FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Elimu huna hizo silaha zinakusaidia nini kama si ujuha tu.Hakuna nchi yenye bajeti ndogo kwenye ulinzi. Nadhani ndio inaongoza mpaka huko Saudi Arabia wanakoenda kuhiji,bajeti ya silaha usipime.