Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Alafu anaona kawin gemMwamba kaumaliza mwendo kizembe sana🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alafu anaona kawin gemMwamba kaumaliza mwendo kizembe sana🤣
Sitaki😂😂 mrudie mwalimu au hutaki u first lady?
HamnaSi umeyataka mwenyewe
Ila kweli huyu ni waushuani sanaHamna mwanamke akileta jeuri jua mizigo ipo
Salio la ajeUkiona mwanamke analeta jeuri jua salio linasoma 😄
Umeanza na weweIla kweli huyu ni waushuani sana
😅 yamekua hayoSitaki
Ma first lady wajane
Uwii sitaki
Na akizingua tu ataanza kukwarua udongo kama jogoo kweli, jogoo haliwi kizembe vileAlafu anaona kawin gem
Sasa ukweli si usemwe tu hata hiyo avatar inaoneshaUmeanza na wewe
Ndio madhara ya kufakamia kuku wa dawa 😂Na akizingua tu ataanza kukwarua udongo kama jogoo kweli
Mara nyingi huwa ni vibarua ndio vinawapa jeuriIla kweli huyu ni waushuani sana
Hiyo ni kawaida sana na inaeleweka Mwanaume mara nyingi hutangulia kurudi alikotoka, na hakuna ambaye atadumu milele, Give him a self golden chance, huo muonekano ni jukumu lako kumbadirisha tu awe jinsi vile unavyotaka, na atakusikiliza kwa sababu anakupendaSitaki
Ma first lady wajane
Uwii sitaki
Vibarua vinawapa jeuriSalio la aje
No of pending requests au
🤣🤣
jeuri ina mwisho lakini hakuna mkate mgumu mbele ya chaiMara nyingi huwa ni vibarua ndio vinawapa jeuri
Raraa kumbe ndio unaongea sana hivyoMara nyingi huwa ni vibarua ndio vinawapa jeuri
Yap akipitiwa na rungu la cheti feki kwa bahati mbaya ndio hapo sasa atatafuta pa kujishikizajeuri ina mwisho lakini hakuna mkate mgumu mbele ya chai
Hamnaaaa 😡Vibarua vinawapa jeuri
Tunashukuru Bado tupo kwenye maombi na sio kilamwanamke anapenda mwanaume Alie na kilakitu lakini kuomba upatemtu sahihi ndo kitu Cha maana,nyumba ambayo Haina amani haiwez kuwa na mafanikio Tunaomba tupate waume wataotupenda na kutupa amani inshallah wakija sidhani km kutakuwa na kikwazo
We sio wa kunisagia hivyoSasa ukweli si usemwe tu hata hiyo avatar inaonesha
Black ice blame itRaraa kumbe ndio unaongea sana hivyo