Akasankara
JF-Expert Member
- Feb 28, 2015
- 4,210
- 5,752
Wewe ni jinga sana. Leta mrejesho wa Gesi ya Mtwara. Huwenda ukawa Wakala wa shetani dada yake IbilisiWewe ndo huna akili,unakubali kuwa brainwashed na wanasiasa,wasiolitakia mema taifa hili,,sijui mtaficha wapi nyuso zenu pale bandari itakapoanza kufanya kazi Kwa ufanisi na watu kuona hayo mafanikio,,,😂,maana huo mkataba hautasinamishwa kwa Maneno ya mitandaoni Bali labda washindwe kuelewana kwenye mkataba unaofuata