Bado hujaelewa somo na at this point nafikiri labda si tu hujaelews somo, labda huna uwezo wa kuelewa somo.
Nguo kutoka jeshini si hoja.
Kwa sababu kinachofanya rais wa kidemokrasia kuvaa nguo za jeshi kuwa jambo baya si nguo zinatoka wapi.
Kinachofanya rais wa kidemokrasia kuvaa nguo za jeshi kuwa kitu kibaya ni kwamba rais analeta muonekano wa nchi kuongozwa kijeshi wakati nchi inatakiwa kuonekana inaongozwa kiraia.
Civilian control of the military, amiri jeshi mkuu anatakiwa kuvaa nguo za kiraia ili ionekane nchi inaongozwa kiraia, jeshi linapewa amri na raia.
Rais akivaa magwanda ya jeshi inaonekana kuwa wanajeshi ndio wanaongoza nchi. Nchi haipo katika uongozi wa kiraia, ipo katika uongozi wa kijeshi.
Nina shaka kama unaweza kuelewa.
en.wikipedia.org