Mnapoteza muda tuSaaaaaaaaaaaaf!!!!!![emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
lazima Hawa vibaraka wa waarabu kutoka zenji wateme ndoano .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnapoteza muda tuSaaaaaaaaaaaaf!!!!!![emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
lazima Hawa vibaraka wa waarabu kutoka zenji wateme ndoano .
Uzushi huu ni kwa faida gani hasa!Wasahihishe maudhui siyo kuuzwa bali zimegawiwa bure, kuuza kitu utapata fedha, Serikali haijapata fedha yoyote hivyo Bandari imegawiwa kwa waarabu bure, kuna uzi uliwekwa hapa hata fedha za kuiendesha na kuikarabati Bandari ni za kwetu tumekopa WorldBank hivyo atakayelipa deni na riba juu ni sisi na siyo Mwarabu hivyo hatujauza Bandari bali tumezigawa na bado tumemlipa tuliyemgawia bado …
Wanazua mpk wanajidanganya wenyewe.kwa hiyo hata mwimbo umekosewa kutungwa?[emoji1787]
hiyo ndio tabu ya kuzusha mambo.
mzee wasira anasema; Bandari imeuzwa shilingi ngapi?
View attachment 2689204
Mwana JF hapo ulipo na familia yako mnaweza kuitikia huo wimbo. Hata kama ni bar mnakula bata ambia DJ apige song
nyimbo za ukomboziView attachment 2689204
Mwana JF hapo ulipo na familia yako mnaweza kuitikia huo wimbo. Hata kama ni bar mnakula bata ambia DJ apige song
View attachment 2689204
Mwana JF hapo ulipo na familia yako mnaweza kuitikia huo wimbo. Hata kama ni bar mnakula bata ambia DJ apige song
wakianza kazi hao waarabu nishtuekazi inaendelea wewe endelea limbs mizuki.
Mama huwa hatishwi wala hatishiki.
mkataba wa DPW upo palepale na mambo yameiva.
punde tutaanza kula matunda ya uwekezaji mkubwa wa DPW, 27trillion
Tumeacha Mengi sana yanayowasibu wenye uhitajiView attachment 2689204
Mwana JF hapo ulipo na familia yako mnaweza kuitikia huo wimbo. Hata kama ni bar mnakula bata ambia DJ apige song
View attachment 2689204
Mwana JF hapo ulipo na familia yako mnaweza kuitikia huo wimbo. Hata kama ni bar mnakula bata ambia DJ apige song
LOoooh!View attachment 2689204
Mwana JF hapo ulipo na familia yako mnaweza kuitikia huo wimbo. Hata kama ni bar mnakula bata ambia DJ apige song
Ukiona hivyo, ujue hili lina 'uhitaji" mkubwa zaidi.Tumeacha Mengi sana yanayowasibu wenye uhitaji
Agenda imebaki moja
Basi sawa
EeeenHeeeee!HUU ni wakati wa kugawana mbao.
Tuwe kama Malaysia na Singapore
Au Vape Verde na Guinea Bissau
Muungano huu ni mateso na kuuwana tu na kuzidisha wezi na umasikini , hauna faida yoyote zaidi ya kujengaKundi la Umafia tu la CCM
wakati ndio huu kila mtu achukuwe chake , Tuwe na ujirani mwema kama kabla ya uvamizi wa 1964
ChaiWasahihishe maudhui siyo kuuzwa bali zimegawiwa bure, kuuza kitu utapata fedha, Serikali haijapata fedha yoyote hivyo Bandari imegawiwa kwa waarabu bure, kuna uzi uliwekwa hapa hata fedha za kuiendesha na kuikarabati Bandari ni za kwetu tumekopa WorldBank hivyo atakayelipa deni na riba juu ni sisi na siyo Mwarabu hivyo hatujauza Bandari bali tumezigawa na bado tumemlipa tuliyemgawia bado …
You can’t run the country like thatUkiona hivyo, ujue hili lina 'uhitaji" mkubwa zaidi.
Usibeze uwezo wa akili za watu.
Eeh hata Nyerere alipotaka kuikomboa Tanganyika na nchi zingine kusini mwa bara la Africa hakukimbia mji Wala kumwaga damu,alifanya mazungumzo🙏nchi za sadc ni hizi Tanganyika, Zimbabwe, Zambia, South Africa, Mozambique, Congolese,botwana enzi hizo wanaita waswanaland,Zimbabwe na Zambia zilikuwa Rhodesia ya kaskazin na kusini 🤣wakenya ,warundi,waganda,wanyarwanda sie Tanganyika tunawabeba kwenye diplomasia🙏nyimbo za ukombozi
We unaleta politics kwenye ajenda ya muhimu mezani🙏hata mrema aliwahi tandikiwa khanga barabaran apite,na mzee mchonga babu yangu alikuwepo🙏You can’t run the country like that
Tuna serious issues kwenye food security, workforce consumption (bomu kubwa zaidi), productivity due to poor strategy, good governance etc.
Anyways…. Kuna mwaka agenda ilikua ufisadi tu, baadaye wakawasafisha hadharani na kuwatandikia khanga barabarani
We have to be better than that
Una ujuaji wa kijinga sana, suala la kukomboa rasilimali za taifa ni zaidi ya siasa hata kama aliyeharibu ni mwanasiasa, ndio maana unaongoza viongozi wa dini, wanaharakati, wanasheria na wengine wote kwa pamoja wakipiga kelele kulaani..You can’t run the country like that
Tuna serious issues kwenye food security, workforce consumption (bomu kubwa zaidi), productivity due to poor strategy, good governance etc.
Anyways…. Kuna mwaka agenda ilikua ufisadi tu, baadaye wakawasafisha hadharani na kuwatandikia khanga barabarani
We have to be better than that