Nyie wa Dar hampo Leaders mpokee miamala ya miujiza ya huyu Nabii?

Yaani ni mazingaombwe ya uhakika
 
200 million? Au ni usd 200?
 
Wewe $ 200mil. imeingia kwenye simu?

Acheni basi mizaha!

Kwa change ilivyo unaongelea zaidi Tsh. 450bil. ingie kwenye simu za kuambiwa …………. By J.Kikwete.
 

Kapola ukimsikiliza kwa umakini in btn lines na kama nimsomaji Mzuri wa Neno na Roho mtakatifu yu ndani yako, utamshtukia faster..yule sio mtumishi wa Mungu bali motivational speaker tena wa ule upande mwingine direct kabisaa..ndi maana kuna topics hutamsikia anazigusa hata kwa bahati mbaya..
 
Cha kushangaza kuhusu hii miamala, wote wanaoonyesha miamala ukiangalia vizuri utaona wanaweza ku-reply hizo sms wakati Kwa kawaida sms za miamala huwezi kuzijibu
Nmerudi kuangalia vdeo aisee,nkafananisha na miamala ya kwny simu yangu

Nmeona meseji zao za miamala zna sehemu ya kureply tofaut na miamala yetu ambao hatukua leaders club

Dah!
 
Tony kapola kajiharibia. Ninmchungaji kijana anayechipukia na tayari alishanza kuaminiwa na mamia ya watu. Lakini kwa tukio hili la leo la pesa za miujiza atabaki na watu wachache Sana hususan wale wenye uwezo mdogo sana wa kuchanganua mambo
 
Tony kapola kajiharibia. Ninmchungaji kijana anayechipukia na tayari alishanza kuaminiwa na mamia ya watu. Lakini kwa tukio hili la leo la pesa za miujiza atabaki na watu wachache Sana hususan wale wenye uwezo mdogo sana wa kuchanganua mambo
kwanini unampinga?kwani haiwezekani kutumiwa miamala kwenye simu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…