MASHUKE ORIGINAL
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 223
- 429
Genge love by nonini ft lady bee
Rude boy by Rihanna
Baby by me ya 50 cent ft neyo.
Rude boy by Rihanna
Baby by me ya 50 cent ft neyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama said no pussy cats inside my dog houseAbout week ago .....Hot Nikka.
Dogo alikuja vizuri akazingua akahifadhiwa NDICHI.Shmoney dance
Hahaha sie ni wadau wa mziki halafu enzi hizo DJ JD alikamata sana kwa hewa,Masister Duu wa Mzizima /Shaban Robert walikuwa wanapiga simu sana kurequest Mapini ya mbele.Dah! Ebwana mdau umenifurahisha sana. Memory yako iko poa sana. Ni kweli "one -O-one point four" alikuwa anapenda sana kutamka hivyo. Ahsante.
Huwa napenda sana kusikiliza Clean version yake halafu mdundo(beat) unakita kama WOte.Mama said no pussy cats inside my dog house
That's what got my daddy locked up in the dog
pound..
Dah! Kweli, halafu alikuwa na staili ya ku_dance matata sana. Sijui akitoka na akarudi kwenye game kama atasumbua tena maana Mystikal naye baada ya kutoka jela akawa kama kapoteza.Dogo alikuja vizuri akazingua akahifadhiwa NDICHI.
Mdundo wake matata sana ingawa mashairi yake kidogo yana maneno tata. Hiyo clean version mdau si itakuwa imekatwa katwa sana, au!? Ila jamaa kaelezea ukweli wa life lake.Huwa napenda sana kusikiliza Clean version yake halafu mdundo(beat) unakita kama WOte.
Kweli kabisa na naamini hiyo ilichangiwa na access na simu za nyumbani za land line kipindi kile. Ilikuwa burudani aisee!Hahaha sie ni wadau wa mziki halafu enzi hizo DJ JD alikamata sana kwa hewa,Masister Duu wa Mzizima /Shaban Robert walikuwa wanapiga simu sana kurequest Mapini ya mbele.
21 pilots _stressed out[emoji91]Patoranking ft wizkid-Kind of love
21 Pilots-Stressed out
J cole ft trey songs- cant get enough
Wayne wonder-friend like me
Sound of silence
Za alarm asubuhi
T pain ft wizkhalifa-5 OCLOCK
Necessary noice-Bless my room
Jahlil beats holla at meMama said no pussy cats inside my dog house
That's what got my daddy locked up in the dog
pound..
Hahaha style nzuri ile kama anainama hivi na kushake ilibamba sana,ukitoka jela lazima upoteze si umeona hata shyne kapotea mazima kwenye game.Dah! Kweli, halafu alikuwa na staili ya ku_dance matata sana. Sijui akitoka na akarudi kwenye game kama atasumbua tena maana Mystikal naye baada ya kutoka jela akawa kama kapoteza.
Yap Mashairi alikaza ,yes kwenye clean maneno mengi yamekatwa.Mdundo wake matata sana ingawa mashairi yake kidogo yana maneno tata. Hiyo clean version mdau si itakuwa imekatwa katwa sana, au!? Ila jamaa kaelezea ukweli wa life lake.
Kweli mkuu zamani Mobile kulikuwa hakuna mwendo wa Landline tu TTCL na Mkonga,Washua ndio walikuwa na simu za ndani kwa hiyo watoto wa kishua sana na tu walikuwa wanapiga.Kweli kabisa na naamini hiyo ilichangiwa na access na simu za nyumbani za land line kipindi kile. Ilikuwa burudani aisee!
Wakati kesi yake inaendelea wakili wa serikali alitumia baadhi ya mistari kwenye hii ngoma kama ushahidi.Mdundo wake matata sana ingawa mashairi yake kidogo yana maneno tata. Hiyo clean version mdau si itakuwa imekatwa katwa sana, au!? Ila jamaa kaelezea ukweli wa life lake.
Ndio maana wengine wanaona kama aliwa-snitch wenzake. Ila hata hivyo jamaa na wenzake wanahusudu sana guns.Wakati kesi yake inaendelea wakili wa serikali alitumia baadhi ya mistari kwenye hii ngoma kama ushahidi.