Nyie warembo, kwa nini huwa mnajiweka kwa bei ghali wakati uhalisia unajijua?

Nitag huko nikausome au niwekee link hapa kama hutojali
 
Weeeeh weeehh weehhh ukimleta demu wake pale demu hachomokii !! πŸ€—!!
Nikikutazama kwa macho ya rohoni, naona hauna furaha kabisa; mrembo kama wewe unatakiwa muda wote uwe una 'shine' tu
 
Unaonaje nikawa nakalipia ada kabisa. Eee aunty mzuri. Kako lika sawa na mimi, tena mi niko form 1[emoji16]
Ngoja nikitoka kifungoni kulee siku ntawafotoa nikuoneshee!Dogo Noumaaa nanusuu! Form one wee hapana kenyewe kako f 3 so wewe uwe mkubwa mkubwa kidogo walau uwe 1st Year πŸ˜‚!
 
Ngoja nikitoka kifungoni kulee siku ntawafotoa nikuoneshee!Dogo Noumaaa nanusuu! Form one wee hapana kenyewe kako f 3 so wewe uwe mkubwa mkubwa kidogo walau uwe 1st Year [emoji23]!
[emoji16][emoji16][emoji16] Siku ukiwafotoa fanya kunitag. Sawa aunty yangu. Kuhusu kuwa form 1 usiwaze, kakifika form 4 mi nitakuwa namaliza 6[emoji125][emoji125]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…