FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Badala ya kuongeza idadi ya madarasa na walimu anawaambia wacheleweshwe kusoma ndiyo kwa wewe yupo sahihi? Daah!Kwa wakati huo alikuwa sahihi kwa kiasi fulani. Alisema kuwa ni asilimia 13 tu ya wanafunzi ndiyo wanaweza kwenda sekondari. Hivyo ni bora elimu yetu iiangalie jinsi ya kuwatumia hawa 87%
Alikuwa anajenga utumwa mambo leo?