Zanzibar wakiamua kuukataa muungano CCM haitaweza kutawala huko wewe.
Hao Wazanzibari wenyewe wengi tu ni CCM, sasa utasemaje Tanganyika inaendelea kuitawala Zanzibar kwa kupitia CCM kama vile hakuna Wazanzibari kwenye CCM.
You are contradicting yourself.
People get the leadership they deserve, unaelewa maana ya huo msemo?
10% ni significant minority, usiiseme hiyo kama ndogo.waafuasi wa CCM Zanzibar hawafiki hata 10% ya wazanzibari. CCM Zanzibar inategemea kura za wabara wanaoishi kule, na ndio moja ugomvi mkubwa wa wazanzibari na wabara kule visiwani.
Akili zako ni za kishenzi sanaAliye andika haya bila shaka ni muislamu maana wanafundishana msikitini
Narudia tena aliyeandika haya ni muislam kama sio nakupa 1 milionAkili zako ni za kishenzi sana
Umoja wa Africa Umeamua kujenga sanamu ya Nyerere na kuiweka pale makao makuu ya Umoja wa Nchi za Afrika !!Kupitia matendo na fikra zake Mwalimu Nyerere alikuwa mkoloni wa waziwazi mwenye ngozi nyeusi.
Sio kweli kuwa Nyerere alichukizwa na ukoloni ila ukweli ni kwamba Nyerere ukoloni aliupenda sana ila alichukizwa na watu weupe kuwa tendea watu weusi.
Nyerere ukoloni aliupenda sana na ndiyo maana chini ya utawala wake vitendo vya kikoloni juu ya jamii yake ya watu weusi vilitamalaki.
Nyerere hakuona haya kupitisha mambo ya kikoloni yatakayo inyonga jamii yake anayoitawala kizazi cha wakati wake na kizazi kijacho hizi zilikuwa fikra kuu za wakoloni weupe kwa watu weusi.
Ndio maana Nyerere hakuona haya kulazimisha muungano wa kimabavu wa Tanganyika kuikalia kimabavu Zanzibar mpaka leo.
Nyerere hakujali kuhusu kupora uhuru wa wana Tanganyika na kupora uhuru wa Wazanzibari ili tu fikra zake zipate kutimilika.
Nyerere ukoloni aliuhusudu haswa ila hakupenda tu wakoloni weupe kutawala watu weusi.
ni lini CCM iliwahi shinda uchaguzi Zanzibar?10% ni significant minority, usiiseme hiyo kama ndogo.
Na kama ni ndogo hivyo, Wazanzibari wanashindwa vipi kuitoa?
Wabara ni nani na Wazanzibari ni nani? Kuna Mzanzibari asiye na mizizi bara?
10% ni significant minority, usiiseme hiyo kama ndogo.
Na kama ni ndogo hivyo, Wazanzibari wanashindwa vipi kuitoa?
Wabara ni nani na Wazanzibari ni nani? Kuna Mzanzibari asiye na mizizi bara?
Mwanaume ukishaanza uxenge wa kuandika " Buana " hakuna atakae kuchukulia seriousUkute masikini na wewe ni msomi. Hii nchi Ina vichaa wengi jamani. Kuna mtanzania aliyepewa heshima afrika na Duniani kwa uzalendo na matendo ya kibinadamu zaidi ya Nyerere? Unadhani Tanzania iliheshimishwa na mwinyi,mkapa,jakaya? Hapana. Ni Nyerere buana. Huyu ndiyo baba wa taifa. Wewe ni kichaa wa taifa.
😁 Kumbe shida ni hapo kwenye muunganoKupitia matendo na fikra zake Mwalimu Nyerere alikuwa mkoloni wa waziwazi mwenye ngozi nyeusi.
Sio kweli kuwa Nyerere alichukizwa na ukoloni ila ukweli ni kwamba Nyerere ukoloni aliupenda sana ila alichukizwa na watu weupe kuwa tendea watu weusi.
Nyerere ukoloni aliupenda sana na ndiyo maana chini ya utawala wake vitendo vya kikoloni juu ya jamii yake ya watu weusi vilitamalaki.
Nyerere hakuona haya kupitisha mambo ya kikoloni yatakayo inyonga jamii yake anayoitawala kizazi cha wakati wake na kizazi kijacho hizi zilikuwa fikra kuu za wakoloni weupe kwa watu weusi.
Ndio maana Nyerere hakuona haya kulazimisha muungano wa kimabavu wa Tanganyika kuikalia kimabavu Zanzibar mpaka leo.
Nyerere hakujali kuhusu kupora uhuru wa wana Tanganyika na kupora uhuru wa Wazanzibari ili tu fikra zake zipate kutimilika.
Nyerere ukoloni aliuhusudu haswa ila hakupenda tu wakoloni weupe kutawala watu weusi.
Kama haijawahi kushinda uchaguzi, that's even worse.ni lini CCM iliwahi shinda uchaguzi Zanzibar?
"Hivi karibuni" inaanzia lini?wabara ni kwa maana waliohamia visiwani miaka ya hivi karibuni.
Na Kwa tafsiri yako wabantu wote wanatoka west Africa, vipi unaweza kwenda Gambia ukatamba?
Unajua maana ya ukoloni ???Kupitia matendo na fikra zake Mwalimu Nyerere alikuwa mkoloni wa waziwazi mwenye ngozi nyeusi.
Sio kweli kuwa Nyerere alichukizwa na ukoloni ila ukweli ni kwamba Nyerere ukoloni aliupenda sana ila alichukizwa na watu weupe kuwa tendea watu weusi.
Nyerere ukoloni aliupenda sana na ndiyo maana chini ya utawala wake vitendo vya kikoloni juu ya jamii yake ya watu weusi vilitamalaki.
Nyerere hakuona haya kupitisha mambo ya kikoloni yatakayo inyonga jamii yake anayoitawala kizazi cha wakati wake na kizazi kijacho hizi zilikuwa fikra kuu za wakoloni weupe kwa watu weusi.
Ndio maana Nyerere hakuona haya kulazimisha muungano wa kimabavu wa Tanganyika kuikalia kimabavu Zanzibar mpaka leo.
Nyerere hakujali kuhusu kupora uhuru wa wana Tanganyika na kupora uhuru wa Wazanzibari ili tu fikra zake zipate kutimilika.
Nyerere ukoloni aliuhusudu haswa ila hakupenda tu wakoloni weupe kutawala watu weusi.
Unajiita southern independence na hujui mchango wa Nyerere kwenye hizo nchi kujipatia uhuru wakeKupitia matendo na fikra zake Mwalimu Nyerere alikuwa mkoloni wa waziwazi mwenye ngozi nyeusi.
Sio kweli kuwa Nyerere alichukizwa na ukoloni ila ukweli ni kwamba Nyerere ukoloni aliupenda sana ila alichukizwa na watu weupe kuwa tendea watu weusi.
Nyerere ukoloni aliupenda sana na ndiyo maana chini ya utawala wake vitendo vya kikoloni juu ya jamii yake ya watu weusi vilitamalaki.
Nyerere hakuona haya kupitisha mambo ya kikoloni yatakayo inyonga jamii yake anayoitawala kizazi cha wakati wake na kizazi kijacho hizi zilikuwa fikra kuu za wakoloni weupe kwa watu weusi.
Ndio maana Nyerere hakuona haya kulazimisha muungano wa kimabavu wa Tanganyika kuikalia kimabavu Zanzibar mpaka leo.
Nyerere hakujali kuhusu kupora uhuru wa wana Tanganyika na kupora uhuru wa Wazanzibari ili tu fikra zake zipate kutimilika.
Nyerere ukoloni aliuhusudu haswa ila hakupenda tu wakoloni weupe kutawala watu weusi.
Alimtawala mamako?Kupitia matendo na fikra zake Mwalimu Nyerere alikuwa mkoloni wa waziwazi mwenye ngozi nyeusi.
Sio kweli kuwa Nyerere alichukizwa na ukoloni ila ukweli ni kwamba Nyerere ukoloni aliupenda sana ila alichukizwa na watu weupe kuwa tendea watu weusi.
Nyerere ukoloni aliupenda sana na ndiyo maana chini ya utawala wake vitendo vya kikoloni juu ya jamii yake ya watu weusi vilitamalaki.
Nyerere hakuona haya kupitisha mambo ya kikoloni yatakayo inyonga jamii yake anayoitawala kizazi cha wakati wake na kizazi kijacho hizi zilikuwa fikra kuu za wakoloni weupe kwa watu weusi.
Ndio maana Nyerere hakuona haya kulazimisha muungano wa kimabavu wa Tanganyika kuikalia kimabavu Zanzibar mpaka leo.
Nyerere hakujali kuhusu kupora uhuru wa wana Tanganyika na kupora uhuru wa Wazanzibari ili tu fikra zake zipate kutimilika.
Nyerere ukoloni aliuhusudu haswa ila hakupenda tu wakoloni weupe kutawala watu weusi.
Nadhani lengo lako kuu lilikuwa hili....umezunguka mno mkuuNdio maana Nyerere hakuona haya kulazimisha muungano wa kimabavu wa Tanganyika kuikalia kimabavu Zanzibar mpaka leo.
Wewe ni mjinga nani alikuambia hilo jina lina maanisha hicho ulichoandikaUnajiita southern independence na hujui mchango wa Nyerere kwenye hizo nchi kujipatia uhuru wake
Nenda hizo nchi wakuambie mchango wa Nyerere kuanzia SA
Wewe ni miongoni mwa watanzania mnaotuletea aibu Sana na fikra zenu za kijinga kabisa
Endelea kudhaniNadhani lengo lako kuu lilikuwa hili....umezunguka mno mkuu
Hakika 🤣Endelea kudhani
Mkuu kipindi hicho kwenye mambo ya demokrasia na uongozi bora, dunia ilikuwa kwenye zama nyingine kabisa. Nadhani zile kambo mbili za Ukomunisti vs Ubepari zilikuwa zina-play part kubwa kwenye uongozi wa nchi za dunia ya tatu. Mimi nadhani ukifananisha Nyerere na marais wengine eg Kenya, Zaire, Malawi, yeye tunaweza kusema kuwa alikuwa mwanademokrasia zaidi.Nyerere mafanikio yake makuu ni kuwaleta watanzania pamoja na kujitahidi kuondoa ukabila.
Kutokuwa mroho wa mali.
Lakini kwenye ishu ya demokrasia, utawala, uongozi bora alifeli.
Foundation nzuri ya nchi alifeli.
Mimi nina uhakika kabisa kuwa wazanzibar kwa ujamla wao wakiamua kuikataa CCM, hakuna anayeweza kuwalazimisha. Tatizo kuna wengine wanafaidi mfumo uliopo hivyo hawataki mabadiliko. Mtu kama dr Mwinyi anavyofanya ufisadi mkubwa sasa hivi ana kundi kubwa nyuma yake na hata hao ACT Wazalendo nao viongozi wake wanakula kwa ulaini ndiyo maana siku hizi huwezi kuwatenganisha na CCM.waafuasi wa CCM Zanzibar hawafiki hata 10% ya wazanzibari. CCM Zanzibar inategemea kura za wabara wanaoishi kule, na ndio moja ugomvi mkubwa wa wazanzibari na wabara kule visiwani.