo ya muungano. Niko well informed kwenye mambo ya bahari..."
Kama hayo umeandika mwenyewe; Basi sawa.
Hatimaye Tumejua tatizo lilipo jikita!
Tuko pamoja mkuu..nisamehe stress tu za maisha...ila kuna maboresho yanaenda kufanyika kwenye huu muungano..ili kila mtanzania apate usawa popote iwe visiwani au bara.Kuita watu ng'ombe katika mijadala inaweza kukuletea picha mbaya sana mahala pengine.
Tafadhali haya yasiwe ni mazoea yako.
Ila unapojadili masuala na mimi (Mwanamaji ), unaweza kuendelea kuniita ng'ombe au kama hautojali chagua jina jingine baya zaidi. I will take it.
Unaposema kubadilisha mfumo wa utawara (bila shaka ulitaka kuandika utawala,) unamaanisha nini mkuu ?
NB: Msimamo wangu wa jumla ni kwamba, kama kuna changamoto au kero yoyote ya Muungano, tunayo fursa ya kuitatua na tukasonga mbele tukiwa wamoja.
Kama kubadilisha mfumo wa utawala (japokua sijajua umemaanisha nini haswa) ni miongoni mwa vitu vitakavyoboresha zaidi Muungano wetu, basi namimi naunga mkono juhudi hizo.
Really?Mkuu huwezi ku project mambo ya miaka 100 injao dunia inabadilika kwa kasi kubwa science end technology inakua kila siku na kubadili mitizamo mahitaji na mipango ya nchi na watu, wewe tuelezee faida ya huo muungano kiuchumi kwa kizazi hiki cha sasa
El Comandante baba wa taifa Mwalimu J.K Nyerere alikuwa sahihi mno kutuletea huu MUUNGANO BORA NA ADHIMU DUNIANI......Yeye ndie alieanzisha kitu hiki ambacho hakipo duniani nchi yoyote ile zaidi ya hapa kwetu.
Haiingii akilini vya upande A ni vya upande B lakini vya upande B si vya upande A, Very bitter.
Tukiendelea na huu mfumo, basi mateso haya tinayopitia yatakuwa mara 10 zaidi ya hapa miaka ijayo na ndio itakuwa case study.
Nchi fulani iwe huru lakini hapo hapo iingilie uhuru wa nchi nyingine huku yenyewe haitaki kuingiliwa mambo yake, aiseee!!
Hakuna binadamu Mkamilifu, wote huwa tunakosea, Nyerere ni baba wa taifa na ninamuheshimu mno lakini kwenye hili nae alikuwa na mapungufu kama binadamu wengine.
Mkamilifu ni Mwenyezi Mungu pekee na ndie tunaepaswa kufata sheria zake bila kuzibadili wala kuzikosoa.
🤣🤣🤣👍Really?
Mipango ya NCHI haitakiwi kuangalia miaka 100 mbele ?
Siwezi kuelewa hili, tutakesha bure hapa.
Au sijui kusoma umeandika mipango ya mtu au familia ?
Mipango ya nchi isiangalie miaka 100 mbele ?
Tutabishana bure, wewe ni ndugu yangu.
Uwe na asubuhi njema.
Acha kutishia watu kunyamaza wasihoji..ingependeza zaidi kuziweka bayana hizo sababu..mana unaonekana unazifahamu.Kwa nini mtu aje na mfumo wa muungano ambao haupo mahali popote pale duniani na wakati ana akili timamu? Je, ni kwa bahati mbaya tu alifanya hivyo au ni kwa makusudi? Na kama alifanya kwa makusudi ni kwa nini?
Ifikie mahali watu waanze kuhoji sababu za kwa nini mwalimu aliamua kufanya hivi, na si kuhoji kwa nini Muungano uko kama ulivyo. Lazima kuna sababu za msingi zilizopelekea afanye hivyo. Zitafute hizo sababu uzijue kwanza halafu ukishazijua ndiyo uanze kuu-criticize muungano. Usipofanikiwa kuzipata, pengine labda inaweza ikapendeza zaidi ukanyamaza. Unajua tatizo leu sisi siku hizi tumesoma sana kuwapita wote waliotutangulia huko nyuma
Utawala uwe mmoja wenye haki pande zote..za kumilia ardhi..kuchagua na kuchaguliwa na mengineyo..hii ni nchi moja hii mipaka inayowekwa inawekwa kwa faida ya nani?ili hali sote tu watanzania.Na sisi tupewe haki sawa kule Zanzibar atoke mtu bara akagombee kule kama wao wanavyofanya huku kwetu
Mkuu sijamaanisha hilo wewe tupe faida na mnafaa ya huo muungano kwasasa na kwa badaye tu, kama Tanganyika imefaidika na nini kwa miaka 50 ya huo muungano.....kama huwezi kutoa takwimu toa mifuano ya nchi jilani ambazo hazina muungano tunavo zi zidi kimaendeleo, ki elimu, science and technology ki usalama nk in short relate muungano hu na maendeleo ya Tz kwasasa na kwa badaye.Really?
Mipango ya NCHI haitakiwi kuangalia miaka 100 mbele ?
Siwezi kuelewa hili, tutakesha bure hapa.
Au sijui kusoma umeandika mipango ya mtu au familia ?
Mipango ya nchi isiangalie miaka 100 mbele ?
Tutabishana bure, wewe ni ndugu yangu.
Uwe na asubuhi njema.
Hayupo mtu anayeweza kumtisha mwingine kwa sababu kutishika ni hiari. Ukiona umetishika, ujue wewe ndiyo mwenye makosaAcha kutishia watu kunyamaza wasihoji..ingependeza zaidi kuziweka bayana hizo sababu..mana unaonekana unazifahamu.
Ni haki ya msingi kuhoji mana hakuna usawa katika huu muungano.
#MaendeleoHayanaChama
Kwanza Zanzibar uwe ni mkoa ndani ya TanzaniaUtawala uwe mmoja wenye haki pande zote..za kumilia ardhi..kuchagua na kuchaguliwa na mengineyo..hii ni nchi moja hii mipaka inayowekwa inawekwa kwa faida ya nani?ili hali sote tu watanzania.
#MaendeleoHayanaChama
Mleta mada hujui historia ndo maana unaleta uzi kama huu. Si kweli kwamba hakuna mfano popote duniani wa aina hii ya muungano. Mfano huu upo Uingereza (United Kingdom) unaojumuisha mchi za England, Scotland, Wales na Northern Ireland.Yeye ndie alieanzisha kitu hiki ambacho hakipo duniani nchi yoyote ile zaidi ya hapa kwetu.
Haiingii akilini vya upande A ni vya upande B lakini vya upande B si vya upande A, Very bitter.
Tukiendelea na huu mfumo, basi mateso haya tinayopitia yatakuwa mara 10 zaidi ya hapa miaka ijayo na ndio itakuwa case study kwamba haraka haraka ya akujaribu vitu ambavyo havijafanyiwa uchunguzi wala kuwahi kujaribiwa haina baraka.
Nchi fulani iwe huru lakini hapo hapo iingilie uhuru wa nchi nyingine huku yenyewe haitaki kuingiliwa mambo yake, aiseee!!
Hakuna binadamu Mkamilifu, wote huwa tunakosea, Nyerere ni baba wa taifa na ninamuheshimu mno lakini kwenye hili nae alikuwa na mapungufu kama binadamu wengine, Nashangaa sasa naposikia mtu akipinga muungano anaambiwa si mzalendo, akili za wapi hizi?
Mkamilifu pekee ni Mwenyezi Mungu tu na ndie tunaepaswa kufata sheria zake bila kuzibadili wala kuzikosoa.
hakikisha unapotoa comment ujibu swali muhimu, MUUNGANO UNA FAIDA GANI ??
uingereza ni nchi yenye utawala wa kifalme, rudi darasaniMleta mada hujui historia ndo maana unaleta uzi kama huu. Si kweli kwamba hakuna mfano popote duniani wa aina hii ya muungano. Mfano huu upo Uingereza (United Kingdom) unaojumuisha mchi za England, Scotland, Wales na Northern Ireland.