Nyimbo za kupinga kuuzwa bandari katika mabasi

Nyimbo za kupinga kuuzwa bandari katika mabasi

Anza wewe kuokota kazi ya kumlinda Lema kiongozi wako Kama rahisi
Ufaidi Muungano mkuu, sahau hayo ya kujisemesha hapa kuhusu "uvamizi", kumbe huna habari kabisa na kujiondoa kwenye uvamizi.
Maadam nimekwishajua unaposimamia, sina tena sababu ya kuendelea kujibishana nawe hapa kuhusu hizi takataka nyingine unazoleta hapa.
 
Ufaidi Muungano mkuu, sahau hayo ya kujisemesha hapa kuhusu "uvamizi", kumbe huna habari kabisa na kujiondoa kwenye uvamizi.
Maadam nimekwishajua unaposimamia, sina tena sababu ya kuendelea kujibishana nawe hapa kuhusu hizi takataka nyingine unazoleta hapa.
 
Duh!
How else can you "run a country if you cannot listen to the people's aspirations"?

I just don't understand how you can ignore the seriousness of this issue and think you have more important matters than this.

Kuonyesha jinsi gani mawazo yako yasivyofanya kazi vizuri ni hilo uliloliweka hapo chini.
Utalinganisha vipi swala unaloliita "agenda" na swala hili la Bandari?
Who is serious here!
Kama kila jambo utaliahadadia kutwa, kazi utafanya saa ngapi

Binafsi Naona issue ya bandari is done, everything iliyotolewa angalizo itakua taken care of wakati wa kuandaa performance contract

Btw, ngumu sana kwako kunielewa

Hebu tutumie na nyimbo nyingine Basi…. Piga verse ya kabanga
 
Uzushi huu ni kwa faida gani hasa!
Na je kwa kuendelea na uzushi wenu mnadhani ndo itasaidia kuifanya serikali iachane na mpango wake?
Weka ukweli hapa, bandari imeuzwa sh? Au imekodishwa kwa sh?
 
wewe sio mtanzania, kaa kimya.
Nyie mnaouza ndio sio watanzania mnajua mlishahamisha familia zenu na kutuachia msala, hivi kweli unaweza kuwa na akili timamu kweli ukafunga huo mkataba, Mungu anawaona aisee.
 
Kwahiyo wewe ulishawahi au Kuna Siku utakwenda bandarini na utaikosa?

Una ujinga wa kijuaji sana aisee

Usidandie ligi za wenye motives zao mkuu… you can’t run end to end supply chain Kwa kuwa na gap kuu wkenye la go la nchi . Na Sisi hatujafika huko tunapojilazimisha tupo
Nonsense. Uwepo wa bandari bila kumnufaisha mtanganyika ni sawa na kusema hiyo bandari sio yetu, hapa hakuna suala la motives zao au vinginevyo, ni suala la maslahi ya taifa, hizo "motives" mnazitumia.mnaposhindwa kujibu maswali yetu ya msingi kuhusu ule mkataba wa hovyo.
 
Nyie mnaouza ndio sio watanzania mnajua mlishahamisha familia zenu na kutuachia msala, hivi kweli unaweza kuwa na akili timamu kweli ukafunga huo mkataba, Mungu anawaona aisee.
imeuzwa Sh. ngapi?
acha kuumiza kichwa chako bure kwa kudanganywa na chadema.
 
Kwahiyo wewe ulishawahi au Kuna Siku utakwenda bandarini na utaikosa?

Una ujinga wa kijuaji sana aisee

Usidandie ligi za wenye motives zao mkuu… you can’t run end to end supply chain Kwa kuwa na gap kuu wkenye la go la nchi . Na Sisi hatujafika huko tunapojilazimisha tupo
Huku wananchi tumecharuka, hatutaki upumbavu wenu!
 
Back
Top Bottom