Nyimbo gani umeshawahi kuzisikiliza 'non-stop' zaidi ya siku mbili?

Nyimbo gani umeshawahi kuzisikiliza 'non-stop' zaidi ya siku mbili?

Peoples change even satan Used to be an angel
Nf
Think twice before you bite thr hands thats fed you
Remember this hiyo,NF.nilisahau kuilist, haichoshi kumsikiliza na wanaopenda inspirational songs hii ni mojawapo...
These people gon' tell you that you will never make it Then when you do, they gon' say they knew you were goin' places That's just how it works, next thing you know you'll be overrated Hearing people say they miss the "old you, " it's crazy, ain't it? And perfect people don't exist, so don't pretend to be one I don't need pats on the back from people for my achievements When I die I wanna know that I lived for a reason Anyone can take your life, but not what you believe in, no.
 
Huwa Sichoki kusikiliza hizi nyimbo:-

1. Run to the arms xscape
2. Gina Thompson - Ya Di Ya.
3.One Sweat Day - Mariah x Boyz
Aisee! Hiyo namba mbili ya Gina Thompson Umenikumbusha John Dilllinger Matlou "Dj JD" alipokuwa kwenye radio moja 1997-1999 alikuwa anagonga sanahii ngoma. Actually ndiye aliyeutambulisha huu wimbo kwangu . Kama sikosei ni Rodney "Dark Child" Jenkins ndiye ali-produce huu mdundo enzi hizo yuko on fire.
 
".... Tired of living day to day like everything is alright
Just waiting on that moment
Waiting on my moment

Old dude met mom it was on
Then he named me over a phone, prison term
Live and learn, sippin' syrup with my vision blurred
Take this cup of reality, niggas finna err
When you start from the bottom you can see the top
So when you get to it, don't let 'em see the spot
Next thing you know you lookin' for a rent sign
Upper echelon, bitch we skip line
I remember reminiscing in the kitchen like
I wonder when the Braves gon' win it
I wonder when the Falcons gon' get here
Pyrex vison, made more than I ever made with DTP this year...."


Hii track naiplay kila nikiwa na tukio muhimu. Since NECTA form four, form six na nikifanya kitu flani cha kubaki kama historia. DJ Drama ft. 2 Chainz, Meek Mill na Jeremih.
 
Napenda nyimbo nyingi ila Wenge Musica BCBG " Champion Kapangala" ni mmoja wapo.
 
Napokuwa na mood ya kusikiliza mziki wa zamani ikiwemo Country music hizi nyimbo lazima nisikilize.

1. Kenny Rogers ft Dolly Parton_ You can't make old friends.
2. Julio Iglesias ft Dolly P_ When you tell me that you love me.
3. Julio Iglesias ft Steve Wonder_ My Love.
4. The gambler_Kenny Rogers.






Sent using Jamii Forums mobile app
 
Patoranking ft wizkid-Kind of love
21 Pilots-Stressed out
J cole ft trey songs- cant get enough
Wayne wonder-friend like me
Sound of silence

Za alarm asubuhi
T pain ft wizkhalifa-5 OCLOCK
Necessary noice-Bless my room
 
Aisee! Hiyo namba mbili ya Gina Thompson Umenikumbusha John Dilllinger Matlou "Dj JD" alipokuwa kwenye radio moja 1997-1999 alikuwa anagonga sanahii ngoma. Actually ndiye aliyeutambulisha huu wimbo kwangu . Kama sikosei ni Rodney "Dark Child" Jenkins ndiye ali-produce huu mdundo enzi hizo yuko on fire.
Hahaha Safi ni kweli DJ DJ alikuwa anaupiga sana enzi hizo yupo 101.4 FM now Capital FM.
 
Habari zenu wapendwa katika mimi!

Kuna wakati fulani unaweza ukaskiliza wimbo mmoja hata wiki nzima. Hii huwa inatokana na aina ya wimbo, pia huo wimbo umeutafuta kwa muda gani.

Myself nina nyimbo ambazo nishawahi kuzisikiliza non-stop.

Do Better - Chris's brown
Die For You - The weekend
When I Was Your Man - Bruno Mars
Why Not Me - Enrique Iglesias (hii huwa siichoki hata hii naiskiliza sana)
Ekuweme - Prosper Ochimana
Mockingbird - Eminem
Reminder - The weekend
Stupid Love - Jason Derulo
1942 Flow - Meek Mill

Kwangu mi hizo ndiyo nyimbo ambazo nimmehawahi kusikiliza bila kuzichoka.

Share na wewe ili tupate kuujua muziki mzuri.

joanah
Loyal ya chris brown
alone 1& 2 ya alan walker
on my way ya alan walker
x tour ya lil uzi vert
sacrifice ya big sena
i dont https://jamii.app/JFUserGuide wity you ya big sean
hit em up ya 2pac
godzila y aeminem
broad way ya Dababy
evils work ya joyner lucas
 
Hahaha Safi ni kweli DJ DJ alikuwa anaupiga sana enzi hizo yupo 101.4 FM now Capital FM.
Dah! Ebwana mdau umenifurahisha sana. Memory yako iko poa sana. Ni kweli "one -O-one point four" alikuwa anapenda sana kutamka hivyo. Ahsante.
 
Back
Top Bottom