Nyie wanawake mnaoringa sasa hivi niko pale nawasubiri mkigusa 30s

Ila sijui kwa nini wadada hawawapendi walimu aisee? Kwani wamewakosea nini?
πŸ˜‚πŸ˜‚Kwakweli sijui Kwann ila Wana uvumilivu sana Hawa viumbe ila wengi hawajiongez kupambana na maisha nafikir ndio sabbu japo wachache wamechangamka

Lkn imagine mke amkute mumewe anaimba na watoto mabaya wadogo wadogo wanaogeleaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Nitaondoka na mmoja 1 au 2
 
🀣🀣🀣🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…