Snowden E
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 1,668
- 2,908
Tanzania imeoza yote.Ambao hawajawahi fika tanga hawawezi kuelewa, ila tanga ingekua na wachapakazi sijui ingekua wapi mana wanakila kitu.
Athari za utawala wa mwarabu na tamaduni zake vinaonekana wazi kabisa.
Sasa hivi...usishangae siku ukiambiwa kuwa mkeo, mama yako, dada yako na shangazi zako wote ni wadangaji wazoefu.