Ukisikia nimeamua kutoka bar karibu na kwangu , yes wewe hapo ni mpangaji na sio mwenye nyumba, wapangaji hua mna matata sanaLeo nimeona mambo yasiwe mengi nimeamua kutoka bar ya jirani na kwangu hapa weekend hii, nyie wenzangu mnaenjoy wapi mimi naenjoy mbezi๐๐๐
Na Aces whooosh๐น๐๐ค
rongoni kigmboniLeo nimeona mambo yasiwe mengi nimeamua kutoka bar ya jirani na kwangu hapa weekend hii, nyie wenzangu mnaenjoy wapi mimi naenjoy mbezi๐๐๐
Ngoja nikomae kuchomea hii simu ipone ๐๐Niache leo ndiyo mara ya kwanza nakunywa hii bia. Sasa nisije ongea ya uvunguni bure. Naweza anza elezea hapa kitumbua kiko na mchoro upi bure ๐ค
Kuna ile jiran ake ๐น๐น ah Ata Bure unipeleki Kuna Kila aina ya uchafu ๐นPako fresh hasa kwa sisi wanaume
๐๐๐dah! Jamani mkuu mbona kwahiyo wapangaji haturuhusiwi kuenjoyUkisikia nimeamua kutoka bar karibu na kwangu , yes wewe hapo ni mpangaji na sio mwenye nyumba, wapangaji hua mna matata sana
Tuachane nayo... 2014 nilimkula mmama jicho bila kujuaKuna ile jiran ake ๐น๐น ah Ata Bure unipeleki Kuna Kila aina ya uchafu ๐น
Niko uwanja wa fisi, nakula mapupu na ndizi za kuchemsha kwa jero tu.Leo nimeona mambo yasiwe mengi nimeamua kutoka bar ya jirani na kwangu hapa weekend hii, nyie wenzangu mnaenjoy wapi mimi naenjoy mbezi๐๐๐
Yes hizo kauli ni za wapangaji , tena WA nyumba za uani , hivo hua tunawacheki na kukaa kimya maana pesa yenu ni muhimu kwa wenye nyumba hizo laki 4 kila mwezi ni muhimu Sana na hapo ulipo mwezi wa nne unatakiwa ulipe Kodi kama kawaida๐๐๐dah! Jamani mkuu mbona kwahiyo wapangaji haturuhusiwi kuenjoy
๐น๐น๐นKiongozi mmama tenaTuachane nayo... 2014 nilimkula mmama jicho bila kujua
Enjoy kiongoziNaelekea samaki samaki masaki kisha mida fulani ya saa 6 nitakuwa element hapo hapo masaki
Boss bodyguard wako najukumbusha protocol za unywaji, huwa hauzidishi chupa 4Niache leo ndiyo mara ya kwanza nakunywa hii bia. Sasa nisije ongea ya uvunguni bure. Naweza anza elezea hapa kitumbua kiko na mchoro upi bure ๐ค
Nilikua na miaka 20+ sasa nikawa nimechukua limama likubwa Kama nyumba jeupe pee... Likawa linahamisha mashine yangu kijanja.๐น๐น๐นKiongozi mmama tena
Wewe utakuwa mchawi siyo bure๐ค๐ขYes hizo kauli ni za wapangaji , tena WA nyumba za uani , hivo hua tunawacheki na kukaa kimya maana pesa yenu ni muhimu kwa wenye nyumba hizo laki 4 kila mwezi ni muhimu Sana na hapo ulipo mwezi wa nne unatakiwa ulipe Kodi kama kawaida
๐๐๐๐Nilikua na miaka 20+ sasa nikawa nimechukua limama likubwa Kama nyumba jeupe pee... Likawa linahamisha mashine yangu kujanja.
Mungu ambariki sana huko alipo
Hongera mkuu, tuendelee kukuza uchumi wa taifaNaelekea samaki samaki masaki kisha mida fulani ya saa 6 nitakuwa element hapo hapo masaki
Utatuweza Wananchiii basi tumlikua mnasubiri nini?
Umesahau ni 5. Zaidi ya hapo yataibuka yale usiku wa manane. Halafu nimepamiss, leo acha nonywe niibuke huko tukacheke, tuenjoy.Boss bodyguard wako najukumbusha protocol za unywaji, huwa hauzidishi chupa 4
DAR ina mbezi mbiliLeo nimeona mambo yasiwe mengi nimeamua kutoka bar ya jirani na kwangu hapa weekend hii, nyie wenzangu mnaenjoy wapi mimi naenjoy mbezi๐๐๐