OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Mwana JF hapo ulipo na familia yako mnaweza kuitikia huo wimbo. Hata kama ni bar mnakula bata ambia DJ apige song
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoma mneso, safari na mwendo.View attachment 2689204
Mwana JF hapo ulipo na familia yako mnaweza kuitikia huo wimbo. Hata kama ni bar mnakula bata ambia DJ apige song
View attachment 2689204
Mwana JF hapo ulipo na familia yako mnaweza kuitikia huo wimbo. Hata kama ni bar mnakula bata ambia DJ apige song
Unyama mwingi😂😂View attachment 2689204
Mwana JF hapo ulipo na familia yako mnaweza kuitikia huo wimbo. Hata kama ni bar mnakula bata ambia DJ apige song
Huna akili kabisakazi inaendelea wewe endelea kuimba muzika.
Mama huwa hatishwi wala hatishiki.
mkataba wa DPW upo palepale na mambo yameiva.
punde tutaanza kula matunda ya uwekezaji mkubwa wa DPW, 27trillion
kwa hiyo hata mwimbo umekosewa kutungwa?[emoji1787]Wasahihishe maudhui siyo kuuzwa bali zimegawiwa bure, kuuza kitu ubapata fedha, Serikali haijapata fedha yoyote hivyo Bandari imegawiwa kwa waarabu bure …
Nashauri huu wimbo uwekwe Vizuri. TUPATE audio na video ni mtamu sana kuibomoa CCM. Maana Hadi vibibi kule kijijini vitaimbaView attachment 2689204
Mwana JF hapo ulipo na familia yako mnaweza kuitikia huo wimbo. Hata kama ni bar mnakula bata ambia DJ apige song
Burekwa hiyo hata mwimbo umekosewa kutungwa?[emoji1787]
hiyo ndio tabu ya kuzusha mambo.
mzee wasira anasema; Bandari imeuzwa shilingi ngapi?
kazi inaendelea wewe endelea limbs mizuki.
Mama huwa hatishwi wala hatishiki.
mkataba wa DPW upo palepale na mambo yameiva.
punde tutaanza kula matunda ya uwekezaji mkubwa wa DPW, 27trillion