Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 3,711
- 6,762
Saa hz katulia mbweni huko, sijui kama ana harakati za siasa bado!Yeah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Saa hz katulia mbweni huko, sijui kama ana harakati za siasa bado!Yeah
😂😂 Mambo yako hivyoHahaha 😂
Sidhani aiseSaa hz katulia mbweni huko, sijui kama ana harakati za siasa bado!
Atulie umri unasonga sasa 😂 😂Sidhani aise
Uwimbo upo kweli Mbona kwenye Google siuoniRemmy Ongala- Wema kumanyooko
Kuna Ngoma ya madilu system 'ye Jean' ni noma pia😂😂 Mambo yako hivyo
Enzi izo Wana SEMA ni chombo ya JKVick mzurii aseeh
Eti wema kumanyoko.Uwimbo upo kweli Mbona kwenye Google siuoni
Enzi izo Rumors kua ni chombo ya JKMapenzi na shule-Vicky Kamata.Wakati niko kimvulana nilikuwa namuona sana anakuja mitaa ya Bwiru Place bonge la mali lilikuwa .
Kwa hiyo alichapika Sana...Enzi izo Wana SEMA ni chombo ya JK
Itakua ni tenda wemah nenda zakoEti wema kumanyoko.
Inavyosemekana mpaka akawa anafunga ndoa miaka ya 2014 kama sikosei bwana harusi akatokomea mtini na kumwacha bi harusi (Vicky) kwenye mataa huko Tabata!Enzi izo Wana SEMA ni chombo ya JK
Mambo ya vigogo hayo.Inavyosemekana mpaka akawa anafunga ndoa miaka ya 2014 kama sikosei bwana harusi akatokomea mtini na kumwacha bi harusi (Vicky) kwenye mataa huko Tabata!
wanadai mrs jeikei ndo alifanya Dili Hilo maake Vick Kuna kipindi alikuwa anataka kuhatarisha ndoa yake na Mr
LabdaItakua ni tenda wemah nenda zako
so alichapika mpk barabara hii hapo kariakoo kuja kama ukutane na kilwa road inaitwa KAMATA ROAD, mpka kituo Cha mwendokasi kinaitwa KAMATA bus stop, eeh hata treni zikiwa zinatoka pale gerezani kariakoo sio gerezani ni kituo Cha KAMATA 😂Kwa hiyo alichapika Sana...
Aseeh mtoto wa mjini sana yule VickyMambo ya vigogo hayo.
Ayayaya!🥱so alichapika mpk barabara hii hapo kariakoo kuja kama ukutane na kilwa road inaitwa KAMATA ROAD, mpka kituo Cha mwendokasi kinaitwa KAMATA bus stop, eeh hata treni zikiwa zinatoka pale gerezani kariakoo sio gerezani ni kituo Cha KAMATA 😂
Wenzio wapo mjini kimkakati 😂Ayayaya!🥱
Kuna ile Gezaulole ni kaliMarijani..Hawa waimbaji walikuwa na kipawa cha aina yake kabisa.Hatutakuja tena kuwapata milele zote.Tubaki na wakina zuchu na marioo tu
Kweli kabisa.Wenzio wapo mjini kimkakati 😂