Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 3,711
- 6,762
Eeeh bravo, siku hz hamna mambo ya kipindi Cha miaka kumi nyuma jiji lilikuwa hot 😂Kweli kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeeh bravo, siku hz hamna mambo ya kipindi Cha miaka kumi nyuma jiji lilikuwa hot 😂Kweli kabisa.
Labda ni ule unaoitwa fadhili ni utumwa.Uwimbo upo kweli Mbona kwenye Google siuoni
Siku hizi Kila mtu anajifanya mjuaji.Eeeh bravo, siku hz hamna mambo ya kipindi Cha miaka kumi nyuma jiji lilikuwa hot 😂
Naaam....... siku hz jiji limepoa machawa wengi, mitandao imeanika kila kitu basi tafrani tupuSiku hizi Kila mtu anajifanya mjuaji.
Na ndiyo maana tunayakumbuka mambo ya zamami kama nyimbo na kadhalika kwa maana mambo ya sasa hayaturidhishi ki vile...Naaam....... siku hz jiji limepoa machawa wengi, mitandao imeanika kila kitu basi tafrani tupu
Hayana ushawish ht kidogoNa ndiyo maana tunayakumbuka mambo ya zamami kama nyimbo na kadhalika kwa maana mambo ya sasa hayaturidhishi ki vile...
Kasongo ogii yake iko poa kinoma 😂Kasongo 🤣😅
Tafsiri yake ina ukakasi balaa!!Muhogo wa Jangombe wa Jay Dee
👍 classicNajituliza kwake kasuku,, ooh
Najituliza kwake kasuku ooh,
Hataki maneno hataki maneno
Anachopata kinamtosha,
Hataki matata, hataki matata
Kasuku eeh
Classic sanaMuhogo wa Jangombe wa Jay Dee
Thank you Theresa👍 classic