gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 3,915
- 6,272
Kwani majeshi yote kwenye nchi za kidemokrasia huitwa 'jeshi la wananchi?..rais wa France de Gaulle alivaa sare za jeshi,rais wa urusi Putin huvaa,kadhalika wa chinaRais aliyechaguliwa kidemokrasia kuvaa gwanda la kijeshi popote pale ni kuvunja misingi ya kanuni za "civilian control of the military".
Katika nchi za kidemokrasia, jeshi linamilikiwa nankuongizwa na raia. Ndiyo maana linaitwa Jeshi la Wananchi wa Tanzania.
Rais kuvaa kiraia ni symbolism ya kuonesha raia wapo juu ya jeshi, wanaliongoza jeshi.
Rais akivaa kijeshi ni symbolism ya kwamba nchi haiongozwi kiraia tena, inaongozwa kijeshi, kitu ambacho hakitakiwi katika nchi ya kidemoktasia.