Ilitarakimura
JF-Expert Member
- Feb 7, 2016
- 2,505
- 1,645
Ahsante mkuu kwa kunikumbushia huo ubeti,si unajua kitambo sanaAah umeruka mstari...
Chanuo kampa nani ? Chanuo kampa nani?
Kampa msusi kampa msusi....
Mafuta kampa nani? Mafuta kampa nani?
Kampa msusi kampa msusi...
Kumbee mi mpka leo nilijua zile ndege za Urusi labda wamebadili teknolojia hahahaha!!! Nawakumbuka Sana hao mbayuwayu... Ww utakuwa mhenga lolNdege wengi wamekimbia, Dar wamejenga hadi mabondeni ambako wale ndege walikuwa wanakaa, unakumbuka mbayuwayu ikifika jioni wanakatiza mtaani kimo cha mbuzi!
Zile ndege angani tulikuwa tunadanganyana ni roketi kumbe ndege za kawaida zinapita anga la kimataifa(halina mwenyewe) mfano ndege za SA zamani zilikuwa haziruhusiwi kupita anga la Tz hivyo inabidi ziruke juuu sana kwenye anga la kimataifa, ule moshi ni hewa ya moto kutoka kwenye engine ikikutana,na hewa ya baridi angani. Mfano ukienda Makambako watu wakiongea asubuhi utaona ule 'moshi'
Ha ha ha ha ukijua haya mambo wewe ni MHENGA!Kumbee mi mpka leo nilijua zile ndege za Urusi labda wamebadili teknolojia hahahaha!!! Nawakumbuka Sana hao mbayuwayu... Ww utakuwa mhenga lol
Hii ilinipita ila rede ya chupaYes.... womanity haijui hio
Hahaahha wewe mhenga squareHa ha ha ha ukijua haya mambo wewe ni MHENGA!
Hello mambo, za mwananyamala....
Ulishawahi kucheza kibumzi kibumzi
Chameemee Chameemee
Halafu kika mtu anaulizwa kimya kimya ataje mchumba ake hahahahahahhaaa hapo sasa kama kuna kavulana unakapenda mtaani unakasema.
Halafu muimbishaji anaanza kutaja.
Nilonge nisilongeee loongaaaa
Nisemeee nisiseemeeee seemaaaa
Mwenzetu Kasie. .... mchumba ake....
Asprin basi watu eeehhh yeeeyyy hapo kama kulikuwa na kaschana kingine kanampenda basi ananuna. Na ukikuta kavulana na kenyewe kanakupenda basi kanaanza uchokozi mara akuvute nywele mara akidalike mara akufinye au akutekenye....
Basi wewe unajidai banaa niniiii mii staakiiiiii ntakusemea. .... Hahahahahahhahaaa ilikuwa raha sana. Hapo kama kavulana kababe mtaani huwezi kuonewa au kupigwa lazima akutetee. Asipokuona mtaani anakuja kukuulizia kwenu na siku kwao kukipikwa maandazi basi atakuibia moja akuletee uonje hehehehehehehhee
Those were innocent pure love.
Watoto wa siku hizi wamekosa vingi sana...kero moja wakati hii michezo na nyimbo zimekolea dada anakuja kukuchomoa ukaoge! Aisee....Hahaahha wewe mhenga square
mafuta kampa nani mafuta kampa nani.....kampa msusi kampa msusiNasakaa mke wangu....nasaka mke wangu,haaapa hayupo haaapa hayupo...kaeeenda wapi?...kaeenda wapi?,kaeenda kusuka..kaeenda kasuka,kachukuaa... nini? na nini?,kachukuaa chanuuuo na mafutaa
Old School Re-union...Hahahahaaa Hahahaaa hivi tunao changia huu uzi tukisema tukutane leaders club halafu tuanze kuimba hizo nyimbo heheheeee er ntacheka nahisi hadi nijikojolee heheheheheee
Itakuwa bonge la burudani, ila saa hizi hutoruhusiwa kuchungulia chupi tukiwa tunaruka kamba.
Au unaitwa na Mama ukaoshe vyombo,unataman ulie,yaan fulu manung'uniko mkuuWatoto wa siku hizi wamekosa vingi sana...kero moja wakati hii michezo na nyimbo zimekolea dada anakuja kukuchomoa ukaoge! Aisee....
Its complicated sijui nianzie wapi. Mnaozinga mko wawili, mnaowawinda wanakuwa wanazunguka kwenye umbo mstatili.
Hahaha tuliachana kimjinimjini ndio maana
Vipi yange yange walishawahi kukupa kucha nyeupe? Wakipita juu tulikuwa tubaimba
Yange yange nipe kucha nyeupeee....
Cha ajabu kweli kwenye kucha kunatokea vidoa vyeupe!
Nilikuwa sipendi..nilikuwa namwaga machozi!! Hapo ushaibiwa ndala zako za umoja au skywayWatoto wa siku hizi wamekosa vingi sana...kero moja wakati hii michezo na nyimbo zimekolea dada anakuja kukuchomoa ukaoge! Aisee....
Hata vyombo ukiosha havitakati vizuriAu unaitwa na Mama ukaoshe vyombo,unataman ulie,yaan fulu manung'uniko mkuu
Pepsi mirinda mbooo inadinda mpka kwenye mimba
Kuna mpuuzi mmoja alikuwa katuzidi miaka alikuwa anatufundisha matusi huyo nyingi nmesahau ila hyo moja hapo juu naikumbka kwasababu nilipigwa collabo ya kipigo na mshua na maza nilipita naimba bila wasiwasi nikavutiwa ndani
Hahahah kumbe tulifanyaje sasa ?Hahahahahahaaa looh weweee atii tuliachana mmmhhhhh. ....... haya banaa. Hehehehehehehehehehehehehehehehehee