Nyimbo gani ya zamani ujumbe wake inabidi uwafikie vijana wa sasa?

Nyimbo gani ya zamani ujumbe wake inabidi uwafikie vijana wa sasa?

Mshangazi dot com

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2011
Posts
1,345
Reaction score
3,503
Starehe - Ferooz & Prof J

“Starehe mnazipenda ila mwisho wake mbaya, wengi wameteketea kwa kuendekeza umalay**a , vipimo vinaonyesha ni kweli umeathirika, I am very sorry kupoteza nguvu ya Taifa”

IMG_1242.jpeg




Asante min -me kwa kunikumbusha hii ngoma jana.
 
Marijani..Hawa waimbaji walikuwa na kipawa cha aina yake kabisa.Hatutakuja tena kuwapata milele zote.Tubaki na wakina zuchu na marioo tu
 

Attachments

Back
Top Bottom