Nyimbo gani ya zamani ujumbe wake inabidi uwafikie vijana wa sasa?

Nyimbo gani ya zamani ujumbe wake inabidi uwafikie vijana wa sasa?

Inavyosemekana mpaka akawa anafunga ndoa miaka ya 2014 kama sikosei bwana harusi akatokomea mtini na kumwacha bi harusi (Vicky) kwenye mataa huko Tabata!

wanadai mrs jeikei ndo alifanya Dili Hilo maake Vick Kuna kipindi alikuwa anataka kuhatarisha ndoa yake na Mr
Mambo ya vigogo hayo.
 
so alichapika mpk barabara hii hapo kariakoo kuja kama ukutane na kilwa road inaitwa KAMATA ROAD, mpka kituo Cha mwendokasi kinaitwa KAMATA bus stop, eeh hata treni zikiwa zinatoka pale gerezani kariakoo sio gerezani ni kituo Cha KAMATA 😂
Ayayaya!🥱
 
Marijani..Hawa waimbaji walikuwa na kipawa cha aina yake kabisa.Hatutakuja tena kuwapata milele zote.Tubaki na wakina zuchu na marioo tu
Kuna ile Gezaulole ni kali

Baba na Mama
Shangazi na Mjomba
Mjini hakutafai, biashara ya kahawa na maji ya barafu haitufai
Twendeni Gezaulole 🎶
 
Back
Top Bottom