Kwamba wewe ndio unaelewa zaidi kuliko watu woooooote walioshiriki kwenye tukio la Rais kuvaa uniform za Jeshi?
Wengine wooooooote hawajui hiko unachosema au
Mbona Uhuru Kenyatta alikuwa anavaaa?
Umeshindwa kufanya fikra dhahania, unaniangalia mimi badala ya kuangalia hoja.
Hoja hapa ni "civilian control of the military". Vitabu vimeandikwa kuhusu hoja hii. Kuna artickes online kuhusu hoja hii. Hoja hii ipo kabla mimi sijazaliwa. Usi personalize kwangu hili jambo, ni kubwa zaidi yangu mimi bibafsi.
Hoja imekuwapo miaka na miaka kabla sijazaliwa, hivyo si habari yangu mimi.
Pia, Rais anaweza kuwa anaelewa lakini anafanya kinachomfaidisha yeye tu.
Anaweza kuwa anaelewa kuwa kwenye nchi ya kidemokrasia hatakiwi kuvaa kijeshi, lakini anajua watu wake wengi wajinga, hawajui hilo, wanapenda kiongozi mbabe, wanapenda avae mavazi ya kijeshi, anawapa show ya kibabe wanayoitaka.
Inawezekana kabisa ndivyo walivyofanya Magufuli na Samia. Magufuki mpaka kasema anatamani kuwa IGP, wakati akiwa Amiri Jeshi Mkuu. Yani kaona ile kazi ya urais haina ubabe kama IGP, akatamani kuwa IGP.
Kwa hiyo hapo hoja ya mimi kuelewa zaidi kuliko wote haipo.
Labda tuseme wewe ndiye mwenye uelewa mdogo tu.