Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Nyimbo zake hazichoshagi aisee. Mie naeza kaa asubuhi hadi jioni kama ni sita basi nitazirudia hizo hizo mpaka siku inaisha na ikifika kesho nazirudia na hazijawahi chuja pia kwangu.Acha wiki mimi nina mwaka wa sita sasa nasikiliza wimbo wa MAHER ZAIN- forgive me na hauchuji kwangu
- Rest of my life
-Asubuhu Badaa
- Insha Allah
-Bika Mulhini
-Radwiitu
- Huwa AlQuran