Binti Sayuni03
JF-Expert Member
- Jan 21, 2025
- 1,075
- 1,913
- Thread starter
- #81
Nipo mbezi LuisDAR ina mbezi mbili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo mbezi LuisDAR ina mbezi mbili
Utakuwa QB weweNipo mbezi Luis
Si kuangalia mechi iliyoingia kipengele mkuuMmeenda kufanyaje?
Hahaha eti 5!, mi niko ndani na movie kama kawaida.Umesahau ni 5. Zaidi ya hapo yataibuka yale usiku wa manane. Halafu nimepamiss, leo acha nonywe niibuke huko tukacheke, tuenjoy.
Sio uchawi hua tunawasoma maandishi , so kunywa ukumbuke April Kodi inakuhusu wakati huo kwenye kuulizia viwanja maeneo classic unayopenda uliambiwa mil 100 hadi 500 , wastani so piga kinywaji ukikumbuka madalali walikuelezaje juu ya viwanja Pande hizoWewe utakuwa mchawi siyo bure🤔😢
Poleni sana mkuu, sisi tulitaka kuja tulivyoona mambo hayo tukaghairiSi kuangalia mechi iliyoingia kipengele mkuu
Sema uko mbezi beach kwa zena usihofuNipo mbezi Luis
Hamkuamini kuwa mechi hakuna?, kweli wadigo vichwa ngumu.Tupo tunagombania daladala huku kwa mkapa
Bahati mbaya silipi mimi biliSio uchawi hua tunawasoma maandishi , so kunywa ukumbuke April Kodi inakuhusu wakati huo kwenye kuulizia viwanja maeneo classic unayopenda uliambiwa mil 100 hadi 500 , wastani so piga kinywaji ukikumbuka madalali walikuelezaje juu ya viwanja Pande hizo
Ili iweje mkuuSema uko mbezi beach kwa zena usihofu
Leo natia team huko. Mida mida kama kawa, pamoja.Hahaha eti 5!, mi niko ndani na movie kama kawaida.
Usiku wa manane for life, mchana wao usiku wetu😆
Hamkuamini kuwa mechi hakuna?, kweli wadigo vichwa ngumu.
Ndio location yako mkuuIli iweje mkuu
Mimxi hata siyo mwenyeji mkuundo natoka kibaha nikifika hapo mbezi nataka nitulie kama masaa 2 ni bar gani iliyochangamka yenye watoto wenye mvuto!
Hapana siyo huko mimi siyo wakishuaNdio location yako mkuu
Alikuweza 😹😹💔Nilikua na miaka 20+ sasa nikawa nimechukua limama likubwa Kama nyumba jeupe pee... Likawa linahamisha mashine yangu kijanja.
Mungu ambariki sana huko alipo
Tulikuwa na kazi ya kufanya! Kamati ya TangaaaaaHamkuamini kuwa mechi hakuna?, kweli wadigo vichwa ngumu.
Njoo wavuvi kemp Coco beach 🏖️ ka binti Sayuni!! Njoo tuimbe pambio hapa mpaka asubuhi!!Leo nimeona mambo yasiwe mengi nimeamua kutoka bar ya jirani na kwangu hapa weekend hii, nyie wenzangu mnaenjoy wapi mimi naenjoy mbezi😎🙈😝