Nyerere, Mwinyi, Mkapa, na Kikwete waliwahi kuvaa Magwanda ya JWTZ walipokuwa Marais?

Kwani majeshi yote kwenye nchi za kidemokrasia huitwa 'jeshi la wananchi?..rais wa France de Gaulle alivaa sare za jeshi,rais wa urusi Putin huvaa,kadhalika wa china
 
Maisha ni siasa, bila siasa maisha hayaendi, siasa ndio kila kitu, siasa haikwepeki.
 
Huku nilipo wapi? Na kwa nini kuwe mfano?

Unaweza kuongea hoja in the abstract bila kuangukia kwenye "huko uliko"?

Kama kitu hakifai, kikiwa kinafanyika huku niliko ndiyo kitabadilika na kuwa kinafaa kwa sababu kinafanyika huku niliko?
 
Huku nilipo wapi? Na kwa nini kuwe mfano?

Unaweza kuongea hoja in the abstract bila kuangukia kwenye "huko uliko"?

Kama kitu hakifai, kikiwa kinafanyika huku niliko ndiyo kitabadilika na kuwa kinafaa kwa sababu kinafanyika huku niliko?
Elimu ya uraia uliyodai sinayo,ni ya nchi gani?..maana huku kwetu Marais wanne walivaa sare za jeshi,rais wa china,France na urusi walivaa,hiyo elimu ya uraia inapatikana darasa la ngapi ambalo wengine hatukufanikiwa kufika?
 
Elimu ya uraia uliyodai sinayo,ni ya nchi gani?..maana huku kwetu Marais wanne walivaa sare za jeshi,rais wa china,France na urusi walivaa,hiyo elimu ya uraia inapatikana darasa la ngapi ambalo wengine hatukufanikiwa kufika?
Siyo tu huna elimu ya uraia, huna hata uwezo wa kufikiri kimantiki ndiyo maana umefanya logical non sequitur fallacy hapa.
 
Sasa mtu kama Samia na huo mwili wake mnene kama pipa hata ukimuambia mguu pande hajui,eti nae anajifanya kuwa mwanajeshi
 
Kumbe. modi wanaweza kuua mada na kuidukua na kumpasisha mtu wao! Nilitoa mada kama hii jana ikauawa. Nilisema majeshi kwanini yasimpe u-field marshal. mtukufu rais daktari profesa, sheha, al hajat, maulana , hurulaini, maalima, ustadha, imamati, swaibat Samia Suluhu Hassan kama vyuo vinampa udaktari wa dezo. Nilipendekeza kanisa Katoliki lianzishe mchakato wa kumtangaza mtakatifu tokana na kufanya miujiza ya kiuchumi. Pandiko hili liliuawa kinamna. Sasa naona linarudishwa kinamna.
 
πŸ‘πŸ‘ŒπŸ‘πŸ€πŸ™
 
πŸ€”
 
Po
Pole babaa eh. Hakuna popote Dunia yote jeshi lipo juu ya wanasiasa. Wanasiasa ndio huamua chochote Cha kufanywa na jeshi kutokana na hali flani. Ukienda tofauti na wanasiasa utafutika vibaya. Kwa mfano mwaka 2003 US iliingia vitani na Iraq kwasababu za ovyo tu za bwana Bush .
Nb. Dogo wa 2000 mkuu wa wilaya kupigiwa salyuti na general si ajabu hao ni wateule wa mh Rais . Kila umuonApo ficha sura yake mvalishe uso wa Rais salimia Kwa nidhamu. Tumeelewana?
 
Sioni shida kwa raisi yeyote kuvaa mavazi ya jeshi lolote, kuanzia Jwtz hadi fire kwani yeye ni amiri jeshi mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…