Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀Alafu walimu wana nyota ya kuwa marais nchi hii 😄
Kwisha habari yake na hapo ndio huanza kumkumbuka teacher wakeYap akipitiwa na rungu la cheti feki kwa bahati mbaya ndio hapo sasa atatafuta pa kujishikiza
😂😂😂 sawaHiyo ni kawaida sana na inaeleweka Mwanaume mara nyingi hutangulia kurudi alikotoka, na hakuna ambaye atadumu milele, Give him a self golden chance, huo muonekano ni jukumu lako kumbadirisha tu awe jinsi vile unavyotaka, na atakusikiliza kwa sababu anakupenda
Kwan uongooooooWe sio wa kunisagia hivyo
Promise 🙏😍😂😂😂 sawa
😂😂😂 dahKwisha habari yake na hapo ndio huanza kumkumbuka teacher wake
I do 😘Promise 🙏😍
UrongooooKwan uongoooooo
Sawa si umeamuaUrongoooo
After these fasting days ( Quaresma and Ramadan) nadhani kutakuwa kuna progress fulani. we wish you all the best. Ndoa ni agizo la Mungu na ni nzuri sana kumpata Mtu anayekupenda.I do 😘
Haya maneno mnasemaga tu.Tunashukuru Bado tupo kwenye maombi na sio kilamwanamke anapenda mwanaume Alie na kilakitu lakini kuomba upatemtu sahihi ndo kitu Cha maana,nyumba ambayo Haina amani haiwez kuwa na mafanikio Tunaomba tupate waume wataotupenda na kutupa amani inshallah wakija sidhani km kutakuwa na kikwazo
Hawapo, virgin wa 30 yrs, hiyo chai mkuuAkiwa virgin je
Usibishe kwamba hawapo
Depal unataka nitoe maneno ya hovyo virgin at 30s? Labda kule kwinginekoAkiwa virgin je
Usibishe kwamba hawapo
No mzee. Na kama hujui hayo ndo matumizi mazuri ya pesa.500k kwa ajili ya papuchi sio?
Niiteni tu maskini kudadadeki zenu
Toa tu hiyo minenoDepal unataka nitoe maneno ya hovyo virgin at 30s? Labda kule kwingineko
Ila wanaume mnateseka sana na mapenz😀 ndoa ni Kila mtu alivopangiwa na alivopanga na sio kilamwanaume akitak kukuoa bas sahihi Kuna ambao unaona kabisa bond haipo Yan ni mafuta na maji Bora uendelee kusubiri tu kuliko kuingia kwenye maisha usiyotarajiaHaya maneno mnasemaga tu.
Miaka ya nyuma kiasi ndo nmetoka chuo nikarudi kwetu kusikilizia kazi, pale kulikua na kadem nakakubali kinoma ndo kalikua kanamalizia six kaende chuo. Yule mdada nilikua nampenda balaa na sijawah kupenda vile aisee. Dem alipoenda first year tu akawa mbogo, kidume nipo naangalia tu biashara za mzee malipo ni wali maharage wa jion na ugali dagaa wa mchana.
Nikaja kupata chance ya internship dsm nikawa naenda kukachk pale mlimani ila kananipotezea balaa, second year akapigwa mimba na rafiki wa kakaake nikaja kujua ndo alikua anakapa kiburi. Sasa hv ni counter kwenye bar fln hv hapa mjini ana watoto watatu kila mtoto baba yake.
Mabinti wachache sana wanajua maana ya true love na wachache zaidi wanajua namna ya kuspot true love, japo wanaume wengi bado wako tyr kutoa true love sema wanakua discouraged
Umempigia??? How sweet is this????