Nyerere, Mwinyi, Mkapa, na Kikwete waliwahi kuvaa Magwanda ya JWTZ walipokuwa Marais?

Nyerere, Mwinyi, Mkapa, na Kikwete waliwahi kuvaa Magwanda ya JWTZ walipokuwa Marais?

Mwalimu Nyerere ndiye aliyekuwa Amiri Jeshi Mkuu wa kwanza baada ya Tanganyika kupata Uhuru na Tanganyika ilipoungana na Zanzibar kuunda Tanzania.

Mwalimu yeye ndiye aliyekuwa Amiri Jeshi Mkuu wakati wa vita ya Kagera na kwenye harakati za ukombozi Kusini mwa Afrika.

Ukiachilia mbali Mwalimu, Mzee Ali Hassan Mwinyi na Benjamini Mkapa, Jakaya Kikwete yeye alikuwa ni mwanajeshi kabla hajawa Rais.

Lakini sina kumbukumbu kama hao maris wanne wa Tanzania enzi wakiwa ni Marais wa Tanzania, waliwahi kuvaa sare za JWTZ kuonesha uamiri jeshi Mkuu wao.

Kama Kuna kumbukumbu za Nyerere, Mwinyi, Mkapa au Kikwete kuvaa sare za JWTZ kuonesha uamiri jeshi Mkuu wao, naomba niwekewe ili nibadili mafaili kwenye kumbukumbu za mbongo yangu.
Walikuwa wanajielewa, once you know ur strength, you don't have to brag about it, make a lot of show off,
Maghu alikuwa anataka watu wamuogope kwa kuwa Tisha, kuumiza, alichukulia kuvaa magwanda kama nembo ya kuonyesha yeye ni tishio kwa kila mtu, deep inside alikuwa dhaifu, kimwili na kiakili,
Samia, ndio kilaza kabisa, ki elimu, ki upeo, na a najua wasaidizi wake wanamdharau, wanampa tu masifa ya juu juu, sasa ili ajiboost, ndio kila wakati kupanga apewe degree za heshima, aitwe DR wakati hata masters Hana, anajivalia magwanda ili kujiboost tu
 
Rais aliyechaguliwa kidemokrasia kuvaa gwanda la kijeshi popote pale ni kuvunja misingi ya kanuni za "civilian control of the military".

Katika nchi za kidemokrasia, jeshi linamilikiwa na kuongizwa na raia. Ndiyo maana linaitwa Jeshi la Wananchi wa Tanzania.

Rais kuvaa kiraia ni symbolism ya kuonesha raia wapo juu ya jeshi, wanaliongoza jeshi.

Rais akivaa kijeshi ni symbolism ya kwamba nchi haiongozwi kiraia tena, inaongozwa kijeshi, kitu ambacho hakitakiwi katika nchi ya kidemoktasia.
Sahihi kabisa
 
Wanasiasa wanaharibu heshima ya jeshi kwa kufanya nafasi zao kisiasa kuwa juu zaidi ya jeshi, leo hii dogo wa 2000 akiwa mkuu wa wilaya tu anaweza pigiwa saluti na ofisa wa juu wa jeshi, wanasiasa kuvaa nguo kijeshi huku hawajapitia mafunzo si heshima ni dharau kwa jeshi.kuwe na mipaka.
Hata kama umepitia ni mambo ya hovyo sn
 
Nyerere alivaa,halafu amiri jeshi mkuu akivaa sare ya jeshi Kuna shida gani!!
Nyerere aliwahi kuvaa wakati gani? Mwalimu wakati anatenbea Kwa miguu toka Butiama mpaka Mwanza alivaa nguo kama za mgambo.

Lakini pia hakuvaa kuonesha kuwa yeye ni Amiri Jeshi Mkuu.
Kikwete alikuwa anavaa Vazi la Cheo Chake cha Kanali, zile za kijani full Kaunda suti
Huu Sasa ni uzushi mwingine. Amiri Jeshi Mkuu si cheo cha kijeshi kama alivyosema Kiranga .

Sasa Amiri Jeshi Mkuu alivaaje tena sare za jeshi zenye cheo cha Kanali? Unaelewa kuvaa huko kungefanya awapigie saluti Mabrigedia na majenerali wa jeshi?

Hizi hadithi ishieni nazo kwenye vijiwe vya stori mitaani.
 
Rais aliyechaguliwa kidemokrasia kuvaa gwanda la kijeshi popote pale ni kuvunja misingi ya kanuni za "civilian control of the military".

Katika nchi za kidemokrasia, jeshi linamilikiwa na kuongozwa na raia. Ndiyo maana linaitwa Jeshi la Wananchi wa Tanzania.

Rais kuvaa kiraia ni symbolism ya kuonesha raia wapo juu ya jeshi, wanaliongoza jeshi.

Rais akivaa kijeshi ni symbolism ya kwamba nchi haiongozwi kiraia tena, inaongozwa kijeshi, kitu ambacho hakitakiwi katika nchi ya kidemoktasia.
Duh...
 
Nyerere aliwahi kuvaa wakati gani? Mwalimu wakati anatenbea Kwa miguu toka Butiama mpaka Mwanza alivaa nguo kama za mgambo.

Lakini pia hakuvaa kuonesha kuwa yeye ni Amiri Jeshi Mkuu.

Huu Sasa ni uzushi mwingine. Amiri Jeshi Mkuu si cheo cha kijeshi kama alivyosema Kiranga .

Sasa Amiri Jeshi Mkuu alivaaje tena sare za jeshi zenye cheo cha Kanali? Unaelewa kuvaa huko kungefanya awapigie saluti Mabrigedia na majenerali wa jeshi?

Hizi hadithi ishieni nazo kwenye vijiwe vya stori mitaani.
Kuna picha za Nyerere akipanga mikakati ya Vita vya Kagera, Nyerere kavaa nguo za mgambo.

Likely because hakukuwa na nguo za kijeshi zenye cheo cha Commander In Chief na Nyerere mwenyewe alielewa kuwa mgambo ni militia si standing army kwa hivyo ipo katika some sort of grey area kwenye kanuni ya "civilian control of the military" ambayo bila shaka Nyerere kwa usomi wake aliielewa.

Sasa huyu Mama wa Kizimkazi na yuke mwenzake Jiwe unafikiri wameelewa hata "civilian control of the military" ni nini?
 
Mwalimu Nyerere ndiye aliyekuwa Amiri Jeshi Mkuu wa kwanza baada ya Tanganyika kupata Uhuru na Tanganyika ilipoungana na Zanzibar kuunda Tanzania.

Mwalimu yeye ndiye aliyekuwa Amiri Jeshi Mkuu wakati wa vita ya Kagera na kwenye harakati za ukombozi Kusini mwa Afrika.

Ukiachilia mbali Mwalimu, Mzee Ali Hassan Mwinyi na Benjamini Mkapa, Jakaya Kikwete yeye alikuwa ni mwanajeshi kabla hajawa Rais.

Lakini sina kumbukumbu kama hao maris wanne wa Tanzania enzi wakiwa ni Marais wa Tanzania, waliwahi kuvaa sare za JWTZ kuonesha uamiri jeshi Mkuu wao.

Kama Kuna kumbukumbu za Nyerere, Mwinyi, Mkapa au Kikwete kuvaa sare za JWTZ kuonesha uamiri jeshi Mkuu wao, naomba niwekewe ili nibadili mafaili kwenye kumbukumbu za mbongo yangu.
Kikwete akiwa bado yupo jeshini, but basda ya kuingia urais hajawahi. The rest hawajawahi
 
Likely because hakukuwa na nguo za kijeshi zenye cheo cha Commander In Chief na Nyerere mwenyewe alielewa kuwa mgambo ni militia si standing army kwa hivyo ipo katika some sort of grey area kwenye kanuni ya "civilian control of tge military" ambayo bika shaka Nyerwre kwa usomi wake aliielewa.
Kabisa.

Na yeye hakuvaa kimgambo kuonesha yeye ni Amiri Jeshi Mkuu. Na dhana kwamba Amiri Jeshi Mkuu si mwanajeshi ndiyo watu hawaielewi.
 
Back
Top Bottom